Hii hapa CV ya Askofu Mteule Jovitus Mwijage

Atakayekuwa anasimamia mdahalo awe muhindi au mchina. Ndiye awe anaweka marks. Asiwe na upande wa uislam au ukristo.
Kusimamia mdahalo sisi tunakubali atoke hukohuko kwenu, kwani msimamia mdahalo yeye muongeaji?

Hilo Waislam wala hatuna wasiwasi nalo kabisa, hata kesho tupo tayari tena tukaufanyie uwanja wa mkapa.
 
We ajuza acha uloz
Mimi nakupa guarantee 100% huyo na kusomeshwa kwake biblia toka kazaliwa asimame na mwanafunzi wa Mazinge tu wafanya mdahako wa bibilia, tuone nani ataibuka mshindi.

Tunaliomba hilo tena, aje na TEC nzima wamsaidie.

Maana elimu zingine hana.
 
Eleweni kwamba kanisa katolic ndio TAAsisi yenye watu wasomi duniani

Hata serikali zote duniani ,hazina wasomi wanaofikia taasisi hiyo

Mnaobeza juu ya shule ya Father huyo ,Hilo nieneo lake tu
 
Cha kushangaza, utakuja kukuta mtu kama huyo ambae elimu yake yote ni ya kanisa anakuja kuongelea mambo ya uchumi. Ana haki gani ya kuongelea uchumi hata na mwanafunzi wa cheti tu wa uchumi?

Jambo ambalo linafanywa na vidume wa mbegu wa TEC.
 
Ila watume yesu na manabii mbona hatukuona Kama wamesoma elimu dunia na wamefanya miujiza ya ukweli, Hawa wasomi mafather na shule zao hawana muujiza wowote.
 
Mimi nakupa guarantee 100% huyo na kusomeshwa kwake biblia toka kazaliwa asimame na mwanafunzi wa Mazinge tu wafanya mdahako wa bibilia, tuone nani ataibuka mshindi.

Tunaliomba hilo tena, aje na TEC nzima wamsaidie.

Maana elimu zingine hana.
Mazinge huyu msukuma au yupi[emoji1]

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
 
Cha kushangaza, utakuja kukuta mtu kama huyo ambae elimu yake yote ni ya kanisa anakuja kuongelea mambo ya uchumi. Ana haki gani ya kuongelea uchumi hata na mwanafunzi wa cheti tu wa uchumi?

Jambo ambalo linafanywa na vidume wa mbegu wa TEC.
Mapadre na maaskofu huwa pia wabobezi kwenye fani mbalimbali ikiwemo uchumi angalia padri huyu
Picha hapo chini ni Padre Henry,ambaye ni mwanajeshi komandoo,ambaye katunukiwa PhD yake ya Architecture!



 
Mapadre na maaskofu huwa pia wabobezi kwenye fani mbalimbali ikiwemo uchumi angalia padri huyu
Picha hapo chini ni Padre Henry,ambaye ni mwanajeshi komandoo,ambaye katunukiwa PhD yake ya Architecture!

Unaandika utumbo.

Soma mada.
 
Unaandika utumbo.

Soma mada.
Ninachotaka kukuambia kuwa mapadre na maaskofu sio mbumbumbu kwenye mambo ya uchumi waweza ongelea bila shida yeyote upadri hasasomei kusalisha tu ni pamoja na mambo ya uchumi sababu kila kanisa huwa na miradi ya uchumi ambayo msimamizi wake huwa ni Padre
 
Soma mada, hapa imewekwa cv ya nani?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Muislam.

Mimi nakupa guarantee 100% huyo na kusomeshwa kwake biblia toka kazaliwa asimame na mwanafunzi wa Mazinge tu wafanya mdahako wa bibilia, tuone nani ataibuka mshindi.

Tunaliomba hilo tena, aje na TEC nzima wamsaidie.
Tatizo la waislamu wa leo ni kuchanganyikiwa

Mimi.mfano nikitaka kujua uislamu nitamtafuata muislamu.msomi wa uislamu anieleweshe siwezi mtafuta Mkristo anifundishe Kurani

Na nikitaka kujua Biblia siwezi mtafuta muislamu eti anifundishe Biblia awe Mazinge au FaizaFoxy muislamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…