Hii hapa CV ya Askofu Mteule Jovitus Mwijage

Hii hapa CV ya Askofu Mteule Jovitus Mwijage

Mimi nakupa guarantee 100% huyo na kusomeshwa kwake biblia toka kazaliwa asimame na mwanafunzi wa Mazinge tu wafanya mdahako wa bibilia, tuone nani ataibuka mshindi.

Tunaliomba hilo tena, aje na TEC nzima wamsaidie.

Maana elimu zingine hana.
Mazinge mwenyewe anapayuka tuu kwa kupiga kelele Hana hoja siku hizi anatolewa jasho na vile vijamaa vya kisabato vya Kenya.

Hivi unalifahamu kanisa au na wewe umekariri? Uliwahi kuona wakatoliki wakibishana mitaani kama wasabato na walokole ?
Yaani umkute Padri , Askofu , Bruder , au sister wa kikatoliki akishindana na dini nyingine? Au redio na Tv za kikatoliki zikirusha mahudhui ya kuchambua au kushindana na dini nyingine? Au ukute kwenye online you tube wanashambuliana wenyewe kwa wenyewe kama mnavyofanya ninyi na watu wenu wanaojiita wahadhiri akina mwaipopo, majini , sule na hata wazee wakubwa kabisa ambao umri wao ni WA kutulizana unakuta ishue za kitofauti za kiibada kama maulidi, kuandama kwa mwezi, shia, na suni basi wanaorusha maudhui ya kushindana uliwahi kuyaona hayo kwenye kani sa MAMA kanisa Katoliki au unawafuata hao Protestants ( murtad) wa kanisa ambao Wana utaratibu wao baada ya kujitenga na kanisa Katoliki?

Hivi kweli Makardinal , maaskofu, mapadre , masister , ma bruda na hata makatelista wa Kikatoliki , kanisa Kenya misingi na heshima za uzungumzaji na ibada zenye mfumo wakapige makelele mitaani na Mazinge kweli?

Hayo
 
Ukimpa case ya kiroho mfano kutoa pepo,kuponya wagonjwa utashangaa elimu yake haina msaada,hapo ndipo Mungu anapenda kujitofautisha na wanadamu
Kwa hiyo case ya kiroho ni kutoa mapepo , kuponya wagonjwa... ?? Kweli Ujinga umetamalaki kwenye makanisa yenu
 
Mazinge mwenyewe anapayuka tuu kwa kupiga kelele Hana hoja siku hizi anatolewa jasho na vile vijamaa vya kisabato vya Kenya.

Hivi unalifahamu kanisa au na wewe umekariri? Uliwahi kuona wakatoliki wakibishana mitaani kama wasabato na walokole ?
Yaani umkute Padri , Askofu , Bruder , au sister wa kikatoliki akishindana na dini nyingine? Au redio na Tv za kikatoliki zikirusha mahudhui ya kuchambua au kushindana na dini nyingine? Au ukute kwenye online you tube wanashambuliana wenyewe kwa wenyewe kama mnavyofanya ninyi na watu wenu wanaojiita wahadhiri akina mwaipopo, majini , sule na hata wazee wakubwa kabisa ambao umri wao ni WA kutulizana unakuta ishue za kitofauti za kiibada kama maulidi, kuandama kwa mwezi, shia, na suni basi wanaorusha maudhui ya kushindana uliwahi kuyaona hayo kwenye kani sa MAMA kanisa Katoliki au unawafuata hao Protestants ( murtad) wa kanisa ambao Wana utaratibu wao baada ya kujitenga na kanisa Katoliki?

Hivi kweli Makardinal , maaskofu, mapadre , masister , ma bruda na hata makatelista wa Kikatoliki , kanisa Kenya misingi na heshima za uzungumzaji na ibada zenye mfumo wakapige makelele mitaani na Mazinge kweli?

Hayo
Hiyo ni open challenge, tena huyo nimesema apambanishwe na mwanafunzi tu wa Mazinge, siyo Mazinge mwenyewe.

Tena Waislam tunasema hata wasimamizi wawe wenu na hata venue iwe kanisani. Tupo tayari.

Hakuna mkristo mwenye kuijuwa biblia zaidi ya Muislam.

Nyie hamfundishwi biblia mnafundishwa mafundisho ya kanisa, na yale pendwa ya vatikano.
 
Mimi nakupa guarantee 100% huyo na kusomeshwa kwake biblia toka kazaliwa asimame na mwanafunzi wa Mazinge tu wafanya mdahako wa bibilia, tuone nani ataibuka mshindi.

Tunaliomba hilo tena, aje na TEC nzima wamsaidie.

Maana elimu zingine hana.
Wanafunzi wa mazinge ndiyo kona nani? Walikuwepo kwenye mchakato wa chambuzi za kuandaa Bible? Wanazo original copies za barua za mitume? Hao wasiojua hata Deutekaranonical books zaidi ya kukariri aya za biblia uje umlinganishe na anayejua mpaka original copies za hivyo vitabu vilivyopo Vatican! Itakuwa hauna akili.
 
Hao mashehe hawana hata four form four, Na hawana hata certificate ya historia ya uislamu wao alafu ndiyo wamekabidhiwa misikiti wafundishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Elimu ya dini na sio elimu dunia.
 
Mimi nakuhakikishia ungekuwa Mkristo wa kweli ungemfata kristo, wewe humfati kristo unalifata kanisa.


Yesu alikuwa mkristo?
Huyu ndiye anataka kuargue na kukosoa CV ya Askofu 🤣🤣🤣 Eti Yesu alikuwa Mkristo! Hivi unaelewa hata maana ya Kanisa? Kweli ujinga ni kipaji
 
Elimu ya dini na sio elimu dunia.
Hakuna cha Elimu dini wala elimu dunia, Elimu ni Elimu. Madaktari wanatibu watu wa Mungu, Wanasheria wanatekeleza haki za Mungu, Wanasayansi, Wanabayolojia,wanajiolojia wanazisoma kazi za mikono ya Mungu.. wanafalsafa, mapadre, waalimu wa dini wanasoma na kufundisha kuhusu Mungu.
 
Mimi nakupa guarantee 100% huyo na kusomeshwa kwake biblia toka kazaliwa asimame na mwanafunzi wa Mazinge tu wafanya mdahako wa bibilia, tuone nani ataibuka mshindi.

Tunaliomba hilo tena, aje na TEC nzima wamsaidie.

Maana elimu zingine hana.
Lengo la kusoma sio kufanya mdahalo na Mazinge. Huko shule mlienda kujifunza kubishana?
 
Lengo la kusoma sio kufanya mdahalo na Mazinge. Huko shule mlienda kujifunza kubishana?
Tunataka tujuwe kama elimu imemfaa au pesa zetu zinakwenda kuchezewa mdako tu huko maseminari.
 
Hoja kuhusu uhandisi,takwimu, Chemistry, banking?
Wapo fani tofauti, hadi juzi Sheikh Mwaipopo alikuwa analalamika iweje Padri yule aliyeenda mafunzoni Cuba amekuwa mwanajeshi na anafundisha Architecture pale UCLAS!
 
Tunataka tujuwe kama elimu imemfaa au pesa zetu zinakwenda kuchezewa mdako tu huko maseminari.
Ili usilalamikie fedha 'zenu', wasomeshe shule wafuasi wa Mazinge, madrasa haitoshi
 
Ukimpa case ya kiroho mfano kutoa pepo,kuponya wagonjwa utashangaa elimu yake haina msaada,hapo ndipo Mungu anapenda kujitofautisha na wanadamu
Lengo la kusoma sio kutoa mapepo. Hayo mapepo tunawaachia wenye lengo hilo
 
Mimi pamenifurahisha hapo anapoitwa "Father" halafu "marital Status" ndiyo hivyo tena.

Hivi vidume vya mbegu si mchezo.
Aliyemwandikia CV ni mbumbumbu

Wavaa rozari njooni mnitukane .... Marital status: Catholic Priest.

Marital status Ina options mbili tu whether Single or Marriage...
 
Back
Top Bottom