Kwa hiyo umeshindwa kujibu?Sasa hicho mkuu si hta mwanasheria anaweza kujibu kutoka na mIongozo na sheria..
Dah umeniangusha sna kwa hilo swali ambalo liko wide hata mtu ambaye anakaa vijiweni (Vile vijiww vyenye facts lakini) anaweza kuelezea
Mtu akianza kazi tarehe 1, siku 30 zitakamila tarehe ngapi ya mwezi husika?Mwezi unakamilia kwa siku 30 regardless umeanza kuhesabu tarehe gani
Ninaijua mkuu mpaka marekebisho yke ya 2023 na nilishawahi kuweka uzi kuihusu pia ...Kwa hiyo umeshindwa kujibu?
Haya nenda kasome Sheria ya Tanzania intelligence and security service Act, utapata mwanga
Kwa umelipa Mfanyakazi wako Wa ndani Leo Tarehe 12 mwezi ujao unategemea umlipe tarehe ngapi?Mtu akianza kazi tarehe 1, siku 30 zitakamila tarehe ngapi ya mwezi husika?
Kama ulikuwa unaijua mbona ulishindwa kutaja majukumu na Kazi za TISS? Ilikuwaje ukashindwa kunijibu swali langu?Ninaijua mkuu mpaka marekebisho yke ya 2023 na nilishawahi kuweka uzi kuihusu pia ...
so pitia Sheria hiyo..na ndo maana nikasema hata Bush lawyer yoyote anauwezo wa kujibu swali lako..
Je, Rais kavunja Sheria ya Usalama wa Taifa ya mwaka 2023 kwa kumteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama kuwa Balozi?
Nawasalimu Kwa jina la JMT...🇹🇿 Jana katika pita pita zangu nilikutana na Taarifa kutoka ikulu ikisema kuwa Rais amemteua Bw Hussein Massoro Kuwa balozi na kumuweka Balozi Ali Idi Siwa kuwa DG mpya TISS. (kongole kwake). Japo jambo hilo lilizua mijadala mingi ikiwemo uwepo wa Tengua tengua Ya...www.jamiiforums.com
Kwa sababu ni swali sahihi katika Sehemu isiyo sahihi?Kama ulikuwa unaijua mbona ulishindwa kutaja majukumu na Kazi za TISS? Ilikuwaje ukashindwa kunijibu swali langu?
Yan ni Matesoo😅Walimu tuna hali ngumu
Kwa hiyo unakubali kwamba ulikuwa hujui majukumu na Kazi za TISS?Kwa sababu ni swali sahihi katika Sehemu isiyo sahihi?
Kwahyo alwayz Majibu yako huwa Ni si sahihi
Umeelewa hiyo phrase ...Kwa hiyo unakubali kwamba ulikuwa hujui majukumu na Kazi za TISS?
Ilikuwa inakugharimu kiasi gani kutaja Kazi na majukumu ya TISS?Umeelewa hiyo phrase ...
Kuwa Swali lilikuwa Sahihi lakini si sehemu au mahali sahihi
Mkuu tuachane na hii mada naomba nikuridhishe kwa kusema kuwa sina nilijualo kuhusu Hizo herufi!Ilikuwa inakugharimu kiasi gani kutaja Kazi na majukumu ya TISS?
Waulize Walipaji!Kwanini mishahara ilipwe kabla mwezi haujaisha?
Bezo Master kwenye ukaguzi😂Ulisha acha kazi?
USHAURI: Nataka kuacha kazi ila nina mkopo Benki
Habari za asubuhi? Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza nimeajiriwa na serikali taaluma yangu ni Daktari wa binadamu (medical doctor) kuna mkopo nimechukua wa thamani ya mil 35. Nimefungua pharmacy pamoja na maabara. Nataka niache kazi nisimamie biashara zangu. Je, nikikimbia serikali...www.jamiiforums.com
Kada za kupiga salute na kushika mjegeje zina kalaana fulaniShida nini wakati nyie mapoti mnalipwa Salary nono,mnalipwa pia posho ya nyumba,na mnalipwa pia posho ya chakula
Tofaut na kada nyingi hulipwa salary pekee.
Na utasemaBado hujasema Mr. Civil servant.
Kwa hiyo ukizaliwa march unatimiza mwaka mmoja December regardless umezaliwa lini?Mwezi unakamilia kwa siku 30 regardless umeanza kuhesabu tarehe gani
Dah poleni aisee,Kada za kupiga salute na kushika mjegeje zina kalaana fulani
😂😂😂Kwamba wanajaribu siku wakikausha miezi miwili itakuaje 😀😀Kuna kitu wanatest..sema nyie tu hamjaelewa wanaangalia uvumilivu wa watu wa umma
Hata mwaka🤣😂😂😂Kwamba wanajaribu siku wakikausha miezi miwili itakuaje 😀😀