Watu wanambeza kuwa hana gari asa ameyajuaje hayo yote..!!!I love this thread aisee.....
Best thread of all time in JF.
Mkuu usiombe ushauri wa magari ya kishua namna hii JF.
Hakuna mwenye nalo!
Cha msingi nenda kwenye websites za mbele za car user experience utafaidika sana!
Hawa wehu wenzangu humu wanaona nyota tu hapa!
Mtoa mada atakuwa Muhaya
I love this thread aisee.....
Best thread of all time in JF.
Mkuu usiombe ushauri wa magari ya kishua namna hii JF.
Hakuna mwenye nalo!
Cha msingi nenda kwenye websites za mbele za car user experience utafaidika sana!
Hawa wehu wenzangu humu wanaona nyota tu hapa!
Utakuwa mhaya wewe khaaa....Nlipoanza kazi nlikuwa natumia tu kagari kadogo BMW nlinunua mil 34 toka japan. Nikawa nasema anyway ni tu gari twa kimaskini ngoja kwanza angalau niwe na tuvibanda twangu angalau tutatu hivi. Hivyo nikawa na BMW na SUV -VW Tourage.
Basi nilijenga tu banda twangu twa ghorofa tuwili na moja ya kawaida ila ni kubwa pia. Na wazo langu sasa niwe na gari kubwa zaidi ya hizo.sababu salary pia iliongezwa kazini nikawa nalipwa mil 53 take home Ukiacha marupurupu mengi na safari za nje kila mwezi.nikasema ni wakati wa kumiliki V8 Angalau ya kuanzia mwaka 2017 kuja juu. Na mimi huwa sinunui gari kama si chini ya 10,000 kms.
Wakati huo huo nawaza Sababu pia naipenda Ford Ranger ile ya Mmarekani mwenyewe. Sasa nachanganyikiwa nichukue gari zote mbili au nichukue moja kati ya hizo?nishaurini wadau.hizi nataka nianze nazo kwenye karatasi mwenyewe.
Sasa nataka kujua hizi gari ni imara kweli? V8 maana sometime nasafiri ndani TZ kwenye rough road. Na je mwenye uzoefu anaweza kunambia zile zenye speed 240-280 huwa zinafika vizuri tu hiyo speed? Maaana mimi huwa sipendi gari ya speed chini ya 200
Pia nataka ninunue na Mercedes Benz. Je hizi nazo mnazionaje? Maana naona wife yeye anataka hiyo kaipenda sana hatak kuendelea kutumia BMW X5 Anadai ameitumia miaka miwili amechoka anataka gari ya chini.hasa za kuanzia mwaka 2013 anasema kaiona ni nzuri.
Naombeni ushauri wenu hapo.
Asee[emoji16][emoji16][emoji16]umeshahama kwa dada??View attachment 1087520
πππππ wale wapenda fursa wangejazana p.m[emoji38]Mleta mada kaona humu JF ndio pakuuzia sura[emoji38]
βAti nilinunua milion 34 tugari twa kimaskiniβ[emoji38]
Nyodo nyiiiingi wakati anatumia Tecno[emoji1321]ββ
πππππ wale wapenda fursa wangejazana p.m
Hahah ila mwanangu unazingua sana ujue πππMkuu si lengo langu kukamata milupo ya JF. HAPANA
Achana na hizo gari zote chukua Range Rover sport 2013 hutajutia,kwa upande wangu V8 hainiingii akilini,hata hizi za sasa hivi...
Achana na hizo gari zote chukua Range Rover sport 2013 hutajutia,kwa upande wangu V8 hainiingii akilini,hata hizi za sasa hivi...
Nina bahati mbaya na mashemeji
Mzee angekuwepo nadhani angekuwa anawacharaza bakora wao na waume zao.pumbafu kabisa.yule dada yangu mwingine ambaye amewekewa limbwata na shemeji kiasi kwamba anatomaswa tomaswa mbele yangu bila aibu ye hajali anacheka cheka tu kama fala. Mimi na umri huu shemeji alikuwa sometime ananambia...www.jamiiforums.com
Ni wewe huyuhuyu?