Hii hali kwenye biashara siyo ya kawaida

Hii hali kwenye biashara siyo ya kawaida

Kuna mtu aliandika hili jambo humu nimesahau ID yake, aliandika hivi, katika haya maisha kila mtu ana hatma yake, katika kazi, biashara nk nk ni lazma ujue hatma yako ilipo na ndio huko utafanikiwa....aliandika kirefu sana akatoa mifano kuna mtu anaweza fanya biashara flani akafanikiwa sana hiyo ndio hatma yake ila wewe ukaifanya hiyo hiyo tena kwa kuboresha ukaangukia pua ujue hapo haipo hatma yako.

Huyu jamaa nadhani abadili biashara, atafute hatma yake.
Hatma! Najaribu kukuelewa nashindwa mkuu
 
Waliona nauza sana wakaniroga
njoo inbox nikuelekeze mbinu ya kuboost aura yako unafanya mwenyewe ni chumvi tu unamix na mazaga utanunua kwenye maduka ya kisuna wala si ushirikina. Kama ni sehem ya kudeki unadekia, kama ni vyombo umeosha umemaliza ni visafi unaloekea kitambaa unakua unafutia vyombo vyako.. Biashara yako itaonekana boss itavutia na wateja utawaona.. Hii dunia inamengi mkuu
 
Ukipoenda kwa mganga ndipo ukafeli zaidi. Mbinu ya kwanza aliyokupa mdada ili work, why usitumir hiyo hiyo? Au umtafute tena?

When watanzania wataachana na imani za kishirikina kwenye mambo yaliyo wazi?
Ila kanisani na msikitini ni SAWA??

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Pole jitahidi uwe unaamka usiku saatisa unamuomba Mungu na ujitahidi kutoa sadaka kila unapopata faida.
Mitaa ninayofanya biashara huwa nawahurumia saana wanavyojiangaisha na nguvu za giza! Ndani ya miezi kadhaa ufilisika na kumuuzia mtu frame/ biashara na kutokome! Huyu naye miezi 2 ni mingi, chalii! Tumia mbinu za sheria ya roho wa uzima. Rumi 8: 1-2
Njooni Tunduma (Zambia boarder) niwaonyeshe umuhimu wa UCHAWI kwenye biashara.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
njoo inbox nikuelekeze mbinu ya kuboost aura yako unafanya mwenyewe ni chumvi tu unamix na mazaga utanunua kwenye maduka ya kisuna wala si ushirikina. Kama ni sehem ya kudeki unadekia, kama ni vyombo umeosha umemaliza ni visafi unaloekea kitambaa unakua unafutia vyombo vyako.. Biashara yako itaonekana boss itavutia na wateja utawaona.. Hii dunia inamengi mkuu
Acha kudanganya, huu ni ushirikina uliotimia!
 
Back
Top Bottom