Hii Gari mnaionaje Wadau kwa Uzoefu wenu Maana watu Wanasema sana.

Hahahahah naona umeamua kumvua taulo
 
Hii ni chai kabisa...!
Ulishalipa kodi ya baba mwenye nyumba...!?
 
Nini tatizo la X6 nifafanulie please

 
Kama si mwenye kuifaham english hawez kuelewa. Nmetumia english coz aliyetuma text alitumia english.

Unaonaje ukitumia lugha ya taifa? Hiki kichina hata swahiba wangu Chin Sho joanah anatoka kapa wallah
 
Nitume vya nini ndugu yangu?ionekane najidai? Mbona ni vitu vidogo tu hivyo?

Nyumba ya gorofa na ya kawida inamahusiano gani hapa pili mshahara wako unatuhusu nini tatu wewe ni limbukeni na nne tunaomba picha za gari zako na nyumba zako ili tuende sawa.
 
Kawaida sana. Zipo nyuzi nyingi tu naandika kwa niaba ya watu wenye matatizo ili wasidhani wapo peke yao. Na huo ni mmoja wapo. Napenda kuwa funny. So nashukuru amepata muda wa kunipitia, kunifahamu vzuri.na wengi watafanya hivyo which is giving me credits

Hahahahah naona umeamua kumvua taulo
 
[emoji38]Mleta mada kaona humu JF ndio pakuuzia sura[emoji38]
β€œAti nilinunua milion 34 tugari twa kimaskini”[emoji38]

Nyodo nyiiiingi wakati anatumia Tecno[emoji1321]‍♂️
 
ukute take home yake ni 150kπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€jf ni kiboko
 

I love this thread aisee.....

Best thread of all time in JF.

Mkuu usiombe ushauri wa magari ya kishua namna hii JF.

Hakuna mwenye nalo!

Cha msingi nenda kwenye websites za mbele za car user experience utafaidika sana!

Hawa wehu wenzangu humu wanaona nyota tu hapa!
 
Jamaa lisengerema kweli kumbe linakaa kwa dada yake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…