Hii akili ya kitanzania ya kumiliki gari kuona wenzako ni mbwa inatesa vijana

Hii akili ya kitanzania ya kumiliki gari kuona wenzako ni mbwa inatesa vijana

Nyinyi mtakuwa mnaishi vijijini, pisi za kisasa zinajari pesa, hawana muda na gari labda umuhonge yeye ndio anaweza kukuelewa

Dunia ilipofika hakuna raha kama kutumia hizi Uber, unakwenda sehemu unapiga mtungi kwa kujiachia bila mawazo SAA ya kurudi barabarani itakuwaje.

Don't drink and drive, pesa ndio kila kitu, mtu anayekuja sehemu na Bodaboda na ana mawe wewe njoo hata na Cardilac hakuna mtu utamstuwa kama huna mawe.

Wanawake wanataka pesa siyo show off, hao walikuwa mademu wa zamani sana, sasa hivi pisi zote zinapandishwa Bodaboda vizuri tu anachojari yeye anarudi na mpunga kwenye pochi.
Huwezi kuwa na Cadillac au unatembelea Uber full time halafu huna hela (sio lazima uwe tajiri).

Shida ni pale useme una hela lakini unapanda takataka zinazo itwa daladala/mwendokasi.

We ni kapuku tu, hakuna sababu yoyote ya kujistify otherwise.

#kataadaladala


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi theory zina limitations zake.

Ukiendekeza hivyo vi theory uchwara utashindwa kuishi, maana kuna vitu vingi sana kwenye maisha ni liability lakini tunavimiliki.

Kuna kutafuta hela na kuna kuishi.

#kataadaladala

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kwa bahati nzuri nimezaliwa miaka ya 70's Nyerere akiwa Rais.

Nimepata akili na kujitambuwa Nyumbani tuna kuna gari mbili, nadhani unafahamu vizuri enzi za Mwalimu familia yenye gari ni ya aina gani.

Kwahiyo kwa miaka yote hiyo mpaka leo Nina maisha yangu gari kwangu siyo issue tena.

Naweza kuachana na gari nikatumia mwendokasi na nikannect na uber kadili ya mahitaji yangu.

Tena kuna hii kampuni inaitwa Zebra wapo cheap kuliko ubber na wana offer nyingi sana.

Ukikalili kuwa na gari tu kuna maisha mengine huwezi kuyaelewa.

Ninachojuwa Mimi, kizazi hiki kilichopo asilimia kubwa maisha waliyokulia gari ilikuwa ni ndoto kwao, kwahiyo tegemea kizazi hiki gari kwao kuwa kitu cha maana sana.
 
Mimi kwa bahati nzuri nimezaliwa miaka ya 70's Nyerere akiwa Rais.

Nimepata akili na kujitambuwa Nyumbani tuna kuna gari mbili, nadhani unafahamu vizuri enzi za Mwalimu familia yenye gari ni ya aina gani.

Kwahiyo kwa miaka yote hiyo mpaka leo Nina maisha yangu gari kwangu siyo issue tena.

Naweza kuachana na gari nikatumia mwendokasi na nikannect na uber kadili ya mahitaji yangu.

Tena kuna hii kampuni inaitwa Zebra wapo cheap kuliko ubber na wana offer nyingi sana.

Ukikalili kuwa na gari tu kuna maisha mengine huwezi kuyaelewa.

Ninachojuwa Mimi, kizazi hiki kilichopo asilimia kubwa maisha waliyokulia gari ilikuwa ni ndoto kwao, kwahiyo tegemea kizazi hiki gari kwao kuwa kitu cha maana sana.
Hongera kwa kukulia kwenye gari, na we mwenyewe unakiri kwamba kumiliki gari haikua mchezo hata sasa sio mchezo pia.

Wewe kuona kawaida haimaanishi ni kitu rahisi, hata mtoto wa bakhera yale maisha anaona kawaida na hakuna jipya, unakumbuka JK aliwahi kijiuliza why watanzania ni maskini?


Kumbuka kero ya usafiri wa public enzi za nyerere hata mwinyi sio za leo.

Usafiri wa public hasa daslam ni disaster, kapuku pekee ndie anayeweza kuutumia full time, hasa route ndefu.

Mi sizingumzii pride ya kuwa na gari usichanganye hapa, mi nazungumzia kero za daladala/mwendokasi, huwezi kuwa na uwezo halafu eti ukawa una panda yale ma DCM ya gongo la mboto au mwendokasi ya kimara/mbezi kwenda mjini ...hio haipo labda kama uko na kazi maalumu.

We mwenyewe unatumia uber mara nyingi mwendokasi ni by-the-way, na nahisi mwendokasi unapanda morroco to magomeni.


Panda full time daladala/mwendokasi na una uwezo wa kuwa na gari au kupanda uber full time, utakacho kutana nacho itakuja kufuta hii post yako.

Anyways, ngoja niwafatilie zebra naweza kuacha kutumia hizo takataka za daladala kwa muda wakati najipanga ....kuachana nazo milele.

#kataadaladala



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa kukulia kwenye gari, na we mwenyewe unakiri kwamba kumiliki gari haikua mchezo hata sasa sio mchezo pia.

Wewe kuona kawaida haimaanishi ni kitu rahisi, hata mtoto wa bakhera yale maisha anaona kawaida na hakuna jipya, unakumbuka JK aliwahi kijiuliza why watanzania ni maskini?


Kumbuka kero ya usafiri wa public enzi za nyerere hata mwinyi sio za leo.

Usafiri wa public hasa daslam ni disaster, kapuku pekee ndie anayeweza kuutumia full time, hasa route ndefu.

Mi sizingumzii pride ya kuwa na gari usichanganye hapa, mi nazungumzia kero za daladala/mwendokasi, huwezi kuwa na uwezo halafu eti ukawa una panda yale ma DCM ya gongo la mboto au mwendokasi ya kimara/mbezi kwenda mjini ...hio haipo labda kama uko na kazi maalumu.

We mwenyewe unatumia uber mara nyingi mwendokasi ni by-the-way, na nahisi mwendokasi unapanda morroco to magomeni.


Panda full time daladala/mwendokasi na una uwezo wa kuwa na gari au kupanda uber full time, utakacho kutana nacho itakuja kufuta hii post yako.

Anyways, ngoja niwafatilie zebra naweza kuacha kutumia hizo takataka za daladala kwa muda wakati najipanga ....kuachana nazo milele.

#kataadaladala



Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakulia kwenye gari Bali nimezaliwa nimekuta mshuwa hivyo vitu anavyo na mifumo ya kinyonge ya Nyerere alishaikataaa kitambo tu.

Daladala ni kero hakuna mtu wa kufagilia hizo kitu.

My point unaweza kumiliki gari lakini siyo kwamba muda wote upo na gari yako tu, kuna wakati unaweza kuwa economy ukatumia usafiri mbadala unasave cost.

Kuna watu nawafahamu magari yanawatesa tu badala ya kuwa access ya kurahisisha mambo, hao ndio utakuta mpo point A mnataka kwenda point B, au kuna msiba mtaani mazishi yapo kilometres kadhaa mtu anataka mchangishane pesa ya mafuta yani hapo ujuwe unafosi tu kuwa na gari saa nyingine park Nyumbani ile pesa kidogo ambayo uñgeweka mafuta ni pocket money yako.
 
Sijakulia kwenye gari Bali nimezaliwa nimekuta mshuwa hivyo vitu anavyo na mifumo ya kinyonge ya Nyerere alishaikataaa kitambo tu.

Daladala ni kero hakuna mtu wa kufagilia hizo kitu.

My point unaweza kumiliki gari lakini siyo kwamba muda wote upo na gari yako tu, kuna wakati unaweza kuwa economy ukatumia usafiri mbadala unasave cost.

Kuna watu nawafahamu magari yanawatesa tu badala ya kuwa access ya kurahisisha mambo, hao ndio utakuta mpo point A mnataka kwenda point B, au kuna msiba mtaani mazishi yapo kilometres kadhaa mtu anataka mchangishane pesa ya mafuta yani hapo ujuwe unafosi tu kuwa na gari saa nyingine park Nyumbani ile pesa kidogo ambayo uñgeweka mafuta ni pocket money yako.
Nashukuru umekubali kwamba daladala ni kero kubwa na hakuna mwenye uwezo atataka apande hizo takataka.


Ni either amiliki usafiri wake (haijalishi aina) au atumie uber.

Hao unaowasema bado uwezo wao ni daladala/mwendokasi..either walilazimisha kununua magari, walipiga mshindo au waliyumba kiuchumi.


#kataadaladala


Daladala ni kero

Daladala ni unyanyasaji

Daladala ni msongo wa mawazo

Daladala ni usafiri wa makapuku na watu wa hovyo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuanzishe ule mfumo wa kutandikwa viboko na wazee
hii yote ni athari ya malezi mabovu, au uzwazwa na makundi ambayo mtoto anakutana nayo kwenye ukuaji wake lakini pia na utandawazi.... kuiga wanayoyaona kwenye luninga kutoka majuu kwa mataifa ya watu wasio na dini na wasiojitambua mfano Marekani... kutuonesha wanachoma pesa, mara wanaoshea magari mapombe ya gharama au meno ya almasi... kama ni matajiri sana kwann wasiwasaidie wasio na makazi au wanaolala nje huko makwao?! (UPUMBAVU!)

utotoni mpigwe na ukubwani mpigwe?!

Hamchelewi kudunda wakubwa zenu nyinyi 😥😰
 
Hizi theory zina limitations zake.

Ukiendekeza hivyo vi theory uchwara utashindwa kuishi, maana kuna vitu vingi sana kwenye maisha ni liability lakini tunavimiliki.

Kuna kutafuta hela na kuna kuishi.

#kataadaladala

Sent using Jamii Forums mobile app
Una miaka mingapi na una elimu gani ya kupinga kauli za kisomi kutoka kwa wasomi na ambazo ziko applied kwenye maisha halisi?! Nafuatilia michango yako nakuona ni kama kijana mfuata mkumbo. Waswahili wanaita "Kichwa mchungwa! Au bendera inayofuata upepo"

Hapo juu unalialia jamaa akusaidie upate gari, na huna hapo inamaana we ni ungaunga mwana ila bado una-support vitu ambavyo si muhimu kuwa navyo na uwezo huna! We kijana una uwalakini.
 
Una miaka mingapi na una elimu gani ya kupinga kauli za kisomi kutoka kwa wasomi na ambazo ziko applied kwenye maisha halisi?! Nafuatilia michango yako nakuona ni kama kijana mfuata mkumbo. Waswahili wanaita "Kichwa mchungwa! Au bendera inayofuata upepo"

Hapo juu unalialia jamaa akusaidie upate gari, na huna hapo inamaana we ni ungaunga mwana ila bado una-support vitu ambavyo si muhimu kuwa navyo na uwezo huna! We kijana una uwalakini.
Kila mtu anaweza kuandika chochote, so maoni yako yaheshimiwe.

#kataadaladala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijakulia kwenye gari Bali nimezaliwa nimekuta mshuwa hivyo vitu anavyo na mifumo ya kinyonge ya Nyerere alishaikataaa kitambo tu.

Daladala ni kero hakuna mtu wa kufagilia hizo kitu.

My point unaweza kumiliki gari lakini siyo kwamba muda wote upo na gari yako tu, kuna wakati unaweza kuwa economy ukatumia usafiri mbadala unasave cost.

Kuna watu nawafahamu magari yanawatesa tu badala ya kuwa access ya kurahisisha mambo, hao ndio utakuta mpo point A mnataka kwenda point B, au kuna msiba mtaani mazishi yapo kilometres kadhaa mtu anataka mchangishane pesa ya mafuta yani hapo ujuwe unafosi tu kuwa na gari saa nyingine park Nyumbani ile pesa kidogo ambayo uñgeweka mafuta ni pocket money yako.
Dr. Hebu achana na huyu kijana... hana hadhi ya kujenga hoja na kuitetea. Hawezi kuzungumza nawe nimegundua ana kaujeuri ka vijana wa mjini kuona upuzi upuzi ndo system sahihi ya maisha.
 
Kila mtu anaweza kuandika chochote, so maoni yako yaheshimiwe.

#kataadaladala

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta nauli uende ukaishi hata Norway au Spain angalau miaka mitatu upate exposure utagundua hivyo mnavyokaa na kuviota vijana wa kiafrika ni upuuzi! Utarudi ukiwa na akili kubwa ya mambo makubwa na ya maana zaidi kuliko hayo unayoyapigia kelele hapa.

Huko kwingineko Duniani kijana wa 18+ au below ana gari tena mfano Volvo SUV XC90 kali kama Touareg au Brabus, na hapo anasoma. Vitu ambavyo kijana wa 30+ anaviota akimaliza masomo au akianza kazi, inshort havina maana!

Katafute exposure utajiona we ulikuwa mwehu!

Huwezi kuelewa point yangu hapa, great thinkers washaelewa. 😊👍🏾
 
hii yote ni athari ya malezi mabovu, au uzwazwa na makundi ambayo mtoto anakutana nayo kwenye ukuaji wake lakini pia na utandawazi.... kuiga wanayoyaona kwenye luninga kutoka majuu kwa mataifa ya watu wasio na dini na wasiojitambua mfano Marekani... kutuonesha wanachoma pesa, mara wanaoshea magari mapombe ya gharama au meno ya almasi... kama ni matajiri sana kwann wasiwasaidie wasio na makazi au wanaolala nje huko makwao?! (UPUMBAVU!)

utotoni mpigwe na ukubwani mpigwe?!

Hamchelewi kudunda wakubwa zenu nyinyi 😥😰
vijana tuombewe pia
 
Tafuta nauli uende ukaishi hata Norway au Spain angalau miaka mitatu upate exposure utagundua hivyo mnavyokaa na kuviota vijana wa kiafrika ni upuuzi! Utarudi ukiwa na akili kubwa ya mambo makubwa na ya maana zaidi kuliko hayo unayoyapigia kelele hapa.

Huko kwingineko Duniani kijana wa 18+ au below ana gari tena mfano Volvo SUV XC90 kali kama Touareg au Brabus, na hapo anasoma. Vitu ambavyo kijana wa 30+ anaviota akimaliza masomo au akianza kazi, inshort havina maana!

Katafute exposure utajiona we ulikuwa mwehu!

Huwezi kuelewa point yangu hapa, great thinkers washaelewa. [emoji4][emoji1474]
We ndio akili huna.

Naona unapuyanga tu, au ndio jua linachoma akili imevurugwa au umeshika bomba hapo karume umechoka unaanza ku type hovyo hovyo?

Soma kwa kuelewa sio unarukia rukia vitu.

Mi singumzii pride ya kuwa na gari wala aina ya gari, nisome kwa kuelewa.

Nazungumzia kuwa na usafiri ili kukwepa kero za daladala/mwendokasi.

Hivi public transport sector ya huko ulikopataja utafananisha na daladala za m/complex chanika au mwendokasi za kimara/gerezani?

Uchumi wa huko duniani utalinganisha na huku shithole countries?

#kataadaladala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi simchukulii jamaa kama mjivuni bali comedian, huenda hata pesa hizo hana au si zake ila anapata hao followers, fame nk.

Labda anawamotivate wale ambao wanapenda maonesho na ujivuni kama yeye ila hamna mwanaume asiejua kua anahitaji pesa.
 
Huu Ni upambavu wa kiwango Cha juu Sana, gari sio kipimo Cha utajiri
 
Back
Top Bottom