Hii ina maana gani ni positive au negative?

Ata ukimwi pia unapita

Sawa ww ulie mkumbatia Mungu mbona ukipewa mbususu ya bure unachakata kama kesho utopewa tena?
 
machinjioni huko, kila siku Ijumaa natoka porini huku naja tabata kupunga upepo
ukweli mchungu, gari ikifika pale njia panda Bonyokwa tu, mb<><> inaanza kudinda
🀣🀣🀣🀣sina mbavu hapa daaa yaan ni full uzinzi ...alafu naskia dsm bhan ukikosa utelezi ni wewe tuuu yaan utelezi upo nje nje
 
🀣🀣🀣🀣sina mbavu hapa daaa yaan ni full uzinzi ...alafu naskia dsm bhan ukikosa utelezi ni wewe tuuu yaan utelezi upo nje nje
Tabata kuna watoto wazuri sana, hata wale watu wazima cougars watamu watamu wamenona (thick) ukiwaona
yaani ukikaribia pale Segerea, kushoto na kulia kuna saluni za kike, na sketi zao juu ya magoti mie hoi
hua nikienda napiga viwili home ila bado hali tete
 
HahahhaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘ŠπŸ‘Šmkuu umetisha ila ndomu muhimu mkuu
 
View attachment 2731104nimetoka kumpina girl wangu jana usiku sasa mpaka sasaiv sijaelewa mm sikusoma sayansi ajanipa majibu sahihi kwahiyo waungwana nisaidieni huyu kaungua ua ili nijue niendelee na safari au niishie njiani?
We anza kujiandalia sandaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hiyo ni positive bila shaka yoyote, ulikula kwanza kabla hujanawa au ulinawa kwanza ndio ukala?
 
Hicho kipimo pekee kinapima antibody test sisi ili uconfirm kuna vipimo vingne vinatakiwa kuwa performed nenda zahanat ukapime ukikutwa na maambukizi anza dawa chap
Acha kumtia moyo hicho kipimo kikisoma hakuna namna unaweza kuchomoka tena, ingawa kipo very sensitive sana pia kinaweza kusoma hata kwa mtu mwenye syphillis, lakini ni very rare, kama anataka kuconfirm kuna unigold lakini hapo ni uhakika wa 99% kuwa amewaka na ameunganishwa kwenye grid ya taifa, utamu wa mbususu utakuja kutucost japo ni tamu balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…