Ndugu kwa ndugu sometimes watu baki ila watu baki case ni chache.Ndugu kwa ndugu au watu baki? Maana navyojua huwa wanaishi kifamilia.
😂😂😂😂😂 hata jana nimemchangia acha azitumie tu.
Kwa Mwili wake huo, hana muda mrefu atamfikia Rick Ross 🙌Watu wanazingatia maokoto, bwana harusi kakaa kizembe sana ila ndo hivyo pesa inaongea
Pesa tam weweWanawake na pesa 🙌🙌
Ila hao nao si huwa wanaoana ndugu?
Kashamzidi Ricky ross mbona utajiri unamsitiri tuKwa Mwili wake huo, hana muda mrefu atamfikia Rick Ross 🙌
Tatizo mpka tuje tuzipate hizo bilioni tutakuta na nyie mmeshachukuliwa 😊Wewe hupendi pesa?
Shukuru kwa yote mkuu kuna watu wanatolewa utumbo nje na vita.Wengine tupo tupo tu tunashindia utumbo wa mbuzi huku mwanjelwa...
Kama hadi uchangiwe hufai utaenda kutuaibisha.Nichangieni nikawawakilishe huko
Huwezi amini nyumba Yao Ina gym kabisaHayo matumizi ya pesa kama mimi mzazi nisingetumia kwenye harusi ya bonge nyanya kama hilo!
Muda wowote huyo mwanamke ataveshwa nje ilibidi kwanza aanze na kumnunulia zana za kupiga tizi kuondoa minyama uzembe hiyo iliyokusanyana mwilini.
😂 hivi kuna ke asiehusudu pesa?Pesa tam wewe
Hapo nimeelewa mkuu.Nyingi kwa masikini ila kwa mtu mwenye 116 usd billions, 10usd millions ni ka asilimia kadogo sana yani ni kama vile wewe uwe na utajiri wa 116tzs billions alafu umpe Diamond milioni kumi kuimba kwenye harusi
Kwa hali hii mwamba akipitia komenti za wadau huko duniani itamuathiri sana.Ukiacha pesa hii Couple ni among "The Impossible Possibles"
Ni bora kuamini huyo dada (Isha) anampenda mume wake kuliko kuamini huu uongo ulioandika.Saaana hata kwa picha unaona kabisa analazimisha kucheka ila hampendi jamaa
Na nani wee team kataa ndoa?Tatizo mpka tuje tuzipate hizo bilioni tutakuta na nyie mmeshachukuliwa [emoji4]
😂 bwana harusi kazi anayoSawa tutajumuika nao kaburini.
Na km bwana harusi ni huyo kifutu hapo hamna ndoa
Nikajua kwakuwa wanaishi kifamilia sana hayo hayawezi kutokea.Ndugu kwa ndugu sometimes watu baki ila watu baki case ni chache.
Kuna kisa kimoja Kariakoo miaka ya 2006 jamaa alikuwa anamchukua mume anaenda kumpigisha maji na tambuu bar wakiwa beer ya tatu au nne anamuaga anakuja safari kwa mkewe anaenda kumpiga nyama,jamaa alipojua ilibidi mzinzi arudishwe India maana jamaa alikuwa anamtafuta na pistol mkononi ammwage ubongo
Ulichoandika hakina mashiko. Ungefanya utafiki mdogo kwanza.Huyo dada ni pesa kafuata, lakini amshawishi awe kwenye shape, jamaa ana tumbo kama freezer.