Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Bongo ukiwa na gari unahesabika umeyapatia sana maisha. Hata la kukodi tu zama nalo viwanja weka funguo kwenye kiuno attention inakuwa kubwa sana kwako.Mbongo gari kwake kitu cha ajabu kweli
Ova
Madalali wa magari wanakula sana totoz kali kali town acha tu.