Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Acheni uzushi. Uliwezaje kupima uiashindwa kusoma majibu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unakataaAcheni uzushi. Uliwezaje kupima uiashindwa kusoma majibu!
Napinga uzushi.Kwahiyo unakataa
sidhani kama upo serious, ila kama upo serious, pole sana ndugu. kazana kula matunda, mrudie Mungu wako, punguza msongo wa mawazo na jitahidi kumeza vidonge.View attachment 2731104nimetoka kumpina girl wangu jana usiku sasa mpaka sasaiv sijaelewa mm sikusoma sayansi ajanipa majibu sahihi kwahiyo waungwana nisaidieni huyu kaungua ua ili nijue niendelee na safari au niishie njiani?
Mmh Sawa ila mwisho wa siku utakosa hata chata dunianiili kuepukana na majanga kama haya mkuu😃😃😃
Nashukuru mkuuHahahaha.....................nimeacha Mkuu, nisije kuleta vita hapa 😅
Sina ukimwi mimisidhani kama upo serious, ila kama upo serious, pole sana ndugu. kazana kula matunda, mrudie Mungu wako, punguza msongo wa mawazo na jitahidi kumeza vidonge.
kwa kifupi ni kwamba, mstari mmoja ni negative, mistari miwili kama hiyo ni positive, ni kama inavyokuwa kwenye UPT (urine pregnancy test). ukiona mstari mmoja hana mimba, miwili anza kuandaa nepi. hata kwenye ngoma ukiona mistari miwili anza kuandaa wosia, ,kula vizuri na mrudie Muumba wako.Kipimo kingine tofauti na iki? Au tufike zahanai au hospital?
Mimi sijataja id yake ila nimeletewa malalamiko kamuingiza binti wa watu kwenye gridi ya taifa. Dada saivi JF anaiona kama kituo cha polisi last seen tangu mwaka juzi.Ww sio poa pker acha bas ujue unavunja sheria
kama girl wako ni positive, itakuaje huna?Sina ukimwi mimi
Duh mtihan sanaMimi sijataja id yake ila nimeletewa malalamiko kamuingiza binti wa watu kwenye gridi ya taifa. Dada saivi JF anaiona kama kituo cha polisi last seen tangu mwaka juzi.
Embu hatujakutana miaka 6 ni wautotonikama girl wako ni positive, itakuaje huna?
haikolei gani wakati mistari miwili ipo wazi kabisa ile?Ushauri nenda hospitali pima damu kubwa hapo haionyeshi maana inawezekana hajapata siku nyingi kapata majuzi ndio maana haikolei .
So nendenk hospitali nyie sio wapima,afya nalipieni ndio mtapata majibu mazuri
SawaUshauri nenda hospitali pima damu kubwa hapo haionyeshi maana inawezekana hajapata siku nyingi kapata majuzi ndio maana haikolei .
So nendenk hospitali nyie sio wapima,afya nalipieni ndio mtapata majibu mazuri
Chata zitatafutwa tu😃😃Mmh Sawa ila mwisho wa siku utakosa hata chata duniani
kwahiyo ulivyompima ukamwangalia tu kwa macho na hamjakutana for 6 good years. acheni uzinzi nyie,mrudieni Mungu. Dunia na mambo yake yote yanapita, ngono inapita, pesa zinapita, majumba yanapita kila kitu ni ubatili mtupu, ishi kwa kuambatana na Mungu.Embu hatujakutana miaka 6 ni wautotoni
Jua ameungua ila usimtishehaikolei gani wakati mistari miwili ipo wazi kabisa ile?