Kwann wasikae pale pale Upanga? Iwe km ikulu yao.Eti kama CDF wa sasa anaishi Malamba 2 na Mwamunyange alikua kule Segerea. Yaani kusumbuana tu.
Mtu ni CDF ukakae Malamba 2? Ukivamiwa kule?
Kuna mifumo ya ulinzi kule?
7bu zipi? Bas wawe wanakaa karibu na ofisi zao.Kuna sababu kwanini haiwezi kuwa hivyo
Hilo swali kawaulize TRAHela ulichapa wewe!?..
Leo nimekutana na mtu asiyejua nani hukusanya kodi na mapato ya nchi. ππTRA ni nini!?
Tra nini nini!?..Kama taasisi ni ya nani!?..na hao unaowaita Wala Kodi ni akina nani!?..order unayo-enjoy kufanya harakati zako imewekwa na kutunzwa na nani!?Hilo swali kawaulize TRA
Leo nimekutana na mtu asiyejua nani hukusanya kodi na mapato ya nchi. ππ
Ikiwa ni kweli hujui TRA ni nini basi itakuwa hata hiyo device unayotumia kuwasiliana sio yako Ila ni ya shemeji yako.
Walikuwepo zaidi ya yeye, na hawapo sahivi. Muwe mna hofu na utu.Wanadhani CDF ni mwenyekiti wa chama, yule ni 4[emoji93] general ...
Huyo jamaa anaechungulia dirishani ndio MTAKA CHA UVUNGUNI MWENYEWE.
Sio Upanga tu, kule Lugalo juu kule kuna makazi ya CDF. Lakini hawakai kabisa.Kwann wasikae pale pale Upanga? Iwe km ikulu yao.
Hofu na utu vinaendana na βNIDHAMUWalikuwepo zaidi ya yeye, na hawapo sahivi. Muwe mna hofu na utu.
Huyo jamaa anaechungulia dirishani ndio MTAKA CHA UVUNGUNI MWENYEWE.