Hii huenda ndio hotuba bora ya Conference of Parties ( COP 26 ) na huenda ikaacha historia kwa miaka mingi, Mungu Ibariki Tanzania

Sifa hizi ni za kipumbavu,hotuba kali barani Afrika ni Tshisekedi wa Congo,
Naona user mpya kutuletea upumbavuView attachment 1996139
kaongea nini la maana? acha kuusudu vitu vya wengine, nina hakika asilia 100 nyumbani kwako unako ishi ni mafiii kabisa kwa ajili ya kutamani vitu vya jirani yako. pathetic creature jitu zima takataka ovyooo
 
kaongea nini la maana? acha kuusudu vitu vya wengine, nina hakika asilia 100 nyumbani kwako unako ishi ni mafiii kabisa kwa ajili ya kutamani vitu vya jirani yako. pathetic creature jitu zima takataka ovyooo
kweli huyu takataka
 
Safi Rais Samia,
 
Mambo ya kusifia hotuba yamekuwa hallmark ya awamu hii
 

Aliweza kuchomekea yale mambo yake pendwa ya legacy:

 
Yaani hotuba bora ya kulialia na kujikomba kuomba msaada! Kweli unaweza kuwa na kichwa tu umekibeba ila kinaumiza misuli ya shingo tu maana hakina kazi! Umekibeba kama furushi tu!
Unataka bora iweje jembe?
 
sas mtu mwenyewe kazi yake kusoma tu hiyo hotuba yakuandikiwa, angekuwa na akili angeizungumza japo kwa ufupi na kueleweka bila kusoma, il tujuwe kweli ana details na ufahamu wa mambo ya nchin mwake,

kipindi cha jiwe, viongoz weng walkuwa wanajitahid kukalili data za hotuba zao, na wengi wao walkua na uwezo wa kuifafanua vizur hotuba bila kuhitaji makaratasi wala maandiko yoyote, na huo ndio ufahamu unaotakiwa kusifika,

kusoma kila mtu anauwezo wa kusoma ilimladi tu uwe na confidence ya kuzungumza mbele ya kadamnasi..

huyo bibi yenu mnapenda kumpa sifa hasizostahili.

ukwel mchungu.
 
Sawa, wengine hawakujua kusoma umeeleweka
 
Hii English kajifunzia wapi mama?
Daah, Wazungu lazima watuelewe tu awamu hii, Hongera Rais ni hotuba nzuri sana,
 
Joined 29/08/2021
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…