Hii daladala iliyotaka kuleta ajali msafara wa CDF iadhibiwe, haina adabu

Hii daladala iliyotaka kuleta ajali msafara wa CDF iadhibiwe, haina adabu

Aiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.

Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.

Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.

Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.

Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.

Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu

Amen.

So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea

Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
Dreva ❎ dereva✅
Gob ❎ goba✅
Googlre❎ google ✅
Waendakoo❎ waendako✅
Kihualisia❎ kiuhalisia ✅
Ahusiki❎ Hahusiki✅
Kunaaa❎ Kuna✅
Ambayoo❎ ambayo✅
Yakifanyikaa❎ yakifanyika✅
TumeSHAURII❎ Tumeshauri
Kilevii❎ kilevi✅
Utan❎ utani✅
Yaan ❎ yani✅
Kabisaa❎ kabisa ✅
Wameleekea❎ wameelekea✅
 
Dreva ❎ dereva✅
Gob ❎ goba✅
Googlre❎ google ✅
Waendakoo❎ waendako✅
Kihualisia❎ kiuhalisia ✅
Ahusiki❎ Hahusiki✅
Kunaaa❎ Kuna✅
Ambayoo❎ ambayo✅
Yakifanyikaa❎ yakifanyika✅
TumeSHAURII❎ Tumeshauri
Kilevii❎ kilevi✅
Utan❎ utani✅
Yaan ❎ yani✅
Kabisaa❎ kabisa ✅
Wameleekea❎ wameelekea✅
Semaanasiii Bwanaaaa sema na moyooowanguuuu semanasiisiBwanaa semaa na Moyooowanguu kula wimbo mkuu umenifurahisha patasmart gin mbili kwa bili yanguu...
 

Attachments

  • VID-20240504-WA0002.mp4
    2.4 MB
Suala jingine muhimu, ni vyema pia MP wasitumike kwa shughuli za aina hiyo. Inavyotakiwa ni Polisi wa barabarani (Traffic Police) kupewa kazi hiyo. Wao wanatambulika rasmi na sare zao. Ni muhimu sana kuwe na mawasiliano bora kati ya JWTZ na Polisi katika kazi zao.

MP hawatakiwi kufanya kazi uraiani wakati wa amani. Ni pale inapotokea dharura tu (state of emergency). Majeshi yote yanatakiwa kutumia Polisi kudhibiti hali uraiani wakati wa amani. Polisi wakizidiwa kuna taratibu za kuomba majeshi mengine yahusishwe.
 
Suala jingine muhimu, ni vyema pia MP wasitumike kwa shughuli za aina hiyo. Inavyotakiwa ni Polisi wa barabarani (Traffic Police) kupewa kazi hiyo. Wao wanatambulika rasmi na sare zao. Ni muhimu sana kuwe na mawasiliano bora kati ya JWTZ na Polisi katika kazi zao.

MP hawatakiwi kufanya kazi uraiani wakati wa amani. Ni pale inapotokea dharura tu (state of emergency). Majeshi yote yanatakiwa kutumia Polisi kudhibiti hali uraiani wakati wa amani. Polisi wakizidiwa kuna taratibu za kuomba majeshi mengine yahusishwe.
Haoooo ndioo kabisaaa bora Mp ndugu unajua daladalaa zimewazoe haoo mpaka basii...
 
Kule juu Lugalo kuna makazi ya CDF kwanini hawakai?
Nchi hii ving'ora vingi sana bila sababu za msingi. Kwani CDF hawezi kwenda bila ving'ora? Akilindwa tu haitoshi?
Ni protocol.. ikumbukwe kazi ya alert ni kuepusha ajali.. na usumbufu usioitajika.

Msafara wa VIP hautakiwi kusimama au kutembea mdg mdg. Ni kosa kiusalama.
 
Ndio maana uongereza maraisi walipandishwa kwenye bus kama wasafiri wengine tu. Huku afrika viongozi hujiona ni watu kutoka peponi
 
Ni protocol.. ikumbukwe kazi ya alert ni kuepusha ajali.. na usumbufu usioitajika.

Msafara wa VIP hautakiwi kusimama au kutembea mdg mdg. Ni kosa kiusalama.
Ni sheria gani inayompa mamlaka CDF akimbizwe na ving'ora?
VIP ya wapi? Hata baba ni VIP nyumbani sio kila mahali.
 
Ni protocol.. ikumbukwe kazi ya alert ni kuepusha ajali.. na usumbufu usioitajika.

Msafara wa VIP hautakiwi kusimama au kutembea mdg mdg. Ni kosa kiusalama.
Nijibu maswali yangu hayo hapo juu usikimbilie kusema protocol.
 
Haoooo ndioo kabisaaa bora Mp ndugu unajua daladalaa zimewazoe haoo mpaka basii...
Sawa mkuu inawezekana unawafurahia. Lakini nilichoandika ndio utaratibu wa majeshi dunia nzima. Wote wanaujua vizuri sana. Ni Tanzania tu ndio unakutana na wanajeshi wakiingia barabarani na kuanza kufanya kazi ya Polisi kama kitu cha kawaida tu.
 
Maswali yako yamelenga kujaza server za Jf bila sababu za Msingi.

Hayana Msingi.

Unamjua CDF ni nani? Unajua Mamlaka yake?

Kabisa unajaji matumizi ya ving'ora kwa CDF? seriously?
Bro, hii nchi inaongozwa kwa katiba na sheria sio utashi wa mtu. Naomba uniambie sheria au kifungu cha katiba kinachompa mamlaka CDF kutembezwa na ving'ora huku akisumbua watu barabarani.
By the way makao makuu ya jeshi yapo Dodoma huku wanafanya nini?
 
Back
Top Bottom