Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nimesikia sana inasifika mitandaoni.Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe .
Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida , huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio , na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara .
Kwa kuounguza maneno hebu oneni wenyewe .
View attachment 2619319View attachment 2619320
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tuombe MunguLissu apewe Chama na awe Flag bearer mwaka kweshokutwa
Nani kakudanganya kwa taarifa yako tar 16 kuna Kambi zinasambazwa Nchi nzima Lissu na Mbowe wanagawana Nchi.Lissu apewe Chama na awe Flag bearer mwaka kweshokutwa
Si mitandaoni tu , hadi mitaaniNimesikia sana inasifika mitandaoni.
Pole sana !Kahama wanashangaa msaliti wa tutashitakiwa MIGA
We jamaa uliathirika kisaikolojia. Sasa jamaa karudi mtakimbia Nchi?Kahama wanashangaa msaliti wa tutashitakiwa MIGA
Huu ni ushahidi namna wananchi walivyoichoka CCM.Wakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe .
Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida , huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio , na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara .
Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe .
View attachment 2619319View attachment 2619320
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Lisu ndio anastahili kuwa mwenyekiti wa CDM, na John Heche kuwa katibu mkuu wa CDM.Lissu apewe Chama na awe Flag bearer mwaka kweshokutwa
Lissu apewe Chama na awe Flag bearer mwaka kweshokutwa
π π πHuu ni ushahidi namna wananchi walivyoichoka CCM.
Halafu utashangaa kura zikipigwa zinalazimishwa na dola kuwa zote za CCM
Sisi tunaomboleza halafu wewe unatuletea mikutanoWakuu kwanza Poleni kwa Msiba mzito wa Kiongozi wetu Bernard Membe .
Hata hivyo bado Ratiba nyingine za kisiasa ziliendelea kama kawaida , huko Kahama Tundu Lissu alikuwa na Mkutano wa hadhara ambao umevunja rekodi yake mwenyewe ya Mahudhurio , na sasa tumeelewa kisa cha ccm na Magufuli kuogopa Mikutano ya hadhara .
Kwa kupunguza maneno hebu oneni wenyewe .
View attachment 2619319View attachment 2619320
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kila siku watu wanafariki haifanyi maisha yasimameSisi tunaomboleza halafu wewe unatuletea mikutano
If wishes were horses....Nani kakudanganya kwa taarifa yako tar 16 kuna Kambi zinasambazwa Nchi nzima Lissu na Mbowe wanagawana Nchi.
Umesemajeeee. Kwenu Kuna hata mwenyesifa ya kugombea ata udiwaniii..Samia asigombee.
..Nafasi ya Uraisi waachiwe Chadema na wamsimamishe Tundu Lissu.
Naunga MkonoLisu ndio anastahili kuwa mwenyekiti wa CDM, na John Heche kuwa katibu mkuu wa CDM.