Hii ina maana gani ni positive au negative?

Hii ina maana gani ni positive au negative?

Kwakweli umakini unahitajika sana 🤦‍♀️🤦‍♀️
Sana Mkuu.

Muhimu kutokuwa na Wapenzi wengi.

Pia kama Mumeo/Mpenzi unaishi naye mbali kila mkikutana vyema kucheki afya zenu kabla hamjakutana kimwili.

Siku hizi Wanawake wana wapenzi wengi ili kupunguza Ukali wa Maisha na Vikoba vyao wanavyocheza.

Hivyo ni rahisi kuuza mechi, utasikia nakupa bao moja ila Usikojolee ndani naogopa Mimba 🙆‍♂️
 
Lakini ndiyo vimekuwa vikitumika miaka na miaka sasa.

Na siku ukiambiwa unao kama haujapewa Ushauri na Nasaha vya kutosha unaweza kujikutana unatamani hata Ujiue wakati huo huo unaanza kuwahesabia Wapenzi Ulionao.

Sijui Cecy, Sijui Anne, Sijui Betty, Siju Amina, sijui Rahma

Yaani utakuwa full stressed 😫 🙌
Kuna mzee yeye kila akipima ni mzima wa afya na yupo hapa hapa JF. Ila ni muathirika na anatumia mbaazi, juzi juzi nimepata mashtaka yake kamuingiza mtu gridi ya taifa. Hivyo vipimo usiviamini kabisa.
 
Simtishi mkuu, ila wewe ndio unataka ku-sugarcoat hili suala😂😂
cha msingi aanze kula vizuri, matunda kwa wingi, mazoezi, kuepuka mazingira ya stress na kupumzika muda wa kutosha
Hahaha😂😂😂😂..sawa
 
Kwakweli,, na mapenzi naacha kabisa kuanzia leo😂😂
Hata sisi in the 90s tulijiambia hivyo, ila ukigeuza shingo nyege zikikaba tu unasahau ulichodhamiria.

Nakumbuka tylikuwa tunaletewa videos za waathirika na wenye gonorrhoea, syphilis nk shuleni,
mkimaliza kutizama kila mtu anasema basi namwaga dem wangu...aaaah wapi, wiki tu watu wanachapana kama kawaida🤣🤣🤣
 
Sana Mkuu.

Muhimu kutokuwa na Wapenzi wengi.

Pia kama Mumeo/Mpenzi unaishi naye mbali kila mkikutana vyema kucheki afya zenu kabla hamjakutana kimwili.

Siku hizi Wanawake wana wapenzi wengi ili kupunguza Ukali wa Maisha na Vikoba vyao wanavyocheza.

Hivyo ni rahisi kuuza mechi, utasikia nakupa bao moja ila Usikojolee ndani naogopa Mimba 🙆‍♂️
So sad😥
 
Hata sisi in the 90s tulijiambia hivyo, ila ukigeuza shingo nyege zikikaba tu unasahau ulichodhamiria.

Nakumbuka tylikuwa tunaletewa videos za waathirika na wenye gonorrhoea, syphilis nk shuleni,
mkimaliza kutizama kila mtu anasema basi namwaga dem wangu...aaaah wapi, wiki tu watu wanachapana kama kawaida🤣🤣🤣
Hahah😂😂😂😂🤦‍♀️
 
Kipimo ni chako? Mbona umeambatanisha kimoja bila kuweka na chako kama mlipima wote wawili?

Maana yake unajua kabisa majibu yakitoka hivi ni positive na ikitoka vile ni negative. Ama la, umekibeba mtandaoni na kuja kusumbua watu humu.

Anyway, turudi kwenye uzi.
Kwanza, hongera kwa kujenga tabia ya kupima na kujua hali yako na mwenza wako.

Pili, kipimo hicho kinaitwa Bioline HIV 1/2 3.0 Maalum kwa ajili ya kupima uwepo wa virusi katika damu ya binadamu.

Tatu, endapo kilitumika kikamilifu na kusomwa ndani ya dakika 10-15 kina uwezo wa kutoa majibu sahihi kwa kiasi kikubwa. Haswa kwa uwepo wa virusi (positive), kinatoa majibu kwa usahihi kwa zaidi ya asilimia 90.

Hata hivyo, huenda kikatoa majibu ya kuongopa endapo hakitatumika kikamilifu au kusomwa nje ya muda sahihi. Wanaojipima pia si wataalam sana katika kuitumia, hivyo hutokea mara kadhaa kuleta majibu yenye utata.

Mfano;
Kuna mteja alichukua vipimo anakojua yeye. Akaenda huko na jamaa yake. Wakapima na majibu yalikuja negative. Wakafanya yao, na mwanaume akatangulia kuondoka.

Sasa mwanamke kamaliza kuoga na kujiandaa kuondoka, wakati anajiandaa kuondoka kiherehere kimamtuma tena kukitazama kipimo cha mwenzi wake.

La haula, inaonyesha mistari miwili. Huyo, alikuja kwa ghafla kama aliyechanganyikiwa. Analia kwa sauti ya kujutia, Daktari naomba niokoe, nimeukwaa.

Kumsikiliza anachotaka yeye ni PEP, si kingine. Kachanganyikiwa. Mwenzako yupo wapi? Hata simu hana, kaacha alipopata raha za dunia.

Baadae nilikuja kufahamu, alisoma nje ya muda unaopaswa. 1

Nne, mhusika atapaswa kufika katika kituo cha kutolea huduma za afya kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Apimwe kwa kipimo tofauti.

Tano, kama kaupata wala asijali. Virusi hivi havitishi na kuogofya sana. Bado ana nafasi ya kutimiza ndoto zake endapo atafuata matumizi sahihi ya dawa na kujikubali.
Mkuu umeandika point tupu inaonyesha unautaalamu mkuu
 
Kuna mzee yeye kila akipima ni mzima wa afya na yupo hapa hapa JF. Ila ni muathirika na anatumia mbaazi, juzi juzi nimepata mashtaka yake kamuingiza mtu gridi ya taifa. Hivyo vipimo usiviamini kabisa.
Muhimu kumakimika Kama ulivyosema.

Na mabinti wapunguze Njaa, Wazee wengi huwa ni watumiaji wa mbaazi muda mrefu.
 
Back
Top Bottom