Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Soma Rumi 8:1-2Fafanua mbinu hiyo mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma Rumi 8:1-2Fafanua mbinu hiyo mkuu
Kwa vile uli boost kwa mtaalam basi endelea hvyohvyo. Mvto ukiisha tafta mwingne tofauti na hpo utafunga biasharaMnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.
Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).
Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.
Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza
Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Nachanganyikiwa yani
Duh ushajichanganya, huu ndio ushauri na mbinu alizokupa dada wa kigamboni.?Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Abadili location atauza, atafute nafasi mbagala kwa aziz ally atakuja kunishukuru.Watu hawana hela ya kula kuku siku zote
Kwa hakika akiona hatua uliyofikia atasikitika sana kama hakukushauri hivyo.Huyo dada amefunga PM yeye alinikutanisha na mtu ambae aliwez kunipa ABC'S za biashara na kweli nilifanikiwa
Ila Sina mawasiliano yake tulikuwa tunawasilina Humu
Pole sanaMnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.
Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).
Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.
Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza
Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Nachanganyikiwa yani
Tayari wameshakuingiza kwenye mfumoMbona mwenzangu anauza yupo kama kama nusu KM Toka nikipo Mimi yani wananipita wanaenda kwake
Ulikuwa unataka?Ume lock pm
Sio biashara yako tu.. ni kwamba purchasing power ya watu iko chini, haswa kuelekea mwisho wa mwaka. Kuna ada na sherehe za mwisho wa mwaka watu wanajipanga.Mnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.
Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).
Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.
Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza
Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Nachanganyikiwa yani
Ni-PMUlikuwa unataka?
Ok ni PMNi-PM
Nahis nimerogwa
Sio biashara yako tu.. ni kwamba purchasing power ya watu iko chini, haswa kuelekea mwisho wa mwaka. Kuna ada na sherehe za mwisho wa mwaka watu wanajipanga.
Wanapunguza kununua vitu visivyo vya muhimu sana. Wana bajeti matumizi.Kwahiyo watu wanajima kula ?
7. Mganga mzuriKwanza, mtegemee Mungu ktk mambo yako, usiende kwa waganga utapoteza muda na pesa
la pili, ktk biashara yapo mambo ya kuzingatia
1. Heshima kwa wateja, kuwa na nidhamu ya kazi, lugha nzuri kwa wote
2. Toa nyongeza kwa wale wateja wako wazuri
3. Usiuze ndaza, vyakula vilivyo lala
4. Jitahidi uwe na maboresho ktk biashara kwa ubunifu, ili iwe mpya kila uchao
5. Usikopeshe, maana utafukuza wateja
6. Weka na vingne vya ziada kama inawezekana
Kuna mtu aliandika hili jambo humu nimesahau ID yake, aliandika hivi, katika haya maisha kila mtu ana hatma yake, katika kazi, biashara nk nk ni lazma ujue hatma yako ilipo na ndio huko utafanikiwa....aliandika kirefu sana akatoa mifano kuna mtu anaweza fanya biashara flani akafanikiwa sana hiyo ndio hatma yake ila wewe ukaifanya hiyo hiyo tena kwa kuboresha ukaangukia pua ujue hapo haipo hatma yako.Je kwenye ukoo wenu kuna mtu ambae alishawahi kufanya biashara ya chakula akafanikiwa?
Hapo kwa mganga hapo ndo unazidi kuharibuMnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.
Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).
Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.
Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza
Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya
Nachanganyikiwa yani