Hii collabo kati ya mtu mzima Jigga (Jay-Z) na Slim Shady (Eminem) Renegade nani aliua (verses kali)?

Hii collabo kati ya mtu mzima Jigga (Jay-Z) na Slim Shady (Eminem) Renegade nani aliua (verses kali)?

hii nyimbo jigga man alifunikwa sana na eminem
eminem kiboko yake dr dre
 
Kuna watu wana real talent na kuna watu mungu kawabarikia kwa bahati mtavuja jasho wote lakini mwenzio anatusua wew anakuacha, anyways jigga ni jina tu linambeba ila kwa eminem bdo akasome.
 
Kuna watu wana real talent na kuna watu mungu kawabarikia kwa bahati mtavuja jasho wote lakini mwenzio anatusua wew anakuacha, anyways jigga ni jina tu linambeba ila kwa eminem bdo akasome.
Inawezekana Jay Z alifunikwa na Eminem kwenye Renegade lakini kusema eti Jay anabebwa na jina ni uzushi. Jay ana body of work ambayo ni rappers wachache sana wanaweza kumfikia. Jay yuko kwenye top 5 ya yeyote anayejua hip hop. Anaweza asiwe your favourite rapper lakini kusema anabebwa ni upotoshaji.
 
Inawezekana Jay Z alifunikwa na Eminem kwenye Renegade lakini kusema eti Jay anabebwa na jina ni uzushi. Jay ana body of work ambayo ni rappers wachache sana wanaweza kumfikia. Jay yuko kwenye top 5 ya yeyote anayejua hip hop. Anaweza asiwe your favourite rapper lakini kusema anabebwa ni upotoshaji.
To make it clear bado kwangu jigga si best rapper mbele ya eminem labda kwa hao wengine
 
Zote kwangu ni kali as long as Rihanna yupo kunogesha ngoma ya hip hop ngoma hio ina asilimia kubwa mimi kuikubali ukianza hizo alizo shirikishwa na Eminem, Jay-Z, Kanye West, T.I ........ Rihanna yupo vizuri kwenye kuipa vibe ngoma ya Hip hop ni kama Commando hapa bongo
huyu mdada kwenye beat za hip hop huwa ananogesha vizuri mno

Usimsahau Keri Hilson naye ni mnogeshaji mzuri mno
 
Back
Top Bottom