Hii collabo kati ya mtu mzima Jigga (Jay-Z) na Slim Shady (Eminem) Renegade nani aliua (verses kali)?

Hii collabo kati ya mtu mzima Jigga (Jay-Z) na Slim Shady (Eminem) Renegade nani aliua (verses kali)?

Eminem saluti mule ndani, katembea hatari japo Jigga naye kajitahidi sana sanaa...

Kimsingi usipoambiwa hiyo ngoma ni ya nani?! Utajua ni ya Eminem.
Mtu mzima jigga alifanywa kama mtoto
 
Mi naona monster ya em ft Rihanna ndo Kali zaidi aisee 🔥🔥
Zote kwangu ni kali as long as Rihanna yupo kunogesha ngoma ya hip hop ngoma hio ina asilimia kubwa mimi kuikubali ukianza hizo alizo shirikishwa na Eminem, Jay-Z, Kanye West, T.I ........ Rihanna yupo vizuri kwenye kuipa vibe ngoma ya Hip hop ni kama Commando hapa bongo
 
Mataita, kwa wale wote ambao tayari wameupa sikio mkwaju huu wa "Renegade" kati ya mzee mzima Jigga akimshirikisha Slim Shady ni mchizi gani alipiga verses kali humu.

Mpaka sasa mzani wangu bado upo 50/50 verses za machizi wote nazielewa kiaina.

Sijui kwa nini hawa mataita huu mkwaju hawa kuutolea kideo ?

Verses:
[Jay-Z:]
Motherfuckers say that I'm foolish, I only talk about jewels (Bling bling)
Do you fools listen to music or do you just skim through it?
See, I'm influenced by the ghetto you ruined
The same dude you gave nothin', I made somethin' doin'
What I do, through and through and
I give you the news with a twist, it's just his ghetto point of view
The renegade, you been afraid I penetrate pop culture
Bring 'em a lot closer to the block where they pop toasters
And they live with they moms, got dropped roadsters
From botched robberies, niggas crouched over
Mami's knocked up 'cause she wasn't watched over
Knocked down by some clown when child support knocked
"No, he's not around." Now, how that sound to ya? Jot it down
I bring you through the ghetto without ridin' round
Hidin' down, duckin' strays from frustrated youths stuck in they ways
Just read a magazine that fucked up my day
How you rate music that thugs with nothin' relate to it?
I help them see they way through it—not you
Can't step in my pants, can't walk in my shoes
Bet everything you worth, you'll lose your tie and your shirt

[Eminem:]
Since I'm in a position to talk to these kids and they listen
I ain't no politician, but I'll kick it with 'em a minute
'Cause, see, they call me a menace and if the shoe fits, I'll wear it
But if it don't, then y'all will swallow the truth, grin and bear it
Now who's the king of these rude, ludicrous, lucrative lyrics?
Who could inherit the title, put the youth in hysterics
Usin' his music to steer it, sharin' his views and his merits?
But there's a huge interference, they're sayin' you shouldn't hear it
Maybe it's hatred I spew, maybe it's food for the spirit
Maybe it's beautiful music I made for you to just cherish
But I'm debated, disputed, hated and viewed in America
As a motherfuckin' drug addict, like you didn't experiment?
Nah, nah!—That's when you start to stare at who's in the mirror
And see yourself as a kid again, and you get embarrassed
And I got nothin' to do but make you look stupid as parents
You fuckin' do-gooders, too bad you couldn't do good at marriage (Ha-ha!)
And do you have any clue what I had to do to get here?
I don't think you do, so stay tuned and keep your ears glued to the stereo
'Cause here we go, he's Jigga-Jur-Jigga-Jih-Jigga
And I'm the sinister Mr. Kiss-My-Ass is just a—

[Eminem (Jay-Z):]
—renegade! Never been afraid to say
What's on my mind at any given time of day
'Cause I'm a renegade!
Never been afraid to talk about anything
(Anything?) Anything! (Anything)
Renegade! (Never been afraid to say)
(What's on my mind at any given time of day)
('Cause I'm a) renegade!
(Never been afraid to holler about anything)
Anything? (Anything) Anything!

[Jay-Z:]
I had to hustle, my back to the wall, ashy knuckles
Pockets filled with a lotta lint, not a cent
Gotta vent, lotta innocent lives lost on the project bench
What you hollerin'? Gotta pay rent, bring dollars in
By the bodega, iron under my coat
Feelin' braver, durag wrappin' my waves up, pockets full of hope
Do not step to me, I'm awkward, I box lefty
An orphan my pops left me and often my momma wasn't home
Could not stress to me, I wasn't grown
'Specially on nights I brought somethin' home to quiet the stomach rumblings
My demeanor, thirty years my senior
My childhood didn't mean much, only raisin' green up
Raisin' my fingers to critics, raisin' my head to the sky
Big, I did it, multi before I die
No lie, just know I chose my own fate
I drove by the fork in the road and went straight

[Eminem:]
See, I'm a poet to some, a regular modern-day Shakespeare
Jesus Christ, the king of these Latter-day Saints here
To shatter the picture in which of that as they paint me as
A monger of hate, satanist, scatter-brained atheist
But that ain't the case, see, it's a matter of taste
We as a people decide if Shady's as bad as they say he is
Or is he the latter, a gateway to escape?
Media scapegoat who they can be mad at today
See, it's as easy as cake, simple as whistlin' "Dixie"
While I'm wavin' the pistol at sixty Christians against me
Go to war with the Mormons, take a bath with the Catholics
In holy water, no wonder they tried to hold me under longer
I'm a motherfuckin' spiteful, delightful eyeful
The new Ice Cube, motherfuckers hate to like you
What did I do? (Huh?) I'm just a kid from the gutter
Makin' his butter off these bloodsuckers, 'cause I'm a muh'fuckin'—

[Eminem (Jay-Z):]
—renegade! Never been afraid to say
What's on my mind at any given time of day
'Cause I'm a renegade!
Never been afraid to talk about anything
(Anything?) Anything! (Anything)
Renegade! (Never been afraid to say)
(What's on my mind at any given time of day)
('Cause I'm a) renegade!
(Never been afraid to holler about anything)
Anything? (Anything) Anything!

Renegade! Never been afraid to say
What's on my mind at any given time of day
'Cause I'm a renegade!
Never been afraid to talk about anything
(Anything?) Anything! (Anything)
Renegade! (Never been afraid to say)
(What's on my mind at any given time of day)
('Cause I'm a) renegade!
(Never been afraid to holler about anything)
Anything? (Anything) Anything!
Jay-Z - The Blueprint album cover

View attachment 2712606
Ngoma kali nenda kaskilize wimbo wa Rosa ree ft Fid Q unaitwa (Trust) wamesampo bit ya hii Ngoma.

Na hiyo ngoma trust ya rosa ree Fidq kapita floo ya Eminem kwenye wimbo wa 50Cent (Dont push me) nenda kaskilize utaleta mrejesho hapa.

Renegade ni wimbo mkali na Eminame kafunika.
 
Niliwahi kuandika mahala, mtu pekee anaeweza kupiga collabo na eminem na asifunikwe vibaya ni Lil Wayne!

Lil Wayne ndio anajua namna ya kuhandle collabo za Slim Shaddy. Na siri pekee, ni kumuacha Shaddy afanye fujo zake, na wewe utulie, ufanye vile unafanyaga siku zote. Ila ukitaka kufunikana, basi Eminem atakufunika, then atakufunua mchana kweupe!

Sikiliza No love ya Eminem na Lil Wayne, kisha sikiliza Drop the world ya Lil Wayne ft Eminem. Utakubalina na mimi. Pia sikiliza Mr. Carter ya Lil Wayne na Jay Z, utakubali vile Lil Wayne anajua kucheza na hawa watabe!

Back to the topic, hata Jay Z mwenyewe anajua kwamba alifunikwa kwenye Renegade!
 
Niliwahi kuandika mahala, mtu pekee anaeweza kupiga collabo na eminem na asifunikwe vibaya ni Lil Wayne!

Lil Wayne ndio anajua namna ya kuhandle collabo za Slim Shaddy. Na siri pekee, ni kumuacha Shaddy afanye fujo zake, na wewe utulie, ufanye vile unafanyaga siku zote. Ila ukitaka kufunikana, basi Eminem atakufunika, then atakufunua mchana kweupe!

Sikiliza No love ya Eminem na Lil Wayne, kisha sikiliza Drop the world ya Lil Wayne ft Eminem. Utakubalina na mimi. Pia sikiliza Mr. Carter ya Lil Wayne na Jay Z, utakubali vile Lil Wayne anajua kucheza na hawa watabe!

Back to the topic, hata Jay Z mwenyewe anajua kwamba alifunikwa kwenye Renegade!
Kwenye Mr Carter Weezy ana verses 3 na Jay ana 1, so it's not fair kulinganisha. By the way Jay's verse was fire, in my opinion.
 
Kwenye Mr Carter Weezy ana verses 3 na Jay ana 1, so it's not fair kulinganisha. By the way Jay's verse was fire, in my opinion.
Ni verse mbili Chief, sio tatu. Labda kama umehesabu na intro. Verse ya Jay Z ilikua poa, ila kwa upande wangu naona Wayne alifanya poa zaidi.

By the way, hoja yangu ni ilikua kwamba Wayne anafanya poa sana kwenye collabo za wakubwa. Hata kama anafunikwa inakua sio kivile, inabaki kua debatable. Ni tofauti na collabo nyingine anazofanya Eminem, huwa anawaacha mbali sana wengine.

Kwenye Forever remix ya Drake, Kanye West alirudi kuandika upya verse yake baada ya kuisikia verse ya Eminem. Unyama ulikua mwingi mno!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ni verse mbili Chief, sio tatu. Labda kama umehesabu na intro. Verse ya Jay Z ilikua poa, ila kwa upande wangu naona Wayne alifanya poa zaidi.

By the way, hoja yangu ni ilikua kwamba Wayne anafanya poa sana kwenye collabo za wakubwa. Hata kama anafunikwa inakua sio kivile, inabaki kua debatable. Ni tofauti na collabo nyingine anazofanya Eminem, huwa anawaacha mbali sana wengine.

Kwenye Forever remix ya Drake, Kanye West alirudi kuandika upya verse yake baada ya kuisikia verse ya Eminem. Unyama ulikua mwingi mno!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wayne ana verse tatu Mkuu. Cheki.
 
Niliwahi kuandika mahala, mtu pekee anaeweza kupiga collabo na eminem na asifunikwe vibaya ni Lil Wayne!

Lil Wayne ndio anajua namna ya kuhandle collabo za Slim Shaddy. Na siri pekee, ni kumuacha Shaddy afanye fujo zake, na wewe utulie, ufanye vile unafanyaga siku zote. Ila ukitaka kufunikana, basi Eminem atakufunika, then atakufunua mchana kweupe!

Sikiliza No love ya Eminem na Lil Wayne, kisha sikiliza Drop the world ya Lil Wayne ft Eminem. Utakubalina na mimi. Pia sikiliza Mr. Carter ya Lil Wayne na Jay Z, utakubali vile Lil Wayne anajua kucheza na hawa watabe!

Back to the topic, hata Jay Z mwenyewe anajua kwamba alifunikwa kwenye Renegade!
Kwa iyo no luv slim alifunikwa?
 
Back
Top Bottom