gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Na hawakutumia dawa za meno,so that theory is fallacyKuna Factor Nyingi sana Zinaongeza Ukuaji wa Mtu au Kupevuka kwa Mtu.sio tu Fluoride..
Ila kwa Zamani Msichana mwenye Miaka 13 Ni mkubwa sana na anakuwa Meshapevuka Kuolewa
Hujasoma Ukaelewa Umesoma Ili Ujibu Theory haijajikita Kuzungumzia Swala zima la Bibi yako au Bibi wa Yoyote Yule na matumizi ya Fluoride..Na hawakutumia dawa za meno,so that theory is fallacy
Miaka 14 umri wa kawaida msichana kupevuka(kuvunja ungo/balehe ya kike).Nimesoma mpaka mwisho,hilo la kuathiri ukuaji huenda kweli,lakini bibi yangu aliolewa akiwa na miaka 14,1947,maana yake alionesha dalili zote za kuwa kapevuka,mwaka mmoja baadae alijifungua,hakuwa mtumiaji wa dawa za meno zenye fluoride
Wadudu tatizo lao kubwa ni matumizi ya kupitiliza ya pombe kali, bangi na mirungi tu, hawana shida za hizo Flouride conspiracy.Wadudu wana IQ kubwa kumbe!
Aisee.
Correct 100%.Sasa my question is,kwa nini madaktari hawasimami against this evil practice,ni collaborators au wanaogopa kusema,kwa kuwa wahusika wakuu wa hii genocide ndio wanaoiongoza Dunia?Dokta mi naogopa 🧐
Unajuaje kuwa wewe ni zezeta brother.Ndo maana najiuliza kwanini nimekuwa ZEZETA, kumbe ni hizi FLOURIDE na yale MACHANJO.
Uko sahihi kabisa,wala si kosa lako au wazazi,system ndiyo imekufanya uwe ulivyo for an evil agenda.Ndo maana najiuliza kwanini nimekuwa ZEZETA, kumbe ni hizi FLOURIDE na yale MACHANJO.
Andiko la kisomi sana yani ki professionalFluoride Tukiacha Vile tulivyokuwa Tunaambiwa na Kusoma kuwa inaprevent Tooth decay, Na Pia wanassma Inareduce inaquality kwenye Dental. Au Oral Health..
Deep Down Ukiangalia Tangu tumeanza Kupewa fluoride kwenye Maji (Maana Dunia Nzima Tunatandikwa Fluoridation ya Kutosha)..
Usipoikuta kwenye Dawa za Meno bhasi utaikuta Kwenye Maji l..
Bado kumekuwa na Ongezeko la Dental Decay(Caries) inequality ya Oral Health imezidi Kuongezeka Tofauti na Zamani so nakubaliana Na Weww Kabisa Ni kweli tumefanyiwa Un Necessary fluoridation au Kwao Ilikuwa Intentionally?...
Jibu ni Kuwa Ilikuwa Intentionally..
Kwanini?
Nitayaongea kama Ifundishwavyo Spiritually
Utambuzi wa Binadamu Spiritually Unatokana na Activation ya Penial gland ambayo ndyo huwa Inakupa kujua Vitu vyote asili yako na hata Ukweli kabla ya kuujua..
Ukifanikiwa Kuactivate pineal Gland (JiCHO LA TATU) Hutaweza kudanganywa na Kitu kwa Sababu ndo connection ya Maarifa yaani Spiritual World na This world...
Mbaya Zaidi ni kwamba Utambuzi wa Binadamu Spiritually Ni Tishio Kubwa sana, Upande wa Utii Politically na Pia Utii Religiouslly..
Binadamu Akijitambua yeye Ni nani hataweza kunyenyekea Binadamu mwingine wala kukubali Kuongozwa na Mwingine na Pia hata Kubali Kuongozwa na Idea ya Watu wengine Kuhusu Dini au Idea za Kisiasa..
Na Hapo ndo Huja Deactivation Of Pineal gland Even before Pro active State..
Unaanza Kunywa Maji Yalio na Fluoride na Kutumia Dawa ya Meno (Mswaki) yenye Flouride..
Kama Utakuwa Unajua Utajua kuwa Fluoride inaweza Kwenda Coat kwenye Pineal gland na Kusababisha Fluoride accumulation which Inturn Inasababisha Melatonin deficiency ambayo inamfanya Mtu awe Ni vigumu kuweza Kufikiri (Meditate) ipasavyo na Kutokuwaza Zaidi ya Kile alichowaza na Kutokuwaza Nje ya Box na Kuishia Kuzidi kutawaliwa..
Na mara nyingi inaweza kusababisha Pineal gland toxicity..potential links to other health issues such as thyroid problems, lower IQ in children, and bone fractures. However, research in these areas remains controversial na Nyingi ziko chini ya CDC na WHO so ndo wanaoweza kuzitoa.ila kwangu Mimi Mdomo Komaaaa
na ndo maana Matoto mengi sana Siku hizi yanazeeka kuliko Umri wao kuna studies zingine zimefanywa kwa animals showed that fluoride accumulation in the pineal gland led to reduced melatonin production and an earlier onset of puberty....
Unakuta Toto lina miaka 13 lakini Limeshamaliza dalili zote za Kuvunja Ungo..
So kama kaamua Hivyo atakuwa amesaidia Dunia Pakubwa sana..
Japo atakumbana na Pingamizi kubwa sana
Are you serious hiyo ni hali ya kawaida?Sio brother,tumeundiwa mazingira ya hatari sana.Usiogope Ni hali ya Kawaida tu
Kutu zingine ni mapambo zinawapendeza sana baadhi.Hahaaa waulize watu wa chuga, na baadhi ya maeneo ya kanda ya ziwa(shinyanga, simiyu n.k) na zile kutu zao mdomoni, akicheka anafunika mdomo.
Ni Hatari sana Ila Hali ya Kawaida kwa sababu hatuna Cha Kufanya...Are you serious hiyo ni hali ya kawaida?Sio brother,tumeundiwa mazingira ya hatari sana.
Yeah,but that does not make it okay!!!!Ni Hatari sana Ila Hali ya Kawaida kwa sababu hatuna Cha Kufanya...
System inakufanya Kuwa Mtumwa na Huwezi kukataa Uambiwacho..
Madaktari wengi hata wao wenyewe HAWAELEWI.Correct 100%.Sasa my question is,kwa nini madaktari hawasimami against this evil practice,ni collaborators au wanaogopa kusema,kwa kuwa wahusika wakuu wa hii genocide ndio wanaoiongoza Dunia?
Ni stori ndefu 😤😤Unajuaje kuwa wewe ni zezeta brother.
Basi thibitisha kama ulichokiandika sio conspiracy theoryUliza swali ujibiwe....
Hakuna depopulation Bali Kuna population control, mueleweshe na mwenzioOndoa upuuzi wako, hakuna depopulation duniani, kila siku duniani watu wanaongezeka na watazidi kuongezeka kwa miaka mingi sana ijayo.
Na wengi wetu IQ zetu ni hafifu mno, nadhani Lead pipes zinamadhara zaidi ambako ndio Maji ya kunywa yanapopita.Watu wengi sana bongo hawatumii dawa za mswaki, wana maji yasiyo na fluoride lakini wana haya matatizo yako yote.
Conspiracies tu.
Pharmaceutical industry aka big pharma ,hawa ndio terrorists wenyewe sasa ,kuwagusa tu wanakupoteza au kuruin career yako na kulkuharibu kabisa kimaisha , huko Marekani na kwingineko duniani wanaogopwa na watu hawajui kwamba hizi biological and medical research nyingi wao ndio wafadhili ,na kama wewe ni researcher lazima ulambe miguu yao ,yaani scientific findings za hiyo research usiende kinyume na kucriticize products zao , research ni expensive na research ambazo zimefanywa na independent researchers wanaokuja na proofs za madhara ya products za haya makampuni ,wanatumia vyombo vya habari , serikali , regulations bodies na taasisi za kitaaluma kudemonize findings za hawa watu na kuzikosoa kwamba ni wrong !.Correct 100%.Sasa my question is,kwa nini madaktari hawasimami against this evil practice,ni collaborators au wanaogopa kusema,kwa kuwa wahusika wakuu wa hii genocide ndio wanaoiongoza Dunia?