- Thread starter
- #81
Sawa dada nishaku PM tayriPole sana
Ni PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa dada nishaku PM tayriPole sana
Ni PM
Sawa mkuu nimemchekiHapo kwa mganga hapo ndo unazidi kuharibu
Huyo dada mcheki Tena akupe mwendelezo
Shortcut doesn't last long
Hatma! Najaribu kukuelewa nashindwa mkuuKuna mtu aliandika hili jambo humu nimesahau ID yake, aliandika hivi, katika haya maisha kila mtu ana hatma yake, katika kazi, biashara nk nk ni lazma ujue hatma yako ilipo na ndio huko utafanikiwa....aliandika kirefu sana akatoa mifano kuna mtu anaweza fanya biashara flani akafanikiwa sana hiyo ndio hatma yake ila wewe ukaifanya hiyo hiyo tena kwa kuboresha ukaangukia pua ujue hapo haipo hatma yako.
Huyu jamaa nadhani abadili biashara, atafute hatma yake.
njoo inbox nikuelekeze mbinu ya kuboost aura yako unafanya mwenyewe ni chumvi tu unamix na mazaga utanunua kwenye maduka ya kisuna wala si ushirikina. Kama ni sehem ya kudeki unadekia, kama ni vyombo umeosha umemaliza ni visafi unaloekea kitambaa unakua unafutia vyombo vyako.. Biashara yako itaonekana boss itavutia na wateja utawaona.. Hii dunia inamengi mkuuWaliona nauza sana wakaniroga
Mwisho wa mwaka ndio kuna mzunguko wa hela kuliko mwanzo wa mwaka, generally.Sio biashara yako tu.. ni kwamba purchasing power ya watu iko chini, haswa kuelekea mwisho wa mwaka. Kuna ada na sherehe za mwisho wa mwaka watu wanajipanga.
Ngoja niitafute hiyo thread.....nitakurudiaHatma! Najaribu kukuelewa nashindwa mkuu
Sawa mkuuNgoja niitafute hiyo thread.....nitakurudia
Ila kwenda kanisani na msikitini?Huyooo dada hujamchek tena akupe mbinu..tena au mojaa ndo kwenda kwa SANGATITI!?....KOSA KUBWA
Ila kanisani na msikitini ni SAWA??Ukipoenda kwa mganga ndipo ukafeli zaidi. Mbinu ya kwanza aliyokupa mdada ili work, why usitumir hiyo hiyo? Au umtafute tena?
When watanzania wataachana na imani za kishirikina kwenye mambo yaliyo wazi?
Pole jitahidi uwe unaamka usiku saatisa unamuomba Mungu na ujitahidi kutoa sadaka kila unapopata faida.
Njooni Tunduma (Zambia boarder) niwaonyeshe umuhimu wa UCHAWI kwenye biashara.Mitaa ninayofanya biashara huwa nawahurumia saana wanavyojiangaisha na nguvu za giza! Ndani ya miezi kadhaa ufilisika na kumuuzia mtu frame/ biashara na kutokome! Huyu naye miezi 2 ni mingi, chalii! Tumia mbinu za sheria ya roho wa uzima. Rumi 8: 1-2
Njooni Tunduma (Zambia boarder) niwaonyeshe umuhimu wa UCHAWI kwenye biashara.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Acha kudanganya, huu ni ushirikina uliotimia!njoo inbox nikuelekeze mbinu ya kuboost aura yako unafanya mwenyewe ni chumvi tu unamix na mazaga utanunua kwenye maduka ya kisuna wala si ushirikina. Kama ni sehem ya kudeki unadekia, kama ni vyombo umeosha umemaliza ni visafi unaloekea kitambaa unakua unafutia vyombo vyako.. Biashara yako itaonekana boss itavutia na wateja utawaona.. Hii dunia inamengi mkuu