Hii huenda ndio hotuba bora ya Conference of Parties ( COP 26 ) na huenda ikaacha historia kwa miaka mingi, Mungu Ibariki Tanzania

 
Reactions: BAK
Hotuba iliyojaa uongo kuhusu uwepo wa vibrant democracy na haki za binadamu nchini KAMWE haiwezi kuwa ni hotuba bora. Unaenfa katika jukwaa kubwa kuliko yote duniani halafu unasema uongo wa halii ya juu kisha iitwe hotuba bora? 😳 😳 😳

Tunatakiwa kuwa realistic tusiendeshwe na itikadi. Kama hotuba ya mama imeonekana bora we must be proud of it and her. Akifanya vizuri ni Tanzania imefanya vizuri.
 
Unaweza kuthibitisha maneno yako mkuu?
 
Tuwe timamu kidogo hiyo hotuba ameandikiwa labda tumsifu kwa kuisoma. nihayo yuu
 
Sawa Wale wengine siwalikosa wakuwaandikia,
Wanawaza mambo mazito yakuendeleza nchi, hotuba haiendelezi nchi.
Watu wasokuwa namambo muhimu hutumia muda na akili nyingi kwenye minor issues.
Mtotoo watu wana concentrate kwenye kilimo,viwanda,elimu,afya,ajira,teknolojia,demokrasia,uongozi bora nk. sio hotuba!!!
 
Safi Sana Rais Samia,

We love you,
 
Unamaanisha nini?
 
Hotuba mnaona muhimu kuliko aman kupotea mbagala .
 
Hotuba au kusoma risala aliyoandikiwa?

Kuomba pesa ndio hotuba bora?

Kulia kwamba ni nchi maskini hivyo isaidiwe ndio hotuba bora?

Ili umpose mwanamke ni sharti umsifie kwa uongo na unafiki wa kiwango cha kipimo cha uzamivu
 
Nnachompendea Mama anajua kuomba pesa..
Hivyo hivyo Mamaa.. Ila usile peke yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…