Hii imekaaje watu wa mitazamo ya mbali, uwekeze Mil. 330,000,000 upate Mil. 27,500,000 kwa mwaka?

Hii imekaaje watu wa mitazamo ya mbali, uwekeze Mil. 330,000,000 upate Mil. 27,500,000 kwa mwaka?

Mkuu mie nakushauri usirudi nyuma narudia Tena usirudi nyuma narudia Tena usirudi nyuma kwa sababu zifuatazo:
1-risk Ni ndogo
2- hakuna kushuka thamani ya bidhaa yako i.e Iyo nyumba ukisema uje kuuza after 10yrs utaweza uza like 600M.
3- both mental and financial capital ziko salama mno hakuna usumbufu na watu ama wafanyakazi otherwise like ukinunua coaster ama hiace ama bizness ingine.
4- unaweza ukazichukulia mkopo wa kujenge zingine tano Sasa ukawa na nyumba 15 so zote hizo 15 zikawa zinatumika kulipa mkopo. You've to leverage with others money, time, and all resources ili usonge mbele.
Sasa unazo 15 kwa 3m kwa mwaka unazo 45M Kama umechukua mkopo wa 160M utaulipwa nadhani ndani ya 5yrs umemaliza mkopo wao mkuu.

Baada ya hapo unachukua Tena mkopo wa nyumba 10 ambao Ni 350M unajenga zingine 10 jumla una nyumba 25 so kwa mwaka 75 Ni ndani ya miaka mitano unamaliza mkopo wao, yaani unaendelea ivyo ivyo mkuu kikubwa discipline ndio kila kitu. Fungua akaunti kwa ajili ya huo mradi yaani hela ya Kodi ya nyumba usiishike ikiwekwa huko benki wanachukua Chao ama ufungue loji uweke CCTV kamera uwe unazifuatilia japo zinahitaji close monitoring.

5- hakuna Cha economic crisis i.e inflation kwako ujue.
6- urithi mzuri kwa kizazi chako kwa baadaye na unaweza ukawa na real estate business ya uhakika baadaye ukaifnaya ikawa ama ukaisajili na abnb kwa ajili ya kupata wateja wa nje.


Naomba usirudi nyumba. Wekeza kwa basic needs za binadamu like houses aka shelter ,foods iwe isiwe lazima watu watakula ama watalala hakuna ku spare hizo basics.

Yangu Ni hayo mkuu.

Waza for 30 yrs to come utakuwa mbali mno yaani Ile uko like 60/70s wenzako wanakutamania mno yaani mno.

Yaani utashangaa unakuwa na jina na unapewa uenyekiti ccm mkoa ama wilaya Mara mbunge,kumbuka like attracts likes.
Hapo ndipo utachukua mkopo wa bilioni plus na kushusha vitu vyako kila mji mkubwa hapa tz.

Nakuombea uendelee ivyo ivyo yaani uwe litajiri ili utoe ugali kwa vijana wengi mno mtaani.


Vijana wangekuwa waaaminifu ningekuambia agiza boda zako like 150, halafu wape vijana kila boda now mktaba halafu usiwe na tamaa wewe waambie kuwa unahitaji profit ya laki sita kila boda hizi unaagiza direct from China. So kwa hizo boda zako 150*.6 unazo 90M kwa mwaka ukifanya like 10 yrs you're untouchable sema Sasa sie wazembe tunapenda kula asali pasipo kung'atwa na nyuki ujue.
Ama tunawaza kuiba ,na ndio Mana afrika matajiri Ni wachache ambao sio politicians or sio wezi ama wa magendo
Umeandika vizuri.. Japo naona kile kibiashara cha matikiti kiliingia kwa mbaali.. 😁😁😁.

Ila ni ushauri mzuri.
 
Hakuna pesa ya haraka
Dunian ukitaka
Pesa hiyo hela
Itateteketea mapema jenga estate then kopa hata 50m fungua biashara yako hata kariakoo dar hata biashara return
Yake pia sio ya kulala na kuamka lazma uzoeleke
La mwish kama unapesa nzur jenga mjini maana wapangaj n weng usitake kujenga maporini et unasbr mji ukue itakuchukua muda mrefu pesa yako kurudi
 
Mkuu mie nakushauri usirudi nyuma narudia Tena usirudi nyuma narudia Tena usirudi nyuma kwa sababu zifuatazo:
1-risk Ni ndogo
2- hakuna kushuka thamani ya bidhaa yako i.e Iyo nyumba ukisema uje kuuza after 10yrs utaweza uza like 600M.
3- both mental and financial capital ziko salama mno hakuna usumbufu na watu ama wafanyakazi otherwise like ukinunua coaster ama hiace ama bizness ingine.
4- unaweza ukazichukulia mkopo wa kujenge zingine tano Sasa ukawa na nyumba 15 so zote hizo 15 zikawa zinatumika kulipa mkopo. You've to leverage with others money, time, and all resources ili usonge mbele.
Sasa unazo 15 kwa 3m kwa mwaka unazo 45M Kama umechukua mkopo wa 160M utaulipwa nadhani ndani ya 5yrs umemaliza mkopo wao mkuu.

Baada ya hapo unachukua Tena mkopo wa nyumba 10 ambao Ni 350M unajenga zingine 10 jumla una nyumba 25 so kwa mwaka 75 Ni ndani ya miaka mitano unamaliza mkopo wao, yaani unaendelea ivyo ivyo mkuu kikubwa discipline ndio kila kitu. Fungua akaunti kwa ajili ya huo mradi yaani hela ya Kodi ya nyumba usiishike ikiwekwa huko benki wanachukua Chao ama ufungue loji uweke CCTV kamera uwe unazifuatilia japo zinahitaji close monitoring.

5- hakuna Cha economic crisis i.e inflation kwako ujue.
6- urithi mzuri kwa kizazi chako kwa baadaye na unaweza ukawa na real estate business ya uhakika baadaye ukaifnaya ikawa ama ukaisajili na abnb kwa ajili ya kupata wateja wa nje.


Naomba usirudi nyumba. Wekeza kwa basic needs za binadamu like houses aka shelter ,foods iwe isiwe lazima watu watakula ama watalala hakuna ku spare hizo basics.

Yangu Ni hayo mkuu.

Waza for 30 yrs to come utakuwa mbali mno yaani Ile uko like 60/70s wenzako wanakutamania mno yaani mno.

Yaani utashangaa unakuwa na jina na unapewa uenyekiti ccm mkoa ama wilaya Mara mbunge,kumbuka like attracts likes.
Hapo ndipo utachukua mkopo wa bilioni plus na kushusha vitu vyako kila mji mkubwa hapa tz.

Nakuombea uendelee ivyo ivyo yaani uwe litajiri ili utoe ugali kwa vijana wengi mno mtaani.


Vijana wangekuwa waaaminifu ningekuambia agiza boda zako like 150, halafu wape vijana kila boda now mktaba halafu usiwe na tamaa wewe waambie kuwa unahitaji profit ya laki sita kila boda hizi unaagiza direct from China. So kwa hizo boda zako 150*.6 unazo 90M kwa mwaka ukifanya like 10 yrs you're untouchable sema Sasa sie wazembe tunapenda kula asali pasipo kung'atwa na nyuki ujue.
Ama tunawaza kuiba ,na ndio Mana afrika matajiri Ni wachache ambao sio politicians or sio wezi ama wa magendo

Nondo kali sana
 
2.Wekeza kwenye biashara ya soko la hisa(stock market).napo tumia 33% tu ya mtaji wako,tafuta mtaalamu wa hii biashara mkae chini,akupe elimu vizuri,ndo biashara ambayo utaweza kupata faida hata mara mbili ya mtaji wako Kwa mwaka kama ukipata mtaalamu mzuri.
Nenda B.O.T au Dar stock exchange(DSE)Kwa ushauri zaidi.au tuwasiliane nitaku

100,tukipambana Kwa mwaka mzima unaweza kupata 150MHadi 180M
Sikupingi mkuu Sasa wewe hapo una act as who or investor or an account manager.


Hii mie simshauri na wewe Naona unaongelea pande moja ya shilingi.


Mbona hujaongelea hasara saivi voda wametoa hasara unajua hakuna gawio kwa wanahisa.

Mbona hujaongea kuwa anaweza akawekeza 10M asiidabo Bali hata ikaiishia huko mkuu?
Tell him also this is highly probabilistic game anything can happen.
Unanunua share za twiga cement Mara Kuna Kuna ishu inatokea hakijiendeshi kwa faida.

Hapa inatakiwa wewe unayejua unachokifanya uwekeze hela zako mwenyewe Ila sio kwa mtu ambaye hajui ama uwe registered na huyo client wako awe tayari kukubali ku incur a certain tolerable risk/loss.

Ila kumbuka soko laweza kufunguliwa labda umenunua hisa kwa 10000 kila kipande yaani kesho soko ama kunakucha kipande kinauzwa kwa 3000 hapo unasemaje Sasa mkuu ama utatumie strategy ya diversification na hapa guru wetu alisema kuwa anaye diversify hajui anachokifanya pia bizness yyte Ni risk ama chochote Kama hujui unachokifanya.


Pia inawezekana mkanunua share kesho ama ndani ya muda mfupi Kama kampuni Ni nzuri iyo price ya share zika triple hata ndani ya mwaka Ila Sasa hii Ni skills lazima uwe intellectual kidogo sio za kuvamiavamia.

Kumbe mnasainiana Sasa wewe utaweka Nini ili akipata loss labda ukave loss yake.


Ila sijakataa Ni biashara nzuri sema sio kwa kila mtu.mpaka mtu awe tolerance to certain degree ya pain of losing money overall all humans are risk averse,bias outcome bias, disposition effect,sunk cost effect aka behavioural economy.

Umenunua share zinashuka zinazidi kushuka unatafuta wa kuziuza anakosekana labda atanunua DSe Mana Ni broker wa stocks or Salomon brothers.


Ama utammpatia hope kuwa hold investment is the long term benefit venture.

Utampatia zile za Archimedes alichosema kuwa nipe lever ndefu kabisa na sehemu ya kusimama nitaweza kuisogeza dunia. Sasa iyo lever in investment Ni time since time is out Ally in investment/trading.


Najua Kuna namna utapata supporting words to your decisions ili ujiridhishe na uamuzi wako.


Yaani ungeolea hasara Ninge------.


Investing and trading is all about probability of calculating odds if they're in your favour ndipo una pull the trigger.

Ila remember the laws of probability mojawapo inasema kuwa "" an event can be extremely likely and still not happen and an event can be extremely unlikely to happen and still happen""



Hii mpka mtu awe na uelewa na huo uelewa sio wa haraka kiivyo.


Everything that's going on investment and trading is about probability,Sasa hao so called guru investors what they is just to try get rid of pain for some members telling them that tomorrow will be this but in reality is that they don't know what's going to happen wanabakia kuwafariji waliowekeza hela Mana ukimwambia kuwa haujui atazidi kuumia zaidi.


Hata ukiwa sawa/sahihi sio kuwa Ni uwezo Mana hili Ni game of the coin flip.


I love to talk this shit lovingly from my blood,bones,my being,is part of my Dna.

But still am ready that anything can happen and every moment is unique in the market like in our universe. No two moments are like ever even the stones are moving and oceans but you see them to be still.




Pia sorry Kama uta feel bad Mana mtu mnapotofautiana beliefs anakutoa ama hakusapoti a person feels pains.
 
Jenga ndani ya miezi 3 upangishe kisha chukulia mkopo ufanye biashara ya kuuza viwanja au kama hobbies ipo nunua plant ya kusaga kokoto KILA siku watu wanajenga haina hasara hii wala stress.
Au nunua hisa au bond kwenye makampuni makubwa nje ya nchi kila baada ya mwezi unakula gawio
Kalunya:nimekupata samahani embu nisaidie hii ya plant ya kokoto imekaaje?
 
Hakuna pesa ya haraka
Dunian ukitaka
Pesa hiyo hela
Itateteketea mapema jenga estate then kopa hata 50m fungua biashara yako hata kariakoo dar hata biashara return
Yake pia sio ya kulala na kuamka lazma uzoeleke
La mwish kama unapesa nzur jenga mjini maana wapangaj n weng usitake kujenga maporini et unasbr mji ukue itakuchukua muda mrefu pesa yako kurudi
Sawa sawa mkuu pia mjini viwanja vimechangamka kiongoz + kujenga ila nimekuelewa mkuu
 
Nenda mtwara nunua shamba ekari 150 lima kwa kutumia mtaalamu wa kuajir ashaur kuanzia uchaguzi shamba usiwe bahili miaka 3.5 utaanza vuna mwaka wa 5 utakuwa unapata mil 300 naaa kila mwaka kwa miaka 15 mfululizo
Ahsante ndg kwaushauri huu ...
 

Attachments

  • Screenshot_20220907_084443.jpg
    Screenshot_20220907_084443.jpg
    81.5 KB · Views: 32

Attachments

  • Screenshot_20220911_183706.jpg
    Screenshot_20220911_183706.jpg
    54.5 KB · Views: 31
  • Screenshot_20220911_183558.jpg
    Screenshot_20220911_183558.jpg
    49.5 KB · Views: 29
  • Screenshot_20220911_183706.jpg
    Screenshot_20220911_183706.jpg
    54.5 KB · Views: 30
Sikupingi mkuu Sasa wewe hapo una act as who or investor or an account manager.


Hii mie simshauri na wewe Naona unaongelea pande moja ya shilingi.


Mbona hujaongelea hasara saivi voda wametoa hasara unajua hakuna gawio kwa wanahisa.

Mbona hujaongea kuwa anaweza akawekeza 10M asiidabo Bali hata ikaiishia huko mkuu?
Tell him also this is highly probabilistic game anything can happen.
Unanunua share za twiga cement Mara Kuna Kuna ishu inatokea hakijiendeshi kwa faida.

Hapa inatakiwa wewe unayejua unachokifanya uwekeze hela zako mwenyewe Ila sio kwa mtu ambaye hajui ama uwe registered na huyo client wako awe tayari kukubali ku incur a certain tolerable risk/loss.

Ila kumbuka soko laweza kufunguliwa labda umenunua hisa kwa 10000 kila kipande yaani kesho soko ama kunakucha kipande kinauzwa kwa 3000 hapo unasemaje Sasa mkuu ama utatumie strategy ya diversification na hapa guru wetu alisema kuwa anaye diversify hajui anachokifanya pia bizness yyte Ni risk ama chochote Kama hujui unachokifanya.


Pia inawezekana mkanunua share kesho ama ndani ya muda mfupi Kama kampuni Ni nzuri iyo price ya share zika triple hata ndani ya mwaka Ila Sasa hii Ni skills lazima uwe intellectual kidogo sio za kuvamiavamia.

Kumbe mnasainiana Sasa wewe utaweka Nini ili akipata loss labda ukave loss yake.


Ila sijakataa Ni biashara nzuri sema sio kwa kila mtu.mpaka mtu awe tolerance to certain degree ya pain of losing money overall all humans are risk averse,bias outcome bias, disposition effect,sunk cost effect aka behavioural economy.

Umenunua share zinashuka zinazidi kushuka unatafuta wa kuziuza anakosekana labda atanunua DSe Mana Ni broker wa stocks or Salomon brothers.


Ama utammpatia hope kuwa hold investment is the long term benefit venture.

Utampatia zile za Archimedes alichosema kuwa nipe lever ndefu kabisa na sehemu ya kusimama nitaweza kuisogeza dunia. Sasa iyo lever in investment Ni time since time is out Ally in investment/trading.


Najua Kuna namna utapata supporting words to your decisions ili ujiridhishe na uamuzi wako.


Yaani ungeolea hasara Ninge------.


Investing and trading is all about probability of calculating odds if they're in your favour ndipo una pull the trigger.

Ila remember the laws of probability mojawapo inasema kuwa "" an event can be extremely likely and still not happen and an event can be extremely unlikely to happen and still happen""



Hii mpka mtu awe na uelewa na huo uelewa sio wa haraka kiivyo.


Everything that's going on investment and trading is about probability,Sasa hao so called guru investors what they is just to try get rid of pain for some members telling them that tomorrow will be this but in reality is that they don't know what's going to happen wanabakia kuwafariji waliowekeza hela Mana ukimwambia kuwa haujui atazidi kuumia zaidi.


Hata ukiwa sawa/sahihi sio kuwa Ni uwezo Mana hili Ni game of the coin flip.


I love to talk this shit lovingly from my blood,bones,my being,is part of my Dna.

But still am ready that anything can happen and every moment is unique in the market like in our universe. No two moments are like ever even the stones are moving and oceans but you see them to be still.




Pia sorry Kama uta feel bad Mana mtu mnapotofautiana beliefs anakutoa ama hakusapoti a person feels pains.
Uko sahihi kabisa mkuu,tena sana..,hoja nzuri sana hizo,ndo maana mimi Kwa kuzingatia risk za stock market,nikasema aweke 33% ya pesa zake.
Maana yake Kuna asilimia nyingine zitakuwa zinaendesha biashara zingine endapo huko kwenye stock market Kuna loss.
Ingawa Kwa kufanya utafiti wa kina kuhusu stocks market investment, probability ya profit ipo tu Kwa muda mrefu.
 
Uko sahihi kabisa mkuu,tena sana..,hoja nzuri sana hizo,ndo maana mimi Kwa kuzingatia risk za stock market,nikasema aweke 33% ya pesa zake.
Maana yake Kuna asilimia nyingine zitakuwa zinaendesha biashara zingine endapo huko kwenye stock market Kuna loss.
Ingawa Kwa kufanya utafiti wa kina kuhusu stocks market investment, probability ya profit ipo tu Kwa muda mrefu.
Okay,sema Sasa hukuiongelea loss nadhani Mana unaweza ukamfanya awe too greed. Don't trigger greed emotions Mana Kuna watu Ni rahisi ku Manipulate watu kuwa hela iko nje nje so wanaongizwa mkenge wanaangukia pua.

Hii inatakiwa ufanye mwenyewe ama uwe registered Kama huko nje ndipo unaweza ukawa unatoa ushauri kuwa saivi nunu stocks fulani Ila inabidi mteja wako awe aware na risks associated.
Kiukweli Zina faida Sasa ujue in Chinese they don't separate profit/opportunity and risks Mana penye risks ndipo penye fursa. The higher the risk the higher the profit ndio principle Haina kipingamizi. So zote Zina symbol moja tu yaani ukiona fursa Kuna risk pia.
 
330-70=260
Million 260 inaweza kujenga nyumba ya apartment 4, at a prime areas,ambayo utaweza kukodisha kila apartment Kwa 600-700 per month.
Upo tayari?
 
Kama ni mimi ningenunua T-Bond ya miaka 25 ambayo ina interest ya 12.4308% kwa mwaka. Kwa pesa yako 330M ina maana kwa mwaka ningepata interest ya 41,021,640/= TSH. Ni mara mbili ya pesa uliyoweka kama projection ya mradi wa nyumba.

T-Bonds wanatoa interest mara mbili kwa mwaka(Coupon) , yaani nusu ya interest kwa kila baada ya miezi 6. Kwa maana hiyo basi kwa 330M kila baada ya miezi 6 utalipwa 20,510,820/= TSH

Utalipwa 20,510,820/= TSH kila baada ya miezi 6 kwa miaka 25 mbele. Si return kubwa ukilinganisha na baadhi ya biashara lakini ni angalau kuliko kujenga nyumba kama utakavyosema zitakazoleta return ya 27M kwa mwaka.

Moja ya faida ya T-Bonds haiitaji muda wako mwingi, yaani ukishanunua unasubiri kupokea coupon zako hivyo inakuwa rahisi kwako kufatilia mambo mengine ya msingi.

T-Bonds unaweza tumia kama dhamana ya mkopo, na unaweza kukopa hadi zaidi ya 60% ya pesa yako uliyowekeza.

Kwahiyo hapa kuna mambo mawili. La kwanza unaweza tumia T-Bond kama dhamana ukope ili kuanzisha/kuendeleza biashara au mradi, jambo la pili unaweza tumia coupon (hii ni ile interest unapewa kila baada ya miezi 6) kuanzisha/kufanya/kuendeleza biashara au mradi

Binafsi ningekushauri kufanya jambo la pili, tumia coupon kuanzisha biashara kama huna. Isimamie hiyo biashara vizuri, zijue changamoto zake na namna ya kupambana nazo, ijue biashara yako nje ndani. Baada ya hapo sasa unaweza kukopa ili kuongezea nguvu, kuipatia mtaji wa kutosha.

jambo ambalo sio lazima kwasababu kama biashara itakuwa na mtaji pia utakuwa.

NOTE: T-Bonds kwa kiswahili ni Hatifungani za Serikali, nimetumia hilo neno ili kufupisha tu maandishi.

HIYO NI PESA NYINGI SANA UKIITUMIA VIZURI NA ITAENDELEA KUBAKI MIKONONI MWAKO ILA NI CHACHE SANA UKIITUMIA VIBAYA NA HAITADUMU ITAPUKUTIKA.

Kwa elimu zaidi juu ya T-Bonds unaweza tembelea website ya Benki kuu ya Tanzania, kufika ofisini kwao au kuwasiliana na mawakala wa soko la hisa na wapo wengi sana

Kwa ushauri zaidi unaweza wasiliana nami PM au kwa namba 0672129689

NIKUTAKIE KILA LILILO LA KHERI KATIKA UPAMBANAJI WAKO
 
Kama ni mimi ningenunua T-Bond ya miaka 25 ambayo ina interest ya 12.4308% kwa mwaka. Kwa pesa yako 330M ina maana kwa mwaka ningepata interest ya 41,021,640/= TSH. Ni mara mbili ya pesa uliyoweka kama projection ya mradi wa nyumba.

T-Bonds wanatoa interest mara mbili kwa mwaka(Coupon) , yaani nusu ya interest kwa kila baada ya miezi 6. Kwa maana hiyo basi kwa 330M kila baada ya miezi 6 utalipw/= TSH

Utalipwa 20,510,820/= TSH kila baada ya miezi 6 kwa miaka 25 mbele. Si return kubwa ukilinganisha na baadhi ya biashara lakini ni angalau kuliko kujenga nyumba kama utakavyosema zitakazoleta return ya 27M kwa mwaka.

Moja ya faida ya T-Bonds haiitaji muda wako mwingi, yaani ukishanunua unasubiri kupokea coupon zako hivyo inakuwa rahisi kwako kufatilia mambo mengine ya msingi.

T-Bonds unaweza tumia kama dhamana ya mkopo, na unaweza kukopa hadi zaidi ya 60% ya pesa yako uliyowekeza.

Kwahiyo hapa kuna mambo mawili. La kwanza unaweza tumia T-Bond kama dhamana ukope ili kuanzisha/kuendeleza biashara au mradi, jambo la pili unaweza tumia coupon (hii ni ile interest unapewa kila baada ya miezi 6) kuanzisha/kufanya/kuendeleza biashara au mradi

Binafsi ningekushauri kufanya jambo la pili, tumia coupon kuanzisha biashara kama huna. Isimamie hiyo biashara vizuri, zijue changamoto zake na namna ya kupambana nazo, ijue biashara yako nje ndani. Baada ya hapo sasa unaweza kukopa ili kuongezea nguvu, kuipatia mtaji wa kutosha.

jambo ambalo sio lazima kwasababu kama biashara itakuwa na mtaji pia utakuwa.

NOTE: T-Bonds kwa kiswahili ni Hatifungani za Serikali, nimetumia hilo neno ili kufupisha tu maandishi.

HIYO NI PESA NYINGI SANA UKIITUMIA VIZURI NA ITAENDELEA KUBAKI MIKONONI MWAKO ILA NI CHACHE SANA UKIITUMIA VIBAYA NA HAITADUMU ITAPUKUTIKA.

Kwa elimu zaidi juu ya T-Bonds unaweza tembelea website ya Benki kuu ya Tanzania, kufika ofisini kwao au kuwasiliana na mawakala wa soko la hisa na wapo wengi sana

Kwa ushauri zaidi unaweza wasiliana nami PM au kwa namba 0672129689

NIKUTAKIE KILA LILILO LA KHERI KATIKA UPAMBANAJI WAKO
Thamani ya Tsh ikoje kama unaweka fedha T bond?
2. Nchi ikifilisika T bond inabaki kwenye status ipi?
3. Ukitumia T bond kukopa riba ni asilimia ngapi?
4. 330,000,000/ 20,510,820 = Tsh 16 ni nini tafsiri yake?
 
Thamani ya Tsh ikoje kama unaweka fedha T bond?
2. Nchi ikifilisika T bond inabaki kwenye status ipi?
3. Ukitumia T bond kukopa riba ni asilimia ngapi?
4. 330,000,000/ 20,510,820 = Tsh 16 ni nini tafsiri yake?
Sijakuelewa vizuri swali lako la kwanza ila nitakujibu kwa kadri ya nilivyoelewa swali

Swali No 1. Thamani ya Tsh ipo kwenye interest unayolipwa kwa mwaka, mfano mzuri ni benki kuu ilitangaza mfumuko wa bei kwa mwaka huu ni 4.5% na kwasababu riba ya T-Bond ya miaka 25 ni 12.4308% ina maana thamani ya pesa yako itabaki vile vile pia utakuwa umepata faida ya 7.9308% kwa mwaka. Uwekezaji wa 330M italeta kwenye T-Bonds utaleta faida ya faida ya 26,171,640 /= TSH (hapo ukishatoa na ile asimilia ya mfumuko wa bei yaani pesa yako itabaki na thamani ile ile + na hio faida)

Swali No 2. Nchi ikifilisika ina maana itashindwa kulipa madeni yake kwa wakati, lakini madeni yatabaki pale pale si madeni ya ndani tu hata madeni ya nje. Unaponunua T-Bonds maana yake umeikopesha serikali. Nchi kufilisika ndio hatari pekee kwenye huu uwekezaji, sidhani kama kuna biashara au project au uwekezaji wenye 100% profit guaranteed. Uwekezaji ambao hauna hatari hata kidogo sidhani kama upo. Na kama upo basi nigependa sana kuujua.

Swali No 3. Vigezo vya kupanga riba ya mikopo vina tofautiana kwa kila bank. Hivyo basi jibu sahihi zaidi kuhusu hili swali watakupa benki husika unayotaka kukopa. Uzuri Benki zote zilizo chini ya usimamizi wa benki kuu wanakubali kutoa mikopo kwa dhamana ya T-Bonds.

Swali No 4. T-Bonds ya miaka 25 ina riba ya 12.4308% kwa mwaka. Hii riba inalipwa mara mbili ambayo huitwa coupon. Yaani T-Bond moja ina coupon mbili, na kwasababu ni hesabu ya mwaka ina maana kila coupon inalipwa kwa kila baada ya miezi sita. Asilimia 12.4308 ya 330,000,000 ni 41,021,640 (hii utalipwa kwa mwaka mmoja). Hivyo basi utalipwa nusu kwa miezi sita ya kwanza, na nusu ya kwa miezi sita ya mwisho. Hapo ndo tunapata 20,510,820 kwa kila baada ya miezi sita

Nadhani nimejibu maswali yako, kama kuna swali lengine Tafadhali uliza

KARIBU SANA
 
Habar za mda huu ndg na Jamaa ktk jukwaa hili.

Mimi binafsi akili imegoma Kujenga nyumba 11, kila nyumba iwe na vigezo vifuatavyo.

1.S/room 1
2. Vyumba vya kulala viwili kimoja master
3. Jiko
4. dining
5. choo cha public
6. stoo (nje ya gharama ya viwanja)sasa hii nyumba ikamilike ya kisasa itaghalimu 30m.

Kwa idadi ya nyumba 11 itaghalimu 330M.

kutokana na Mkoa husika kwa thamani ya nyumba hiyo utapangisha kwa gharama ya 2,500,000M, ikitokea bahati ukapangisha kwa 3M.

Sasa twende kwenye point unawekeza 330M unakuja kupata return yake kwa mwaka 27,500,000M.

Huu kitu imenifanya nione utajenga kama sifa ila siyo kuwa utakuwa na hela, maana ili uwanze kupata faida nimiaka 11, 12 toka umeanza kuweka vichwa.

Tusaidiane mawazo ndg ZANGU namna yakutengeneza utajiri wa akili, fikra na mitazamo mipana zaidi, najua wapo walio wekeza sehemu tofauti tofauti ila kwa nyanja Nyingine tofauti na ujenzi na wanapiga hela naomba MAWAZO yenu mitazamo yenu pia.

Hofu yangu unaweza ukawekeza kiasi kidogo lakini return yake kwa mwaka ukaipata ata ndani ya miezi 6, hiki ndo ninacho kihitaji ndg ZANGU.

Pia sina maana mbaya yakuwa watu wasiwekeze ktk nyumba hapana ila kwa Mimi hesabu zangu zinakataa tu, kama kwa kulenga kizazi chako ndo kiwape faida sawa, ila kwa Mimi ambaye nakitazama hicho kinanipa shida Ki-fikra.

Baada ya miaka 10 ukiwekeza hii Pesa ndo ninako jiona ila siyo ktk nyumba,
msaada wenu wadau.

Ahsante.
Wewe unatakaje ??
Usaidike
 
Back
Top Bottom