Hii imekaaje, kosa la mume polisi kumpiga mke ili aonyeshe mumewe alipo?

Hilo ni kosa kubwa sana, Ila kwa sababu ccm Na polisi waliishawaona watanzania ni mafara wasiozijua haki zao ndio maana akafanya hivyo..
 
Mkuu hii kingereza ulichokitumia hapa ni asilimia 0.00% ya polisi wa Tanzania wanaweza kutengeneza sentensi moja ya maneno ya kingereza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…