Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimesema hivyo Chief?Kwa iyo no luv slim alifunikwa?
Wapi Dre alimfunika Em?hii nyimbo jigga man alifunikwa sana na eminem
eminem kiboko yake dr dre
nitajie nyimbo tano hits za dre ft eminemWapi Dre alimfunika Em?
Mi nimekuuliza swali na wewe unaniuliza swali. By the way, swali lako linahusiana vipi na swali langu?nitajie nyimbo tano hits za dre ft eminem
1.Guilt Consciencenitajie nyimbo tano hits za dre ft eminem
Inawezekana Jay Z alifunikwa na Eminem kwenye Renegade lakini kusema eti Jay anabebwa na jina ni uzushi. Jay ana body of work ambayo ni rappers wachache sana wanaweza kumfikia. Jay yuko kwenye top 5 ya yeyote anayejua hip hop. Anaweza asiwe your favourite rapper lakini kusema anabebwa ni upotoshaji.Kuna watu wana real talent na kuna watu mungu kawabarikia kwa bahati mtavuja jasho wote lakini mwenzio anatusua wew anakuacha, anyways jigga ni jina tu linambeba ila kwa eminem bdo akasome.
To make it clear bado kwangu jigga si best rapper mbele ya eminem labda kwa hao wengineInawezekana Jay Z alifunikwa na Eminem kwenye Renegade lakini kusema eti Jay anabebwa na jina ni uzushi. Jay ana body of work ambayo ni rappers wachache sana wanaweza kumfikia. Jay yuko kwenye top 5 ya yeyote anayejua hip hop. Anaweza asiwe your favourite rapper lakini kusema anabebwa ni upotoshaji.
Umetisha mkuu.1.Guilt Conscience
2.What's the Difference
3.Forgot about Dre
4.Crack a bottle
5.I need a Doctor
Haya hizo hapo. What's your point?
huyu mdada kwenye beat za hip hop huwa ananogesha vizuri mnoZote kwangu ni kali as long as Rihanna yupo kunogesha ngoma ya hip hop ngoma hio ina asilimia kubwa mimi kuikubali ukianza hizo alizo shirikishwa na Eminem, Jay-Z, Kanye West, T.I ........ Rihanna yupo vizuri kwenye kuipa vibe ngoma ya Hip hop ni kama Commando hapa bongo
No Love Slim aliua mno japo Lil alijitahidiKwa iyo no luv slim alifunikwa?