Hii hali kwenye biashara siyo ya kawaida

Ungeshugulikia kwanza kujua sababu ya biashara yako kuyumba ingekuwa vyema zaidi ya kwenda kwa waganga utapoteza zaidi.
 
Hapo kwa mganga ndiyo umechemka. Ambacho ungefanya ni kucheza na upepo kuna kipindi raia mshiko unakata inabidi warudi kwenye tembele. Hivyo kwenye kipindi cha mpito ungepunguza mzigo ili kulinda mtaji. Then hali ikiimalika unaendelea kama kawaida
Nilifanya hivo mkuu ila Bado, mfano Leo Toka asubuhi mpaka muda huu nimeuza elfu nne na 200 tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…