Hii adhabu ya kunyimwa tunda itaisha lini?

Hii adhabu ya kunyimwa tunda itaisha lini?

Sasahivi wanawake wamefungua madangulo wanayaita massage yaani huko balaa.
Nilianza kukemea nilipofika kwenye hizo ofisi

Sometimes sex is overrated, why hadi ganguro wakati Juma na John wapo kedekede.
 
Adhabu itaisha pale wanaume wanaowageuza wanaume wenzao kuwa wanawake watapoacha hiyo tabia.

Yaani ikifika mahala kila mwenye miguu mitatu ni mwanaume rijali na thabiti, basi mtapata mambo motomoto wakati wowote ule mtapotaka kama wapemba vile.

K’ Matata.
Umenena vema
Nasadiki
 
Adhabu itaisha pale wanaume wanaowageuza wanaume wenzao kuwa wanawake watapoacha hiyo tabia.

Yaani ikifika mahala kila mwenye miguu mitatu ni mwanaume rijali na thabiti, basi mtapata mambo motomoto wakati wowote ule mtapotaka kama wapemba vile.

K’ Matata.
du wapemba wanapiga kila wanapohitajieeeee????
 
Back
Top Bottom