Hi

Mkuu Safi Sana.. Huu ni mtandao kama mingine. Mbona pia kuna jukwaa la picha na kuna picha za watu.. Usiwaze ila kwa kuwa umeshafahamika hakikisha unatoa michango ya maana na usiwe pumba nyingi.. Relax ila pia karibu *MAKAPUKU FORUM*
 
All in all, mapozi umejaaliwa jamaa! Mapozi nawe we na mapozi nawe....
 
Nltak kuulza mkuu umeniwah ingaw kidizain flan hv
 
Hahaha nashukur wkt naingia nilkuwa mpooooole kumbe ukileta ujuaj nd inakuw hv?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…