Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
NDO HVO HAPO WAGANGA WAWILI WANAKUA OFFENSIVE YAN KUVUTA WATEJA NA WAWILI WANAKUA DEFENSIVE KUZUIA MASHAMBULIZ KUTOKA KWA WASHINDANI wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDO HVO HAPO WAGANGA WAWILI WANAKUA OFFENSIVE YAN KUVUTA WATEJA NA WAWILI WANAKUA DEFENSIVE KUZUIA MASHAMBULIZ KUTOKA KWA WASHINDANI wako
Pole sana.Mnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.
Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).
Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.
Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza
Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Nachanganyikiwa yani
😂😂😂 Tukianza kuwapa msasa juu ya mambo ya kibiashara kiroho mnasema tunaenda kuliwa Hela zetu kwa Watumishi, Ona sasa umerudi unalia😂 kama umeamua kwenda kwa mganga Nenda deep zaidi Nenda kachinje haswaaaaaa Fanya juu chini ukutane na Shetani mwenyewe au Kajisalimishe kwa wakuu wa soko wa hapo kiroho.Nahis nimerogwa
Mbona mwenzangu anauza yupo kama kama nusu KM Toka nikipo Mimi yani wananipita wanaenda kwakeWatu hawana hela ya kula kuku siku zote
Pole sana.
Connection upande wa giza mkuuu[emoji23][emoji23][emoji23] Tukianza kuwapa msasa juu ya mambo ya kibiashara kiroho mnasema tunaenda kuliwa Hela zetu kwa Watumishi, Ona sasa umerudi unalia[emoji23] kama umeamua kwenda kwa mganga Nenda deep zaidi Nenda kachinje haswaaaaaa Fanya juu chini ukutane na Shetani mwenyewe au Kajisalimishe kwa wakuu wa soko wa hapo kiroho.
Lakini Ningekua Mimi nisingeanza biashara bila kuingilia mifumo ya hapo.
Mkuu we acha tu naona kumikumi hapa😂😂😂 Tukianza kuwapa msasa juu ya mambo ya kibiashara kiroho mnasema tunaenda kuliwa Hela zetu kwa Watumishi, Ona sasa umerudi unalia😂 kama umeamua kwenda kwa mganga Nenda deep zaidi Nenda kachinje haswaaaaaa Fanya juu chini ukutane na Shetani mwenyewe au Kajisalimishe kwa wakuu wa soko wa hapo kiroho.
Lakini Ningekua Mimi nisingeanza biashara bila kuingilia mifumo ya hapo.
Unanilisha maneno 😂😂Mi Connection ninayo Nuruni tu. Gharama yake ni Uchaji tu.Connection upande wa giza mkuuu
Mganga, eti mganga. Kwani huo wakati unauza ulienda kwa mganga? Au huyo dada wa Kigamboni nae alikuwa mganga! Si ulipata ushauri tu wa jinsi ya kutengeneza kachumbari au nimekosea!Mnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.
Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).
Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.
Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza
Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Nachanganyikiwa yani
HaHaHa.....sasa mkuu ndio utoe Laki tano kumwona Kiboko ya Wachawi?😂😂😂 Tukianza kuwapa msasa juu ya mambo ya kibiashara kiroho mnasema tunaenda kuliwa Hela zetu kwa Watumishi, Ona sasa umerudi unalia😂 kama umeamua kwenda kwa mganga Nenda deep zaidi Nenda kachinje haswaaaaaa Fanya juu chini ukutane na Shetani mwenyewe au Kajisalimishe kwa wakuu wa soko wa hapo kiroho.
Lakini Ningekua Mimi nisingeanza biashara bila kuingilia mifumo ya hapo.
Jipange urudi tena. Kama umezingatia kila kitu kwenye biashara lakini bado huelewi elewi. Endelea kuzitikisa terafi. Si ndo unapoaminiMkuu we acha tu naona kumikumi hapa
😂😂😂😂 Khaaa kwa Kiboko ya wachawi hapana, mguu uligoma zile shuhuda zake zilikua zinanichekeshaHaHaHa.....sasa mkuu ndio utoe Laki tano kumwona Kiboko ya Wachawi?
Ukizifatilia utagundua sauti za watu ni wale wale wanabadilisha location tu.😂😂😂😂 Khaaa kwa Kiboko ya wachawi hapana, mguu uligoma zile shuhuda zake zilikua zinanichekesha
Utachoma mpaka lini sasa hizo dawa mkuu?? 🤔 🤔Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Wale washenzi sana. Nilikua nawarekodi ili niwe nacheka mke analia mtoto wake kafa anaambiwa mkwe wake mchawi bibi anapewa simu anasema Mimi sitaki mambo yenu😂😂😂😂 mume mtu anajifanya kuwanyamazisha waache kulia waendelee kumsikiliza mtumishi😂😂😂😂Ukizifatilia utagundua sauti za watu ni wale wale wanabadilisha location tu.
Leo anasema tuko Mwanza kesho anajitaja ni wa Songea.
Ndo maana umefeli mkuu kumbe kuku unauza asubuhi kama kitafunwa ili watu wakanywe na chai dah!!Nilifanya hivo mkuu ila Bado, mfano Leo Toka asubuhi mpaka muda huu nimeuza elfu nne na 200 tu!