Kwamba anaagiza kilo moja ya rost alafu funguo za crown mnyama kaziweka mezani kila saa anatoka kwenye kiti chake anafanya mambo ya push to start au gari anaiacha silencer huku sport light shwaaaa ili mradi watu wamuone mjini naye zimbaa π π πBongo ukiwa na gari unahesabika umeyapatia sana maisha. Hata la kukodi tu zama nalo viwanja weka funguo kwenye kiuno attention inakuwa kubwa sana kwako.
Madalali wa magari wanakula sana totoz kali kali town acha tu.
Tena ujanja mkubwa sana, wewe usiniambie hutaki kula pisiiiiiii hizi ni hadithi za sizitaki mbichi hizi mzee ππππ πKula totoz kali nao ni ujanja?
Town kuna vioja sana mkuu πKwamba anaagiza kilo moja ya rost alafu funguo za crown mnyama kaziweka mezani kila saa anatoka kwenye kiti chake anafanya mambo ya push to start au gari anaiacha silencer huku sport light shwaaaa ili mradi watu wamuone mjini naye zimbaa π π π
AU SIOSasa Gari nacho ni kitu cha kukosa kumiliki kweli
Chai.Maoni yako hayanabudi kuheshimiwa.
Sio kwa nia ya kujikweza, ila mimi binafsi nina gari 2, Discovery 4 hybrid na Nissan Dualis. Gari yangu ya kwanza nilinunua 2012 mara tu baada ya kumaliza Chuo Kikuu, ilikuwa ni Hyundai Coupe Sports car, nikauza.
Mara nyingi kama nikikosa mtu wa kuniendesha huwa napenda kutumia uber au bolt. Kuendesha kumenikinai kabisa. Pengine ni umri, lakini pia sidhani kama ni umri because I am turning 35 next year.
Gari natumia nikitoka nje ya mkoa au nikiwa na safari inayonilazimu sana kutumia gari kwa mizunguko ya mjini. Sioni kama gari ni kitu cha ajabu tena. Tunatofautiana sana kwakweli.
Inategemeana na aina ya gari na inategemeana na ukubwa wa kiwanja na eneo lakekwa akili yako mwenye gari ya mil 100 na mwenye uwanja wa milion 10 nani tajili?
Hahaha..Wacheni watoto wazuri wapende wanaume wenye magari, kwa maana jua huko nje ni kali.
Wewe unamtembeza mtoto wa kike kwenye bodaboda mishkaki tena anapanda na jua kali halafu anakuja kwako anachoka na jua kabla ya kumchosha halafu bado unataka akupende the way jinsi ulivyo.
Hakuna mwanamke atakupenda the way ulivyo mhudumie mtoto wa watu hata kama huna hela uwe hata na gari anavokuja mtoto wa watu asichoke akae hata kwenye ma AC.
Video hapo chini kaongea mengi
View attachment 2717759
Gari ni liabilitykwa akili yako mwenye gari ya mil 100 na mwenye uwanja wa milion 10 nani tajili?
Nyinyi mtakuwa mnaishi vijijini, pisi za kisasa zinajari pesa, hawana muda na gari labda umuhonge yeye ndio anaweza kukuelewaMchekini huyu mwamba insta ana chuma kali sana za milioni 3 mpaka 4 "jacktan safari" ila mwaka huu usikose hata corolla ya kuzugia namba A na pisi kali unazila kama kawa.
ujue kina mwaju hawamind aina ya gar sema wana wa sinza mshawakaririsha mademu zenu kuwa crown ndiyo gari na kina bmw π π π
Mimi nikipata mama moja kaliii imesimama ...naishi nayo hyo hyo sio kila mahala nipakuenda chiefTena ujanja mkubwa sana, wewe usiniambie hutaki kula pisiiiiiii hizi ni hadithi za sizitaki mbichi hizi mzee ππππ π
Mzee tulitegemea utampa kijana ushauri wenye busara na kumjengaSisi wazee wa mjini bana! Tunakwenda na upepo... Nasikia siku hizi vijana wakitaka nyota zao zing'ae wa-shine ni mpaka wapigwe mashine kwanza na Wanamume wenzao ndo mambo yawe Mukidee! Nasi tunaenda na Flow! Wao si wanataka waishi vizuri mjini bana! Sisi hatuna hiyana... tulipambana, tukaenda shule na matunda tunayaona wao wanataka vya dezo. Mwambieni asione haya!
Hujui kwamba JF Mimi na wewe ndio tumeishia form four na hatuna hata baiskeli?Chai.
Mshukuru MunguWacheni watoto wazuri wapende wanaume wenye magari, kwa maana jua huko nje ni kali.
Wewe unamtembeza mtoto wa kike kwenye bodaboda mishkaki tena anapanda na jua kali halafu anakuja kwako anachoka na jua kabla ya kumchosha halafu bado unataka akupende the way jinsi ulivyo.
Hakuna mwanamke atakupenda the way ulivyo mhudumie mtoto wa watu hata kama huna hela uwe hata na gari anavokuja mtoto wa watu asichoke akae hata kwenye ma AC.
Video hapo chini kaongea mengi
View attachment 2717759
Sasa kama huyo MPUMBAVU hashauriki tumfanye vipi?!Mzee tulitegemea utampa kijana ushauri wenye busara na kumjenga
Kwakweli Elimu uliyo nayo uli-deserve kuwa Nayo Dr.Gari ni liability
Uwanja ni asset.
Hapo utaelewa nani ni nani.
Tuanzishe ule mfumo wa kutandikwa viboko na wazeeSasa kama huyo MPUMBAVU hashauriki tumfanye vipi?!
Town akili utazikuta njoo na mwili πππTown kuna vioja sana mkuu π
Nipo nyuma nilikuwa sijui hili π π πNyinyi mtakuwa mnaishi vijijini, pisi za kisasa zinajari pesa, hawana muda na gari labda umuhonge yeye ndio anaweza kukuelewa
Dunia ilipofika hakuna raha kama kutumia hizi Uber, unakwenda sehemu unapiga mtungi kwa kujiachia bila mawazo SAA ya kurudi barabarani itakuwaje.
Don't drink and drive, pesa ndio kila kitu, mtu anayekuja sehemu na Bodaboda na ana mawe wewe njoo hata na Cardilac hakuna mtu utamstuwa kama huna mawe.
Wanawake wanataka pesa siyo show off, hao walikuwa mademu wa zamani sana, sasa hivi pisi zote zinapandishwa Bodaboda vizuri tu anachojari yeye anarudi na mpunga kwenye pochi.