Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Yair Lapid kiongozi wa upinzani analalamika Netanyahu hapokei simu yake tangu asubuhi anaulizia suala la usalama linaonekana kuwa Tete. Ben Gurion Airport wayahudi wanaokimbia ardhi ya wapalestina wamekwama hakuna ndege inayoruhusiwa kutua Wala kuruka. Saa 12 jioni Hassan Nasrallah atahutubia kuwaambia Wananchi Duniani kilichotokea Leo asubuhi.dalili za kuchanganyikiwa zimeonekana wazi leo,Amelidanganya mpaka bunge lake
Kwa hio wewe unatuletea ubwabwa wa ukuta humu sio. Katingisheni vichwa vyenu huko mkishìkishwa ukuta, vitu vya Hezbullah vimewaingia vizuri.Taarifa zinazoandikwa humu zinatokea masjid ubwabwa kwani hazina ukweli wowote.
Pia mashambulizi ya mara Kwa mara raia watochoka watakimbia nchi,na hili ni lengo kubwa la vile vikundi.uwezo wa kuhimili vita kwa muda mrefu na military techniques za wazayuni.
Hao magaidi wa Hezbollah wanatafuta namna ya kuwahadaa mabwana zao makafiri wa Iran waendelee kuwafadhili wapige hela ndio maana wanasambaza video nyingi za propaganda kutoka masjid ubwabwa zao.Kwa hio wewe unatuletea ubwabwa wa ukuta humu sio. Katingisheni vichwa vyenu huko mkishìkishwa ukuta, vitu vya Hezbullah vimewaingia vizuri.
We mfuasi wa Paulo kipigo alicho kipata Israel leo USA, UK, Israel na Nato kiujumla walikuwa wana spy kutumia drones huko South Lebanon hawakuambua kitu. Kipigo takatifu wamepiga Mossad base huko Tela Aviv na Base ya Air force zote ziko kwenye area less than 300 meters kutokeaTela Aviv. Kapigwa pia warning wakiona result haiwaridhishi watapiga tena lakini kwa sasa wana uhakika target zao ni 💯 zime sambaratisha huko.Hao magaidi wa Hezbollah wanatafuta namna ya kuwahadaa mabwana zao makafiri wa Iran waendelee kuwafadhili wapige hela ndio maana wanasambaza video nyingi za propaganda kutoka masjid ubwabwa zao.
Al Houthi wa Yemen na wao wanajianda kupiga 😄 Iran na wao wana mpango wa kulipa karibuni.Wanakimbia kwa Kasi sana ardhi waliyoivamia. Baada ya saa 48 kutakua hamna usafiri wa kutoka Wala kuingia.View attachment 3078923
Mbona tangu uanze kuleta hizi habari za israel wanashambuliwa kwa kasi sana ni mwaka sasa? Leo nilikuwa naangalia Israel today nikaona mambo yanaenda kama kawaida, watoto wanaenda shule (sasa sijui shule zipo mapangoni?) Na bado serikali ya israel ni ileile.Umechanganya mambo na picha.
Ambako hakukaliki kwa sasa ni kaskazini ya Israel na hao unaowaona ni mayahudi wakikimbizana kuingia mashimoni mwao.
Huyu jamaa wanampa tabu sana meli za kivita sijui 16 na vikosi vya marekani na NATO vimeizunguka Israeli lakini wapi😂Al Houthi wa Yemen na wao wanajianda kupiga 😄 Iran na wao wana mpango wa kulipa karibuni.
Muirani huyo kaka sio hizboHuyu jamaa wanampa tabu sana meli za kivita sijui 16 na vikosi vya marekani na NATO vimeizunguka Israeli lakini wapi[emoji23]