Hii hapa CV ya Askofu Mteule Jovitus Mwijage

Hii hapa CV ya Askofu Mteule Jovitus Mwijage

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Pitia hii CV ya askofu mteule. Ama kweli kapikwa na kapikika. FaizaFoxy na The Boss boss leteni CV zenu pia siyo kjimwambafai tu nyuma ya keyboard.

Screenshot_20231019-202045.jpg
Screenshot_20231019-202057.jpg
 
Ukimpa case ya kiroho mfano kutoa pepo,kuponya wagonjwa utashangaa elimu yake haina msaada,hapo ndipo Mungu anapenda kujitofautisha na wanadamu
Hasomi ili afanane na Mungu kimatendo na hata kinguvu, na sio Lengo lao, ndio maama kitu vha kwanza kabisa kwa hao watu husimamia nidhamu na unyenyekevu kwa mtu yeyote bila kujali umri.
 
Mimi nakupa guarantee 100% huyo na kusomeshwa kwake biblia toka kazaliwa asimame na mwanafunzi wa Mazinge tu wafanya mdahako wa bibilia, tuone nani ataibuka mshindi.

Tunaliomba hilo tena, aje na TEC nzima wamsaidie.

Maana elimu zingine hana.
 
Hoja kuhusu uhandisi,takwimu, Chemistry, banking?
Unaweza usifahamu, lakini Elimu ya Kanisa omejumuisha kila kitu, ndio maana upeo wa hao watu uko juu.

Ukitaka kubisha nenda ka argue nao kwa hoja!
 
Atakayekuwa anasimamia mdahalo awe muhindi au mchina. Ndiye awe anaweka marks. Asiwe na upande wa uislam au ukristo.


Mimi nakupa guarantee 100% huyo na kusomeshwa kwake biblia toka kazaliwa asimame na mwanafunzi wa Mazinge tu wafanya mdahako wa bibilia, tuone nani ataibuka mshindi.

Tunaliomba hilo tena, aje na TEC nzima wamsaidie.

Maana elimu zingine hana.
 
Hoja kuhusu uhandisi,takwimu, Chemistry, banking?
Mkuu, usihangaike sana, nenda kafuatilie profile zao. Ukiona kasomea jambo flan, elewa kuna wengine wamesomea hayo unayo sema ili kubalance Taasis yao.

Ndio maana andiko lileee... utaona lina mchanganyiko wa kitaalamu katika nyanja tofauti tifauti.

Hao watu wamekamilika kila nyanja, ndio maana ukisikia wanasema hawabahatishi ujue ni kweli hawabahatishi.
 
Hamna maajabu humo. Degree za historia ya Kanisa?

Alichowazidi mashehe ni kupata wani form six
Unataka kusema hakuna Mashehe wenye division 1 form! Mbona wako wengi tu. Achilia mbali wale wenye digrii, Masters na PhD.
 
Mkuu, usihangaike sana, nenda kafuatilie profile zao. Ukiona kasomea jambo flan, elewa kuna wengine wamesomea hayo unayo sema ili kubalance Taasis yao.

Ndio maana andiko lileee... utaona lina mchanganyiko wa kitaalamu katika nyanja tofauti tifauti.

Hao watu wamekamilika kila nyanja, ndio maana ukisikia wanasema hawabahatishi ujue ni kweli hawabahatishi.
Tunaongelea huyu au mwingine? Huyu ambaye CV yake iko mezani ndiye anajua na course zingine ila hajaamua kuandika? Au ni kuna mapadri wengine ndio wamesoma hayo mengine?
 
Atakayekuwa anasimamia mdahalo awe muhindi au mchina. Ndiye awe anaweka marks. Asiwe na upande wa uislam au ukristo.
Sijawahi kuelewa binadam wanao bishana kuhusu imani!

Nimefuatilia MUNAQASHA, kati ya Shehe Bachu na Ust Said kuhusu BARZANJI na MAULIDI.

Aisee, inasikitisha sana na inafikirisha kwakuwa ni kama Binadamu hatuna uhakika na Mungu wa kweli.
 
Unataka kusema hakuna Mashehe wenye division 1 form! Mbona wako wengi tu. Achilia mbali wale wenye digrii, Masters na PhD.
Division one KWA mapadri ni za kumwaga kuliko kwa mashehe
Unataka kusema hakuna Mashehe wenye division 1 form! Mbona wako wengi tu. Achilia mbali wale wenye digrii, Masters na PhD.
 
Back
Top Bottom