Hii daladala iliyotaka kuleta ajali msafara wa CDF iadhibiwe, haina adabu

Hii daladala iliyotaka kuleta ajali msafara wa CDF iadhibiwe, haina adabu

Maswali yako yamelenga kujaza server za Jf bila sababu za Msingi.

Hayana Msingi.

Unamjua CDF ni nani? Unajua Mamlaka yake?

Kabisa unajaji matumizi ya ving'ora kwa CDF? seriously?
[/QUOT
Bro, hii nchi inaongozwa kwa katiba na sheria sio utashi wa mtu. Naomba uniambie sheria au kifungu cha katiba kinachompa mamlaka CDF kutembezwa na ving'ora huku akisumbua watu barabarani.
By the way makao makuu ya jeshi yapo Dodoma huku wanafanya nini?
Hawezi kukujibu.
 
Aiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.

Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.

Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.

Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.

Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.

Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu

Amen.

So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea

Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
hata viongozi wezi nao mungu aendelee kuwalinda?
 
Aiseeee kunaaa mambo ambayoo yakifanyikaa mpaka unaogopa, nipo maeneo ya mbezi na askari wa mp wamewapigisha kwata dereva na konda wake.Kilichotokea inasikitisha sana na mpaka tumesHAURIII wakampime dereva kilevii.

Msafara wa cdf ulikuwa unapita lakini kabla ya kupita walisimama ma MP kadhaa kuzuia magari na kusafisha njia.

Sasa ndugu yetu huyu wa daladala ametokea goba na speed anaenda mbeza, Askari wa MP wakamsimamisha jamaa akahisi utan akawa anampelekea MPgari.

Jamaa kulinda pumzi akasogea pemben huku anamsimamisha, yaan gari ya mwisho inapita kaipelekea juhudi za drevaaa wa msafara kuikwepa ilikuwa ajali ya kiajabu kabisaa.

Naamini wameleekea mahali stahili baada ya kushusha abiria na adhabu watakayopata aisee iwe fundisho kwa magari yote kuheshimu misafara ya viongozi na hasa pale wanapopewa alama ya kusimama kupisha msafara.

Polen sana wote mliohusika Mungu azidi kulinda misafara yenu

Amen.

So far imepigwa simu dreva na mp wameelekea kurudi njia ya gob bado na googlre wanapoelekea ila nawatakia pole huko waendakoo naamini mp watamfikiria zaidi konda ambae kihualisia ahusiki na yaliyotokea

Mungu endelea kuwatunza viongozi wetu wape heri na uhai wako kututumikia daima amen
Tulikwisha kubaliana kuwa Serikali yote ihamie Dodoma!!
 
Wanasumbua watu tu, msafara unaostahili ni Rais, PM na VP. Hao wengine wanalazimisha tu. Misafara kuanzia mkuu wa wilaya,mkuu wa mkoa, IGP,CGI,mkuu wa magereza,CS wanalazimisha tu. Nimeona awamu zote za Urais kuanzia Nyerere haya mambo yamekuja awamu mbili za mwisho. Awamu ya JK na hii ya JPM/SSH.
Siku hizi vigolagola vingi

Ova
 
Uzuri wa misafala ya kijeshi huwa ni chap kwa haraka, wengine hata hawawasikamishi ila wanapenya penye nafasi tu, wanasepa zao.

Wakibeba mavifaru na mavifaa yao wala hawataki tabu na mtu, wanapishana na magari tu, wao wanapanda nyie mnashuka na wako kasi kishenzi, akili zao wanazijua wao.
 
hata wale mammp nimewapenda sana traffic alipokuja akawashusha abiria janaa wakasemaa no tupabde nao wakashuke tumalizane nao hawa aisee niliogopa walipanda wanne tu
 
Huyo jamaa leo atapigwa sana...

Lakini tujiulize, kipigo ni njia sahihi ya kurekebisha maadili ya mtu?

Kama jibu ni ndio, kwanini tusitumie njia hii kwa viongozi wetu wasio na maadili!

Mfano mtu amefanya ufisadi anapelekwa jeshini, anapigwa sana.
Kwa waTZ wenye vichwa vigumu...nadhani hii ndiyo njia mujarabu kabisa.
 
sitosahaauuuu watu walijambaa hataree walipoona gari linasimamishwa tukajua wotee tunaelekea pale karibu na mwenge kwenye 🥣 dah hamad tukasalimika
 
Nikiwa nasoma mbagala sikumoja daldalaa likaingilia msafara sikumbuki wa nani miakabhio gafla tukasimamishwa jitegemeee mara dreva ongoza gari mara shusha abiria aisee nikasema si angetushusha tu kituon maana wengine tulipoingizwa ndan kule tulipotoka tulianza kuulizia vyoo vya kulipia vikowapi......

Baada ya wiki jamaa mmoja akawa anaelezea konda na mwenzie walipelekwa sehenu wakapewa miche 3 ya sabuni na robo ndoo kila mmoja waaakikishe wameimaliza sijui walikula maskini......

Hawa mmmh...anawaona watakuja adithia tu
 
Back
Top Bottom