Hidden cancer cures

Hidden cancer cures

Asante sana nimekuelewa sana kweli kutokumia Matunda tuliyonayo ni ugonjwa Wa kujitakia
 
Sina uhakika kwa kiswahili linaitwaje,lakini ni tunda linalofanana kabisa na apple/tufaa ukiliangalia kwa nje ila tofauti yake kwa ndani lina mbegu moja kubwa kiasi katikati tofauti na tufaa lenye mbegu kadhaa ndogondogo.Ile mbegu yake ukiimenya na kuila ina ladha chungu sana,sasa ule uchungu ndio kimelea kiitwacho amygdalin ambacho ndio tiba yenyewe inayotumika kuua chembe za cancer.
Hapa tz yanapatikana wapi tuanze kilimo chake?
 
Huyu dokta wetu FAKE tatizo mkali na ana jazba. Sawa kansa imetafitiwa huko ma ulaya miaka 130 wamesema hakuna dawa . Kina stev job imewaua . Wewe umesema dawa ipo ya chakula. Basi itangazie dunia. Na sio kuonea watu waliokata tamaa. ......harafu nyoosha maelezo na sio kurukaruka kuna mteja wako hapo juu kakuuliza dozi ya juice ya limau anywe vipi . Baadala ya kumjibu unatoa maelezo mengi yaliyo nje ya swali . Hivi ingekuwa ndio ngonjwa kakufuata hospital yako na kapata jibu hilo si kapoteza nauli yako.
Mwizi akikimbilia kwako ili umhifadhi, then wakaja wanaomtafuta ukawaambia hayupo itakuwa na maana kwamba hayupo?!!!

Mwili umetengenezwa kwa udongo aise, so hitalafu zote za mwili zinatatuliwa na bidhaa kutoka udongoni. (Either udongo wenyewe, madini ya udongoni au Yale yaliyonyonywa na mimea. ). Sio mnatuletea mionzi na uboya mwingine.

Kwanini hatujiulizi kwamba life expectancy inazidi kupungua sana kadiri miaka inavozidi kupita licha ya kuwa na maendeleo makubwa ya sayansi tiba. Na kwanini zamani wazee wetu waliishi so many years?

Akili zetu tusikubali tushikiwe na wengine. Kila alichokiumba Mungu kina faida kwa mwanadamu.

Kumbuka Mungu aliweka walinzi ili wailinde njia iendayo kwenye mti Wa uzima! Meaning that kama kuna mti Wa uzima basi kuna mti/ mmea wa uponyaji.

Endelea na vibiology hivyo Sasa!

We tell people every day, the mainstream media will never tell you the truth. For this topic then, the mainstream media is the modern treatment industry.

Wanawezaje kusucrifice biashara zao ikiwa matibabu ya magonjwa makubwa yatafahamika kwa jamii? Unadhani watauza nini basi?

Mfano mdogo: MTU mmoja aligundua engine ya gari inayotumia maji, lakini ilipingwa vikali na baade the man was murdered!

Fikiri vema.
 
Japo nimechelewa, ila nashukuru nimeweza kuusoma uzi wote, nachoweza kusema ni asante sana kwakutugawia yale machache tuliyokuwa wavivu kuyatafuta...... Nimekuelewa sana hasa ktk bangi.
 
Sina uhakika kwa kiswahili linaitwaje,lakini ni tunda linalofanana kabisa na apple/tufaa ukiliangalia kwa nje ila tofauti yake kwa ndani lina mbegu moja kubwa kiasi katikati tofauti na tufaa lenye mbegu kadhaa ndogondogo.Ile mbegu yake ukiimenya na kuila ina ladha chungu sana,sasa ule uchungu ndio kimelea kiitwacho amygdalin ambacho ndio tiba yenyewe inayotumika kuua chembe za cancer.
Apricot nafikiri ni tunda fulani limapatikana mbeya na Iringa kule kwetu Mbeya tunaita mafyulisi
 
Ila nasikia CUBA, wamegundua dawa ya saratani,na imeshaanza kutumika baadhi ya sehemu
 
Ila nasikia CUBA, wamegundua dawa ya saratani,na imeshaanza kutumika baadhi ya sehemu
dawa za saratani zipo nyingi sana,hata huku mitaani zinatuzunguka....hata hao wa Cuba nao wako kibiashara pia...usifikiri kwamba hao wa Cuba ni decent sana...wote wafanyabiashara hao...cha msingi inabidi ufahamu kwamba dawa ya cancer sio complicated kama unavyoaminishwa.Its very simple and easy to get...just be ready to open up your mind and you will see it coming easily.
 
He he heee! Cancer is real mkuu na vipimo vya cancer pia ni real.Tatizo kubwa hapa lipo pale wanaposema cancer haina tiba,hapa ndiko kwenye tatizo,sasa madhumuni ya kuanzisha uzi huu ni kuwafahamisha watu kwamba cancer yoyote ile,haijalishi ni cancer ya aina gani,ina tiba na unapona kabisa na unarudi kama hali yako ya zamani kama utafuata masharti ya matibabu sawasawa.

Siko hapa ili kuwafariji watu,la hasha,hiki ninachosema ni real,kama mtu haamini basi hana cha kupoteza kama atajaribu kwa mgonjwa yeyote ambaye watu wamepoteza matumaini.


daah nimeamini sasa., kuna jamaa 1 alipata kansa akatibiwa akapona fresh kabisa., ndugu yake akasema ameponeshwa na black seed/habbat soda. ahsante mkuu
 
He he heee! Cancer is real mkuu na vipimo vya cancer pia ni real.Tatizo kubwa hapa lipo pale wanaposema cancer haina tiba,hapa ndiko kwenye tatizo,sasa madhumuni ya kuanzisha uzi huu ni kuwafahamisha watu kwamba cancer yoyote ile,haijalishi ni cancer ya aina gani,ina tiba na unapona kabisa na unarudi kama hali yako ya zamani kama utafuata masharti ya matibabu sawasawa.

Siko hapa ili kuwafariji watu,la hasha,hiki ninachosema ni real,kama mtu haamini basi hana cha kupoteza kama atajaribu kwa mgonjwa yeyote ambaye watu wamepoteza matumaini.


daah nimeamini sasa., kuna jamaa 1 alipata kansa akatibiwa akapona fresh kabisa., ndugu yake akasema ameponeshwa na black seed/habbat soda. ahsante mkuu
 
mkuu Deception naomba unipe ufafanuzi juu ya matumizi ya hiyo black seed oil(mafuta ya habbat sauda) kama tiba ya saratani
Nilikuwa namaanisha niitumie vipi ili iwe tiba?

black seed oil unakunywa kutwa mara tatu., asubuh kabla hujala kitu., mchana na ucku b4 dinner. kijiko cha chakula kwa miezi mitatu mfululizo bila uvivu
 
Hebu tuzinduke,huu ugonjwa sio special kama tulivyodanganywa,cancer ni ugonjwa rahisi sana kuutibu hata kuliko malaria. Ukitibu cancer kwa kutumia naturopath pia utakuwa umetibu hata magonjwa mengine mwilini ambayo huyajui na ni sugu,kwa sababu naturopath cancer cure is total body cleanse and rejuvenation. Huwezi tena kupata kisukari,autoimmunity,AIDS nk.

Hivyo ndivyo mambo yalivyo.

Asante mkuu Deception, nimekuelewa sana hapo kwenye Bolded red, pamebeba ujumbe mzito sana
 
Umegundua dawa ya ukimwi na kansa. Fine and good. Itisha mkutano mkubwa kama lowasa tangaza. Na sio umekaa nyuma ya key board. Na just id tu unatangazia watu waliokata tamaa . Kisa una degree moja ya sayansi . Na masters nje ya tanzania. Ukiulizwa au kukosolewa baadala ya kujibu unakuwa mkali na kuonyesha tafiti za watu.
Kwan kaka deception kagundua dawa ya ukimwi

Sent from my HUAWEI Y541-U02 using JamiiForums mobile app
 
Daaaaaaaa, hii sasa hatari sana. Nina mgonjwa wa kansa ya ini, huu uzi umeniliza sana. Nimelia kwa uchungu mno. Siwezi kufuta machozi kuanzia mwanzo naanza kuusoma hadi mwisho

Ameandikiwa chemo wiki ijayo. Naomba mkuu Deception na Napoteza munisaidie sana kwa hii kadhia. Jamaa bado yupo fresh anatembea ila amedhofu kidogo ila bado yupo strong. My contacts 0652989109/0684043500
 
Mkuu deception nikufuata pm kwa msaada zaidi. Wanaomjua huyu jamaa wamsutue. Mwanaume kupambana Mungu atatusaidia
 
Back
Top Bottom