Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Fala wewe😃Mimi pamenifurahisha hapo anapoitwa "Father" halafu "marital Status" ndiyo hivyo tena.
Hivi vidume vya mbegu si mchezo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fala wewe😃Mimi pamenifurahisha hapo anapoitwa "Father" halafu "marital Status" ndiyo hivyo tena.
Hivi vidume vya mbegu si mchezo.
Kwani kingereza mnajua?Kusimamia mdahalo sisi tunakubali atoke hukohuko kwenu, kwani msimamia mdahalo yeye muongeaji?
Hilo Waislam wala hatuna wasiwasi nalo kabisa, hata kesho tupo tayari tena tukaufanyie uwanja wa mkapa.
Ya shule gani? thubutuuu 🤣🤣Sheikh Alhad Salum Ana One Nzuri Sana
Kama mwamposaWengine wanapanga kutoa mapepo na usanii mwingi shule hawataki kwenda[emoji1]
Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
Hakuna unachojua weweUnasifia hii cv? Ya kuanzia shule ya vidudu? Iliyojaa short courses?
Aisee
Uko sahihi kabisaHakuna unachojua wewe
Kwenye hizi imani mbili kuna tofauti moja kubwaPitia hii CV ya askofu mteule. Ama kweli kapikwa na kapikika. FaizaFoxy na The Boss boss leteni CV zenu pia siyo kjimwambafai tu nyuma ya keyboard.
View attachment 2786708View attachment 2786710
Tunaomba CV zao japo hata mmoja the top. Ukiachana na kipozeo na mwaipopo.Unataka kusema hakuna Mashehe wenye division 1 form! Mbona wako wengi tu. Achilia mbali wale wenye digrii, Masters na PhD.
Ikiwa huyo Mkristo ukristo wenyewe haujuwi ndiyo ataweza kukufundisha mengine?Tatizo la waislamu wa leo ni kuchanganyikiwa
Mimi.mfano nikitaka kujua uislamu nitamtafuata muislamu.msomi wa uislamu anieleweshe siwezi mtafuta Mkristo anifundishe Kurani
Na nikitaka kujua Biblia siwezi mtafuta muislamu eti anifundishe Biblia awe Mazinge au FaizaFoxy muislamu
Alichowazidi mashehe ni kupata wani form six
Hapana, tunajuwa English.Kwani kingereza mnajua?
Leta CV ya KipozeoJamaa ni professa.
Ningekuwa siujui Ukristo nisingekuwa MkristoIkiwa huyo Mkristo ukristo wenyewe haujuwi ndiyo ataweza kukufundisha mengine?
Mimi nakuhakikishia ungekuwa Mkristo wa kweli ungemfata kristo, wewe humfati kristo unalifata kanisa.Ningekuwa siujui Ukristo nisingekuwa Mkristo
Yaani na ww unajiona umeandika point..!? Kanisa katoliki haliwafanyi watu wajinga ndo maana mapdri wanasoma sana na linajenga Shule ili waumini wake nao wasome. Wewe hata hii elimu yako Ya darasa la 7, haijakusaidia kufuta ujinga bado umebaki na ujinga wako tu. Hayo mapepo unayoongelea hapa yapo au ni Kwa sababu tu Ya huo ujinga wako!?Ukimpa case ya kiroho mfano kutoa pepo,kuponya wagonjwa utashangaa elimu yake haina msaada,hapo ndipo Mungu anapenda kujitofautisha na wanadamu
Hiki Cha kupoteza mda na ku shape akili.kuwa Makaratasi oriented ndicho Wahaya wanakiweza ila kwenye uzalishaji Mali ni zero kabisa 🤣🤣Pitia hii CV ya askofu mteule. Ama kweli kapikwa na kapikika. FaizaFoxy na The Boss boss leteni CV zenu pia siyo kjimwambafai tu nyuma ya keyboard.
View attachment 2786708View attachment 2786710
CV magumashiUko sahihi kabisa
Lakini Hakuna cv hapo..::
Mkristo ni mfuasi wa KristoMimi nakuhakikishia ungekuwa Mkristo wa kweli ungemfata kristo, wewe humfati kristo unalifata kanisa.
Yesu alikuwa mkristo?
Hao mashehe hawana hata four form four, Na hawana hata certificate ya historia ya uislamu wao alafu ndiyo wamekabidhiwa misikiti wafundishe 🤣🤣🤣Hamna maajabu humo. Degree za historia ya Kanisa?
Alichowazidi mashehe ni kupata wani form six