Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa tz yanapatikana wapi tuanze kilimo chake?Sina uhakika kwa kiswahili linaitwaje,lakini ni tunda linalofanana kabisa na apple/tufaa ukiliangalia kwa nje ila tofauti yake kwa ndani lina mbegu moja kubwa kiasi katikati tofauti na tufaa lenye mbegu kadhaa ndogondogo.Ile mbegu yake ukiimenya na kuila ina ladha chungu sana,sasa ule uchungu ndio kimelea kiitwacho amygdalin ambacho ndio tiba yenyewe inayotumika kuua chembe za cancer.
Mwizi akikimbilia kwako ili umhifadhi, then wakaja wanaomtafuta ukawaambia hayupo itakuwa na maana kwamba hayupo?!!!Huyu dokta wetu FAKE tatizo mkali na ana jazba. Sawa kansa imetafitiwa huko ma ulaya miaka 130 wamesema hakuna dawa . Kina stev job imewaua . Wewe umesema dawa ipo ya chakula. Basi itangazie dunia. Na sio kuonea watu waliokata tamaa. ......harafu nyoosha maelezo na sio kurukaruka kuna mteja wako hapo juu kakuuliza dozi ya juice ya limau anywe vipi . Baadala ya kumjibu unatoa maelezo mengi yaliyo nje ya swali . Hivi ingekuwa ndio ngonjwa kakufuata hospital yako na kapata jibu hilo si kapoteza nauli yako.
maeneo ya Iringa na Mbeya nadhani...Hapa tz yanapatikana wapi tuanze kilimo chake?
Apricot nafikiri ni tunda fulani limapatikana mbeya na Iringa kule kwetu Mbeya tunaita mafyulisiSina uhakika kwa kiswahili linaitwaje,lakini ni tunda linalofanana kabisa na apple/tufaa ukiliangalia kwa nje ila tofauti yake kwa ndani lina mbegu moja kubwa kiasi katikati tofauti na tufaa lenye mbegu kadhaa ndogondogo.Ile mbegu yake ukiimenya na kuila ina ladha chungu sana,sasa ule uchungu ndio kimelea kiitwacho amygdalin ambacho ndio tiba yenyewe inayotumika kuua chembe za cancer.
dawa za saratani zipo nyingi sana,hata huku mitaani zinatuzunguka....hata hao wa Cuba nao wako kibiashara pia...usifikiri kwamba hao wa Cuba ni decent sana...wote wafanyabiashara hao...cha msingi inabidi ufahamu kwamba dawa ya cancer sio complicated kama unavyoaminishwa.Its very simple and easy to get...just be ready to open up your mind and you will see it coming easily.Ila nasikia CUBA, wamegundua dawa ya saratani,na imeshaanza kutumika baadhi ya sehemu
He he heee! Cancer is real mkuu na vipimo vya cancer pia ni real.Tatizo kubwa hapa lipo pale wanaposema cancer haina tiba,hapa ndiko kwenye tatizo,sasa madhumuni ya kuanzisha uzi huu ni kuwafahamisha watu kwamba cancer yoyote ile,haijalishi ni cancer ya aina gani,ina tiba na unapona kabisa na unarudi kama hali yako ya zamani kama utafuata masharti ya matibabu sawasawa.
Siko hapa ili kuwafariji watu,la hasha,hiki ninachosema ni real,kama mtu haamini basi hana cha kupoteza kama atajaribu kwa mgonjwa yeyote ambaye watu wamepoteza matumaini.
He he heee! Cancer is real mkuu na vipimo vya cancer pia ni real.Tatizo kubwa hapa lipo pale wanaposema cancer haina tiba,hapa ndiko kwenye tatizo,sasa madhumuni ya kuanzisha uzi huu ni kuwafahamisha watu kwamba cancer yoyote ile,haijalishi ni cancer ya aina gani,ina tiba na unapona kabisa na unarudi kama hali yako ya zamani kama utafuata masharti ya matibabu sawasawa.
Siko hapa ili kuwafariji watu,la hasha,hiki ninachosema ni real,kama mtu haamini basi hana cha kupoteza kama atajaribu kwa mgonjwa yeyote ambaye watu wamepoteza matumaini.
mkuu Deception naomba unipe ufafanuzi juu ya matumizi ya hiyo black seed oil(mafuta ya habbat sauda) kama tiba ya saratani
Nilikuwa namaanisha niitumie vipi ili iwe tiba?
Dawa yangu hiyo Black Seed oil /Habbat Soda ninawatibu wagonjwa wa Ukimwi na wanapona hongera kwa kutoa feedback.daah nimeamini sasa., kuna jamaa 1 alipata kansa akatibiwa akapona fresh kabisa., ndugu yake akasema ameponeshwa na black seed/habbat soda. ahsante mkuu
Hebu tuzinduke,huu ugonjwa sio special kama tulivyodanganywa,cancer ni ugonjwa rahisi sana kuutibu hata kuliko malaria. Ukitibu cancer kwa kutumia naturopath pia utakuwa umetibu hata magonjwa mengine mwilini ambayo huyajui na ni sugu,kwa sababu naturopath cancer cure is total body cleanse and rejuvenation. Huwezi tena kupata kisukari,autoimmunity,AIDS nk.
Hivyo ndivyo mambo yalivyo.
Kwan kaka deception kagundua dawa ya ukimwiUmegundua dawa ya ukimwi na kansa. Fine and good. Itisha mkutano mkubwa kama lowasa tangaza. Na sio umekaa nyuma ya key board. Na just id tu unatangazia watu waliokata tamaa . Kisa una degree moja ya sayansi . Na masters nje ya tanzania. Ukiulizwa au kukosolewa baadala ya kujibu unakuwa mkali na kuonyesha tafiti za watu.