Hii game tumeshaimaliza Waarabu wanachinjwa Hapa na Mazishi yao hapa hapa kwao tunapeleka Msiba tu

Hii game tumeshaimaliza Waarabu wanachinjwa Hapa na Mazishi yao hapa hapa kwao tunapeleka Msiba tu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Imeisha hiyo

Jangwani tutembee kifua mbele. Sisi tunapambana sana nje ya uwanja nanyi mkapambane.

Tunashukuru Nabi baada ya kuona amekalia kuti kavu ameacha ubishi kwenye kupanga kikosi. Leo tunampiga mwarabu 3 hapa. Arude kwao akale tende na halua.

Hii ndiyo yangaaaaaaaaa. Unbeaten and will never be beaten katika ligi. Haya maneno yangu kayaweke ukutani. Nimekaa pale.

Tukifungwa leo nipigwe ban ya week nzima.
 
Hawa waarabu wa bukene leo watapoteana uwanjani.
 
🐒🐒🐒
 
Ikiwa mtu anapendelea kucheka zaidi anaelekezwa kubonyeza kitufe kipi cha remote control?
 
Wakifanyia kazi haya waliyoambiwa na watu wao wa karibu labda mwakani wanaweza wakasogea kidogo:–

Wachezaji wa yanga wamenenepa.
‐mwinyi zahera‐
Team haina kasi inapoenda kushambulia na inapopeteza mpira.
–pitso mosimane ‐
Mazoezi ya gym hayasaidii fitness ya mchezaji zaidi ya kujaza mwili kama aucho
‐aliyekuwa daktari wa yanga –
 
Back
Top Bottom