Hii hapa orodha ya wanahiphop bora wa muda wote Tanzania

Hii hapa orodha ya wanahiphop bora wa muda wote Tanzania

4✓
5✓
7✓

List ipo vizuri japo hujaweka in good order

Ilipaswa iwe hivi

1) Joh Makini
2) Professa
3) Lord Eyes
4) Fid
5) Nikki wa Pili
6) Afande Sele
7) Chid Benz
8) Jay Moe
9) Kalapina
10) Sugu

Dogo janja ni mzuri sana but kwa top 10 nahisi bado kuna wakongwe wamemzidi kidogo

Nikki mbishi huyo hata top 20 hawezi kuwemo, ni wa level za kiunderground.
Hivi unapomuweka Joh Makini on top ya plProfesa Jay unakuwa umetumia kigezo gani?

List ambayo Joh Makini anaweza kuwa namba 1 ni kwenye list ya wasanii wa Hip Hop wenye rasta.

Napo atafichwa na Afande Sele yani kiufupi namba 1 inamkataa kila idara.
 
Kwa sisi tusiojua muziki, hip hop inatofauti na nyimbo za akina Blue, FA, Afande Sele, Prof J n.k?

Huwa nachanganyikiwa kutofautisha, Eminem na Jay Z, wanafanya muziki wa aina moja? Yaani Tupac na Pdiddy(sijui ndo hivyo?) wanaimba au wana rap? Tofauti ya kuimba na ku-rap hasa ni ipi?

AY alisema yeye style yake ni commercial, Fid Q akakataa kuwa yeye hafanyi Bongofleva, nikasikia sijui kuna wabana pua; Marlaw na akina Bia tamu, Jux wanafanya aina gani?

Mpoto je?

Kughani ni kufanyaje?
 
Hivi unapomuweka Joh Makini on top ya plProfesa Jay unakuwa umetumia kigezo gani?

List ambayo Joh Makini anaweza kuwa namba 1 ni kwenye list ya wasanii wa Hip Hop wenye rasta.

Napo atafichwa na Afande Sele yani kiufupi namba 1 inamkataa kila idara.
Hakuna kitu professa anamzidi joh makini kwenye hiphop. Nyie mnachanganya kati ya ukongwe na uwezo.
 
Wakuu pamoja na kupenda siasa za CCM ila pia mimi ni mnazi mkubwa wa muziki wa Hiphop. Tangu utotoni nimekua nikipenda Hiphop. Nimekuwa nikisikiliza nyimbo za GWM, Mr II, Dollar Soul, JCB & Watengwa, Nako2Nako, Juakali, hadi hawa waliopo kwenye chati kina PMawenge.

Nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana kwenda pale Uwanja wa basketball Soweto, Arusha kutazama matamasha ya hiphop yaliyokuwa yakifadhiliwa na Sprite. Kiufupi mimi ni mwanafamilia wa Hiphop.

Hii hapa orodha tukufu ya wanahiphop bora kuwahi kutokea nchini, inaanza na bora zaidi hadi namba 10:

1. Mr II (Sugu) - haihitaji kubishana kwamba huyu Joseph Mbilinyi ambaye pia ni mbunge mstaafu wa CHADEMA na mnufaika wa michango ya join The chain kuwa ni mwanahiphop bora zaidi wa muda wote nchini. Ana alama nyingi sana kwenye hiphop Tanzania.

2. Profesa Jay - huyu ni binadamu anayependwa na kila mtu bila kujali itikadi. Kwenye hiphop ya Tanzania ana alama zake zisizofutika.

3. Mikiller Gego - ni mwanahiphop ambaye pia ni mhandisi kitaaluma. He is a scientist & artist. Nyimbo na makala zake zimewagusa hadi wapenzi wa muziki wa Taarabu.

4. Lord Eyes - member wa N2N na sasa Weusi. Kwakweli kwa zile flow alizo nazo Lord Eyes angeweza hata kuwa namba moja sema ana matatizo binafsi ya nje ya Hiphop yanayomfanya ubora wake mara nyingi ushuke.

5. Joh Makini - mwamba wa kaskazini haina haja ya kumzungumzia sana kwa sababu anaeleweka balaa lake.

6. Chid Benz - pamoja na kuwa teja lakini Chid Benz ni mwanahiphop bora wa muda wote. Haihitaji ubishi.

7. Nikki wa II - Ubora wake kwenye Hiphop ulifanya hadi ikulu imtambue na kumteua aisaidie nchi kwenye uongozi ngazi ya ukuu wa wilaya. Ni mwanahiphop anayetajwa kumiliki mtoto mkali hatari yaani MASHINE MNATO.

8. Fid Q - Ngosha the Don hana mambo mengi yanayomfanya awepo kwenye hii orodha tukufu zaidi ya kipaji chake.

9. Nikki Mbishi - ubishi wake ni talent.

10. Dogojanja - hakuna dogo anayeweza kuchana kama yeye.
Naona apo umeweka ukabila sana kwahyo Lord eyes anajua kuliko means fa, chid benz na wengineo??
 
CCM na hip-hop wapi na wapi
Mwana hip-hop ni ney wa mitengo
 
Msanii mkali wa hip hop ni mmoja tu bongo, joh makini basi wengine ungaunga mwana.
 
Wakuu pamoja na kupenda siasa za CCM ila pia mimi ni mnazi mkubwa wa muziki wa Hiphop. Tangu utotoni nimekua nikipenda Hiphop. Nimekuwa nikisikiliza nyimbo za GWM, Mr II, Dollar Soul, JCB & Watengwa, Nako2Nako, Juakali, hadi hawa waliopo kwenye chati kina PMawenge.

Nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana kwenda pale Uwanja wa basketball Soweto, Arusha kutazama matamasha ya hiphop yaliyokuwa yakifadhiliwa na Sprite. Kiufupi mimi ni mwanafamilia wa Hiphop.

Hii hapa orodha tukufu ya wanahiphop bora kuwahi kutokea nchini, inaanza na bora zaidi hadi namba 10:

1. Mr II (Sugu) - haihitaji kubishana kwamba huyu Joseph Mbilinyi ambaye pia ni mbunge mstaafu wa CHADEMA na mnufaika wa michango ya join The chain kuwa ni mwanahiphop bora zaidi wa muda wote nchini. Ana alama nyingi sana kwenye hiphop Tanzania.

2. Profesa Jay - huyu ni binadamu anayependwa na kila mtu bila kujali itikadi. Kwenye hiphop ya Tanzania ana alama zake zisizofutika.

3. Mikiller Gego - ni mwanahiphop ambaye pia ni mhandisi kitaaluma. He is a scientist & artist. Nyimbo na makala zake zimewagusa hadi wapenzi wa muziki wa Taarabu.

4. Lord Eyes - member wa N2N na sasa Weusi. Kwakweli kwa zile flow alizo nazo Lord Eyes angeweza hata kuwa namba moja sema ana matatizo binafsi ya nje ya Hiphop yanayomfanya ubora wake mara nyingi ushuke.

5. Joh Makini - mwamba wa kaskazini haina haja ya kumzungumzia sana kwa sababu anaeleweka balaa lake.

6. Chid Benz - pamoja na kuwa teja lakini Chid Benz ni mwanahiphop bora wa muda wote. Haihitaji ubishi.

7. Nikki wa II - Ubora wake kwenye Hiphop ulifanya hadi ikulu imtambue na kumteua aisaidie nchi kwenye uongozi ngazi ya ukuu wa wilaya. Ni mwanahiphop anayetajwa kumiliki mtoto mkali hatari yaani MASHINE MNATO.

8. Fid Q - Ngosha the Don hana mambo mengi yanayomfanya awepo kwenye hii orodha tukufu zaidi ya kipaji chake.

9. Nikki Mbishi - ubishi wake ni talent.

10. Dogojanja - hakuna dogo anayeweza kuchana kama yeye.
Umemsahau Father Nely na Jombii Chindo man
 
Hivi unapomuweka Joh Makini on top ya plProfesa Jay unakuwa umetumia kigezo gani?

List ambayo Joh Makini anaweza kuwa namba 1 ni kwenye list ya wasanii wa Hip Hop wenye rasta.

Napo atafichwa na Afande Sele yani kiufupi namba 1 inamkataa kila idara.
Huyo jamaa si kamuweka kaka ake namba moja, alivyo na akili ndogo na yeye kajiweka kwenye list na bila kusahau kumsagia Nikki Mbishi.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu pamoja na kupenda siasa za CCM ila pia mimi ni mnazi mkubwa wa muziki wa Hiphop. Tangu utotoni nimekua nikipenda Hiphop. Nimekuwa nikisikiliza nyimbo za GWM, Mr II, Dollar Soul, JCB & Watengwa, Nako2Nako, Juakali, hadi hawa waliopo kwenye chati kina PMawenge.

Nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana kwenda pale Uwanja wa basketball Soweto, Arusha kutazama matamasha ya hiphop yaliyokuwa yakifadhiliwa na Sprite. Kiufupi mimi ni mwanafamilia wa Hiphop.

Hii hapa orodha tukufu ya wanahiphop bora kuwahi kutokea nchini, inaanza na bora zaidi hadi namba 10:

1. Mr II (Sugu) - haihitaji kubishana kwamba huyu Joseph Mbilinyi ambaye pia ni mbunge mstaafu wa CHADEMA na mnufaika wa michango ya join The chain kuwa ni mwanahiphop bora zaidi wa muda wote nchini. Ana alama nyingi sana kwenye hiphop Tanzania.

2. Profesa Jay - huyu ni binadamu anayependwa na kila mtu bila kujali itikadi. Kwenye hiphop ya Tanzania ana alama zake zisizofutika.

3. Mikiller Gego - ni mwanahiphop ambaye pia ni mhandisi kitaaluma. He is a scientist & artist. Nyimbo na makala zake zimewagusa hadi wapenzi wa muziki wa Taarabu.

4. Lord Eyes - member wa N2N na sasa Weusi. Kwakweli kwa zile flow alizo nazo Lord Eyes angeweza hata kuwa namba moja sema ana matatizo binafsi ya nje ya Hiphop yanayomfanya ubora wake mara nyingi ushuke.

5. Joh Makini - mwamba wa kaskazini haina haja ya kumzungumzia sana kwa sababu anaeleweka balaa lake.

6. Chid Benz - pamoja na kuwa teja lakini Chid Benz ni mwanahiphop bora wa muda wote. Haihitaji ubishi.

7. Nikki wa II - Ubora wake kwenye Hiphop ulifanya hadi ikulu imtambue na kumteua aisaidie nchi kwenye uongozi ngazi ya ukuu wa wilaya. Ni mwanahiphop anayetajwa kumiliki mtoto mkali hatari yaani MASHINE MNATO.

8. Fid Q - Ngosha the Don hana mambo mengi yanayomfanya awepo kwenye hii orodha tukufu zaidi ya kipaji chake.

9. Nikki Mbishi - ubishi wake ni talent.

10. Dogojanja - hakuna dogo anayeweza kuchana kama yeye.
Nimeanza kufatilia hip-hop mwanzoni mwa miaka ya 2000 tangu nikiwa chekea Hadi Leo ni zaidi ya miaka 20 huyo msanii namba tatu sijawahi msikia kabisa hebu nipe Ngoma yake moja nimsikilize....

Halafu inaonekana unapenda hip-hop lakini hujui chochote kuhusu hip-hop
 
Back
Top Bottom