Hii akili ya kitanzania ya kumiliki gari kuona wenzako ni mbwa inatesa vijana

Hii akili ya kitanzania ya kumiliki gari kuona wenzako ni mbwa inatesa vijana

Ongeeni yote ila msijifariji sana pesa inanafasi yake maishani pesa inaheshimisha japo hutakiwi kuwa na pesa utu ukakutoka ukaona wengine hawana maana ni jambo baya. Ila usije jidanganya kisa huna hela ukahisi hayo ni maisha mazuri unatakiwa uyapende kataa sana umaskini.

Gari siku hizi ki kitu cha muhimu kuwa nacho kitakusaidia kuepuka karaha nyingi sana kwenye jamii na itakufanya uwe na usiri kwenye mambo yako.

Siwezi mpinga mtu anaehamasisha watu watafute hela na jamaa kaongea ukweli jamii zetu kibongo tunathamini vitu. Wenye nazo wanathamini utu wao.
 
Ni mgawanyo wa majukumu tu mkuu
Ata kama jamani kweli wanawake chombo cha starehe lakini sio sasa ndio kuwatesa jamani.
Sasa mtoto wa watu umemkunja vilivyo amekupa uno kama lote alafu unamrudisha na uda kweli? Hapana this is a new low.
Kweli i hate women but sijafikia kiwango hicho jamani hasa kwa mwanamke ambaye ameshakupea mbususu
 
Ongeeni yote ila msijifariji sana pesa inanafasi yake maishani pesa inaheshimisha japo hutakiwi kuwa na pesa utu ukakutoka ukaona wengine hawana maana ni jambo baya. Ila usije jidanganya kisa huna hela ukahisi hayo ni maisha mazuri unatakiwa uyapende kataa sana umaskini.

Gari siku hizi ki kitu cha muhimu kuwa nacho kitakusaidia kuepuka karaha nyingi sana kwenye jamii na itakufanya uwe na usiri kwenye mambo yako.

Siwezi mpinga mtu anaehamasisha watu watafute hela na jamaa kaongea ukweli jamii zetu kibongo tunathamini vitu. Wenye nazo wanathamini utu wao.
Hapa umechanganya vitu viwili,kua na hela na kumiliki Gari {Sijui kwa kusema kwako kua na hela una maanisha kua na kiasi gani cha hela}
sasa hivi Dunia inahamasisha watu kutumia public transport badala ya private car ili kupunguza Air pollution,issue hapa kwa Bongo kinachotakiwa ni kuimprove public transport,kwa mji kama Dar,hivi kila mtu akimiliki Gari hali itakuaje barabarani?

Luxembourg walideclare free public transport miaka mitatu iliyopita,hii yote katika kupunguza traffic jams na kulinda mazingira.
 
Ongeeni yote ila msijifariji sana pesa inanafasi yake maishani pesa inaheshimisha japo hutakiwi kuwa na pesa utu ukakutoka ukaona wengine hawana maana ni jambo baya. Ila usije jidanganya kisa huna hela ukahisi hayo ni maisha mazuri unatakiwa uyapende kataa sana umaskini.

Gari siku hizi ki kitu cha muhimu kuwa nacho kitakusaidia kuepuka karaha nyingi sana kwenye jamii na itakufanya uwe na usiri kwenye mambo yako.

Siwezi mpinga mtu anaehamasisha watu watafute hela na jamaa kaongea ukweli jamii zetu kibongo tunathamini vitu. Wenye nazo wanathamini utu wao.
Kweli kabisa ukiwa na gari mbona totoz unaenjoy nazo vizuri.
Gari muhimu jamani ili kupata pisi kali ugegede
 
Ongeeni yote ila msijifariji sana pesa inanafasi yake maishani pesa inaheshimisha japo hutakiwi kuwa na pesa utu ukakutoka ukaona wengine hawana maana ni jambo baya. Ila usije jidanganya kisa huna hela ukahisi hayo ni maisha mazuri unatakiwa uyapende kataa sana umaskini.

Gari siku hizi ki kitu cha muhimu kuwa nacho kitakusaidia kuepuka karaha nyingi sana kwenye jamii na itakufanya uwe na usiri kwenye mambo yako.

Siwezi mpinga mtu anaehamasisha watu watafute hela na jamaa kaongea ukweli jamii zetu kibongo tunathamini vitu. Wenye nazo wanathamini utu wao.

kukosa pesa au kuwa nazo bado unabaki kuwa mtazamo tu wa mtu na mtu.

unawezakuwa na 10mln bank,ukaona huna pesa,na mwingine akaona unazo sana,au ukaona una hela uvimbe mwingine akaona bado hizo sio hela za kukufanya uvimbe.


anayehamasisha watu watafute hela,inabidi pia aseme,ili uhesabike una hela mbele za watu unapaswa kufikisha shilingi ngapi??
gari nalo inabidi tuwe specific ni la shilingi ngapi ama aina gani,maana si kila gari linweza kukuepusha na kero zote mjini hapa,ndio maana kuna watu wana gari 5 tofauti tofauti ndani ya parking.



msingi wa maelezo yangu hapo juu ni kwamba tunapigwa na umasikini mpaka tumekuwa vichaa,tunakimbizana na mambo mengi kiasi kwamba tumeloose focus kabisa,leo gari,kesho nyumba,kkutwa miradi,mtondogoo kampuni etc,na hakuna kupumzika.
 
Ongeeni yote ila msijifariji sana pesa inanafasi yake maishani pesa inaheshimisha japo hutakiwi kuwa na pesa utu ukakutoka ukaona wengine hawana maana ni jambo baya. Ila usije jidanganya kisa huna hela ukahisi hayo ni maisha mazuri unatakiwa uyapende kataa sana umaskini.

Gari siku hizi ki kitu cha muhimu kuwa nacho kitakusaidia kuepuka karaha nyingi sana kwenye jamii na itakufanya uwe na usiri kwenye mambo yako.

Siwezi mpinga mtu anaehamasisha watu watafute hela na jamaa kaongea ukweli jamii zetu kibongo tunathamini vitu. Wenye nazo wanathamini utu wao.
Hayupo mtu ambaye kakataa watu tutafute hela na kama kweli umezaliwa hapa duniani usitegemee mtu aje akwambie utafute hela maana ni jukumu lako.

ila huyo jamaa ni mjivuni hii sio video yake moja ni nyingi anakejeli.

kingine usinunue gari kwa ajili ya kuwafurahisha wanawake nunua kwa ajili ya umuhimu wako
 
Wacheni watoto wazuri wapende wanaume wenye magari, kwa maana jua huko nje ni kali.

Wewe unamtembeza mtoto wa kike kwenye bodaboda mishkaki tena anapanda na jua kali halafu anakuja kwako anachoka kabla ya kumchosha halafu bado unataka akupenda the way jinsi ulivyo.

Hakuna mwanamke atakupa the way ulivyo mhudumie mtoto wa watu hata kama huna hela uwe hata gari anavokuja mtoto wa watu asichoke akae hata kwenye ma AC.

Video hapo chini kaongea mengi
View attachment 2717759
Kila mtu acheze ligi yake anayoiweza, iwe aina ya madem or whatever, kwangu mimi sipo kwenye level ya kufanya ili kumpata dem.
Kwangu madem huwa nina msimu wa kustarehe nao, hivyo hayo ya kuishi kwa ajili ya madem sikumbuki kuwahi kucheza hiyo ligi.

Zingatia:
Wajinga na Wapumbavu wana sauti kubwa na ushawishi wenye nguvu, kiasi cha kuaminika haraka na kirahisi sana. Jitafiti, jitengenezee njia ishi maisha yako.
Hao wengine wasiwasumbue. Wapo kwenye destiny yao.
 
Back
Top Bottom