Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Imeisha hiyo
Jangwani tutembee kifua mbele. Sisi tunapambana sana nje ya uwanja nanyi mkapambane.
Tunashukuru Nabi baada ya kuona amekalia kuti kavu ameacha ubishi kwenye kupanga kikosi. Leo tunampiga mwarabu 3 hapa. Arude kwao akale tende na halua.
Hii ndiyo yangaaaaaaaaa. Unbeaten and will never be beaten katika ligi. Haya maneno yangu kayaweke ukutani. Nimekaa pale.
Tukifungwa leo nipigwe ban ya week nzima.
Jangwani tutembee kifua mbele. Sisi tunapambana sana nje ya uwanja nanyi mkapambane.
Tunashukuru Nabi baada ya kuona amekalia kuti kavu ameacha ubishi kwenye kupanga kikosi. Leo tunampiga mwarabu 3 hapa. Arude kwao akale tende na halua.
Hii ndiyo yangaaaaaaaaa. Unbeaten and will never be beaten katika ligi. Haya maneno yangu kayaweke ukutani. Nimekaa pale.
Tukifungwa leo nipigwe ban ya week nzima.