Hii hali kwenye biashara siyo ya kawaida

Hii hali kwenye biashara siyo ya kawaida

Mnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.

Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).

Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.

Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza

Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya

Nachanganyikiwa yani
Kwa vile uli boost kwa mtaalam basi endelea hvyohvyo. Mvto ukiisha tafta mwingne tofauti na hpo utafunga biashara
 
Mnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.

Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).

Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.

Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza

Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya

Nachanganyikiwa yani
Pole sana
Ni PM
 
Mnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.

Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).

Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.

Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza

Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya

Nachanganyikiwa yani
Sio biashara yako tu.. ni kwamba purchasing power ya watu iko chini, haswa kuelekea mwisho wa mwaka. Kuna ada na sherehe za mwisho wa mwaka watu wanajipanga.
 
Kwanza, mtegemee Mungu ktk mambo yako, usiende kwa waganga utapoteza muda na pesa

la pili, ktk biashara yapo mambo ya kuzingatia
1. Heshima kwa wateja, kuwa na nidhamu ya kazi, lugha nzuri kwa wote
2. Toa nyongeza kwa wale wateja wako wazuri
3. Usiuze ndaza, vyakula vilivyo lala
4. Jitahidi uwe na maboresho ktk biashara kwa ubunifu, ili iwe mpya kila uchao
5. Usikopeshe, maana utafukuza wateja
6. Weka na vingne vya ziada kama inawezekana
7. Mganga mzuri
 
Je kwenye ukoo wenu kuna mtu ambae alishawahi kufanya biashara ya chakula akafanikiwa?
Kuna mtu aliandika hili jambo humu nimesahau ID yake, aliandika hivi, katika haya maisha kila mtu ana hatma yake, katika kazi, biashara nk nk ni lazma ujue hatma yako ilipo na ndio huko utafanikiwa....aliandika kirefu sana akatoa mifano kuna mtu anaweza fanya biashara flani akafanikiwa sana hiyo ndio hatma yake ila wewe ukaifanya hiyo hiyo tena kwa kuboresha ukaangukia pua ujue hapo haipo hatma yako.

Huyu jamaa nadhani abadili biashara, atafute hatma yake.
 
Mnamo mwezi wa nane mwishoni nilifungua biashara ya kuuza kuku Wa kukaanga pamoja na viungo vyake.

Wakati nimeanza mauzo yalikuwa hafifu ikawa hata elfu 5 haifiki ya mauzo, ndo nikaja na Uzi wa kuomba ushauri
Wakajitokeza waungwana wakanipa msaada wa mawazo
Miongoni mwao ni dada angu kutoka kigamboni (jina namhifadhi).

Alinipatia msaada mkubwa niliwahi kuelezea kwenye Uzi
Baada ya hapo mambo yakawa mazuri nikawa nauza sana yani kwa siku nakaanga kama awamu 3 nauza wanaisha
Hali imeanza kubadilika wiki 3 zilizopita siuzi, unakuta nauza elfu 3 au sita.

Biashara yote inabaki kesho yake ukisema ni kuku Wa Jana watu hawanunui Sasa hivi mtaji naona unakata maana hakuna nnachoingiza

Nimeenda kwa mganga akanipa dawa za kuchoma na nyingine za kufukia ila wapi Hali inazidi kuwa mbaya

Nachanganyikiwa yani
Hapo kwa mganga hapo ndo unazidi kuharibu

Huyo dada mcheki Tena akupe mwendelezo

Shortcut doesn't last long
 
Back
Top Bottom