Mnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.
Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).
Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.
Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza
Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Nachanganyikiwa yani
Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).
Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.
Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza
Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Nachanganyikiwa yani