Hii hapa ndio Sababu ya CCM kupiga marufuku mikutano ya hadhara. Umati wa Kahama ni kitisho kikuu

Hii hapa ndio Sababu ya CCM kupiga marufuku mikutano ya hadhara. Umati wa Kahama ni kitisho kikuu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe.

Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida, huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio, na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara.

Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe.

FB_IMG_1683908166445.jpg
FB_IMG_1683908160333.jpg


Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe .

Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida , huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio , na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara .

Kwa kuounguza maneno hebu oneni wenyewe .

View attachment 2619319View attachment 2619320

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Nimesikia sana inasifika mitandaoni.
 
Wiki ijayo akapumzike kwao Ubelgiji asije kutuangukia jukwaani. Afya yake siyo nzuri.
 
Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe .

Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida , huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio , na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara .

Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe .

View attachment 2619319View attachment 2619320

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Huu ni ushahidi namna wananchi walivyoichoka CCM.

Halafu utashangaa kura zikipigwa zinalazimishwa na dola kuwa zote za CCM
 
Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe .

Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida , huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio , na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara .

Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe .

View attachment 2619319View attachment 2619320

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sisi tunaomboleza halafu wewe unatuletea mikutano
 
Back
Top Bottom