Bongo ukiwa na gari unahesabika umeyapatia sana maisha. Hata la kukodi tu zama nalo viwanja weka funguo kwenye kiuno attention inakuwa kubwa sana kwako.Mbongo gari kwake kitu cha ajabu kweli
Ova
Hahaha Daah JF kuna ukatiliSasa Gari nacho ni kitu cha kukosa kumiliki kweli
Huenda Ni swala la vipaumbele...Huenda vipaumbele vyangu ni ngono ndio vinanipa nguvu na ari yakutafuta Sawa ?Ukiendekeza ngono, na ngono itakuendesha wanawake wapo kadri unavokutana nao unawaona wazuri zaidi, zaidi na zaidi, ishi maisha binafsi siyo kwa ajili ya nani na nani anataka au ili nionekane
Kula totoz kali nao ni ujanja?Bongo ukiwa na gari unahesabika umeyapatia sana maisha. Hata la kukodi tu zama nalo viwanja weka funguo kwenye kiuno attention inakuwa kubwa sana kwako.
Madalali wa magari wanakula sana totoz kali kali town acha tu.
Kwa baadhi ya watu ndio.Kula totoz kali nao ni ujanja?
KikiWacheni watoto wazuri wapende wanaume wenye magari, kwa maana jua huko nje ni kali.
Wewe unamtembeza mtoto wa kike kwenye bodaboda mishkaki tena anapanda na jua kali halafu anakuja kwako anachoka na jua kabla ya kumchosha halafu bado unataka akupende the way jinsi ulivyo.
Hakuna mwanamke atakupenda the way ulivyo mhudumie mtoto wa watu hata kama huna hela uwe hata na gari anavokuja mtoto wa watu asichoke akae hata kwenye ma AC.
Video hapo chini kaongea mengi
View attachment 2717759
Ha ha mbona unaviolate JF ya where we dare to speak.....wale wapi mkuuHawa ndio waleee! wamerudi kwa kasi.
Kwa developed countries kutumia public transport ni raha na pride, ila kwa nchi zetu hizi unahesabika masikini tu.Hapa umechanganya vitu viwili,kua na hela na kumiliki Gari {Sijui kwa kusema kwako kua na hela una maanisha kua na kiasi gani cha hela}
sasa hivi Dunia inahamasisha watu kutumia public transport badala ya private car ili kupunguza Air pollution,issue hapa kwa Bongo kinachotakiwa ni kuimprove public transport,kwa mji kama Dar,hivi kila mtu akimiliki Gari hali itakuaje barabarani?
Luxembourg walideclare free public transport miaka mitatu iliyopita,hii yote katika kupunguza traffic jams na kulinda mazingira.
Ngono usipoitawala inakupa umasikini mkubwa sana. Just imagine mtu ananunua gari ili ang'oe pisi kali, ukosefu wa akili huoUkiendekeza ngono, na ngono itakuendesha wanawake wapo kadri unavokutana nao unawaona wazuri zaidi, zaidi na zaidi, ishi maisha binafsi siyo kwa ajili ya nani na nani anataka au ili nionekane
Hekima ni mtihani mgumu sanaJamaa anasema hata kama huna hela nununua gari, sasa sina hela gari nitanunulia nini au matako?
Kumuombea baya adui yako ni vema sana, lakini kwa mtu ambaye hayawahi kukukosea na chochote, sio uungwana.Sana tu, kuna mda vijana tunaombeana mabaya kutokana na vinywa vyetu tukifanikiwa kidogo
Vipi JF makasiriko mental health is real, umekula mkuuUzi wa KIPUMBAVU ulioandikwa na MPUMBAVU! na hiyo video inamuonesha MPUMBAVU asiyejielewa akizungumza UPUMBAVU! na range yake ya milioni 19, bei sawa na Kluger au Alpard... anajiona kashawin maisha tayari.
Kwa anaejua bei ya hiyo gari naomba anijuze.Wacheni watoto wazuri wapende wanaume wenye magari, kwa maana jua huko nje ni kali.
Wewe unamtembeza mtoto wa kike kwenye bodaboda mishkaki tena anapanda na jua kali halafu anakuja kwako anachoka na jua kabla ya kumchosha halafu bado unataka akupende the way jinsi ulivyo.
Hakuna mwanamke atakupenda the way ulivyo mhudumie mtoto wa watu hata kama huna hela uwe hata na gari anavokuja mtoto wa watu asichoke akae hata kwenye ma AC.
Video hapo chini kaongea mengi
View attachment 2717759
Hivi hii ng'ombe si walisema jogoo hawiki...? Kwahiyo starehe yake ni magari 🚮🚮Wacheni watoto wazuri wapende wanaume wenye magari, kwa maana jua huko nje ni kali.
Wewe unamtembeza mtoto wa kike kwenye bodaboda mishkaki tena anapanda na jua kali halafu anakuja kwako anachoka na jua kabla ya kumchosha halafu bado unataka akupende the way jinsi ulivyo.
Hakuna mwanamke atakupenda the way ulivyo mhudumie mtoto wa watu hata kama huna hela uwe hata na gari anavokuja mtoto wa watu asichoke akae hata kwenye ma AC.
Video hapo chini kaongea mengi
View attachment 2717759
Range siku hizi sio gari za kutisha jamaa anaendesha used car anatunisha ta.ko. Kuna jamaa anaitwa Chris's Lukosi anayauza mengi kwa mafungu pale salasalaUzi wa KIPUMBAVU ulioandikwa na MPUMBAVU! na hiyo video inamuonesha MPUMBAVU asiyejielewa akizungumza UPUMBAVU! na range yake ya milioni 19, bei sawa na Kluger au Alpard... anajiona kashawin maisha tayari.
Tabia za mtu mwenye akili za kimaskin hazijifichi hata akipata pesa kidgo.Kama ukoo mzima hawana Gari unategemea nini?
Hiyo ndio tafsiri ya athari Mbaya za Umaskini.
Fikiria kijana au Binti anaamini kuwa MTU kuvaa vizuri na nguo Safi ndio kuwa na Pesa.
Wanatumia Ile msemo wa Maskini kuwa kuvaa huficha umaskini.
Wanasahau kuwa kuvaa kunaficha umaskini Mbele ya Maskini wenzako.
Umeongea vizuri mkuu.Ongeeni yote ila msijifariji sana pesa inanafasi yake maishani pesa inaheshimisha japo hutakiwi kuwa na pesa utu ukakutoka ukaona wengine hawana maana ni jambo baya. Ila usije jidanganya kisa huna hela ukahisi hayo ni maisha mazuri unatakiwa uyapende kataa sana umaskini.
Gari siku hizi ki kitu cha muhimu kuwa nacho kitakusaidia kuepuka karaha nyingi sana kwenye jamii na itakufanya uwe na usiri kwenye mambo yako.
Siwezi mpinga mtu anaehamasisha watu watafute hela na jamaa kaongea ukweli jamii zetu kibongo tunathamini vitu. Wenye nazo wanathamini utu wao.