Kumbe umejifunzia kupika humu? Basi unalipenda jiko pia. Plus hamna chapati rahisi kupika kama hizo za maji bwanaHahah mwanzo mgumu jamani...nikikuonesha chapati yangu ya kwanza kupika na baada ya kufundishwa na Evelyn Salt hutoamini...
unanifanya niache kazi nianze kutafuta picha sasa...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukimaliza hapo unashushia na maji basi tena. Kweli staftahi kabambe hiyo sio chapati za mtoa uzi utasema kaziloeka kwenye mafuta [emoji23][emoji23]
Na kingine napenda mwanaume anaejua kupika. Nikae ye anipikie siku moja moja.Si kwasababu hajui kupika hata ukipika ovyo ye atakula na no comment, lakini mkitupata tunaojua, ukiniripulia jikoni nakwambia ukae pembeni nafanya yangu then we unabakia kuona haya tu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Bas we utakua unajua tu kidogo,sio wale wapishi waliobobeaNimeshaoa, na watoto wawili
Umeziangalia vizuri lakini? Halafu siwaelewagi wanaowekaga sukari kwenye chapati za maji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Una historia ndefu ya wanaumeMwanaume anajua mpaka kuunga mchuzi wa nazi anawahi kuoa kutafuta nn
Unakuta kwake kuna kibao cha chapati,cha kukunia nazi na kinu hahaha hao hawaoagi
Au asiejua kufua[emoji23] [emoji23] mi yan hiv vitu viwili naviangalia kwa makini sana.Sema ukipata mwanaume asiejua kupika raha hata umpikie nini ye anajionea sawa tuu. [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa unanichuria ama?
Hebu jiongeze kidogo....
Tatizo sio mahari tatizo sijapata alietuliaUtakua tu hujapata wa kumuoa au hauna mahari
Ulishawahi kuingia jukwaa la mapishi kwenye ule uzi wa vyakula tu? Kwa kubobea tu ni mbobezi si mchezo, miaka zaidi ya 20. Hata kama ningekuwa nimesomea basi ni mwaka mmoja tu unakuwa fit jikoniBas we utakua unajua tu kidogo,sio wale wapishi waliobobea
Kuna pishi nililiona la keki ya nanas kuja kuijaribu aaaaai ni chachu hahaha sikuitaka tena,kutaka kujifunza kila kitu kunatucost,sjui nlikosea wapMi natakaga kujua recipes na steps basi.
Mi sipendi,ni sawa na anaeweka sukar kweny makande dahUmeziangalia vizuri lakini? Halafu siwaelewagi wanaowekaga sukari kwenye chapati za maji
Za kusukuma je?Hii ilikuwa chapati yangu ya kwanza kutengeneza...
View attachment 717963
Hii ni baada ya kufundishwa....
Na bado nina imani nina a lot of room for development. Sikuwahi kudhani kama ningeweza kupika chapati, nilikuwa nachukulia ni mapishi magumu balaa....ila....
Hiyo ya kwanza I bet ilitoka kama kaukau [emoji23][emoji23][emoji23]. Wewe unapenda kupika inaonekanaHii ilikuwa chapati yangu ya kwanza kutengeneza...
View attachment 717963
Hii ni baada ya kufundishwa....
Na bado nina imani nina a lot of room for development. Sikuwahi kudhani kama ningeweza kupika chapati, nilikuwa nachukulia ni mapishi magumu balaa....ila....
Mi natakaga kujua recipes na steps basi.
Zingine ni za majirani,ndugu,jamaa,na marafiki,zikiwa zangu mbona nasema tu[emoji23]Una historia ndefu ya wanaume
Hapo kwenye kufua kwa kweli sina kazi napo sanaaa maana mi mwenyewe kufua siwezi.Au asiejua kufua[emoji23] [emoji23] mi yan hiv vitu viwili naviangalia kwa makini sana.
Mwanaume nae anaeng'arisha nguo ukimfulia anaona kama hujatakatisha,atakwambia mbona hii kola hujasugua vizur,na humu kwapani hujatakatisha,utafubaisha shati langu.mamaaaae unataman umwambie fua mwenyww mbwa ww
Utapata tuTatizo sio mahari tatizo sijapata alietulia