Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
tatizo ndo linaanzia hapo sasa😂😂Huwezi kuishi bila dudu mkuu, halafu ndom nazo nasikia zinawawasha.🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo ndo linaanzia hapo sasa😂😂Huwezi kuishi bila dudu mkuu, halafu ndom nazo nasikia zinawawasha.🤣
Mtu mlevi hufanyi mazoez unakula vyakula vya mafuta utegemee uishi na virusi 10 yrs hayo yalikuwa mambo ya wazee wetu kila siku anatembea more than 10kmHapo nadhani inategemea na kinga za mtu, kuna wengine ni wadhaifu tu, ndani ya 5yrs majibu yanajitokeza taratibu.
Ni hatari Mjukuu, maana unahisi hicho kiungo kinataka kukusaliti upigwe na kitu kizito 🤪Hahahha😂😂😂😂😂
Hao masister nimeishi nao for several years, njoo kwangu buana nitakutunzaNikawe tu sister sasa kama maisha yenyewe ndio haya😃😃
Na uzi mwingine alisema bosi wake anamzinguaKuna Uzi ulisema umezaliwa 2006! Hivi mtu wa 2006 ushaanza kutafuna mademu hatari sana nyie watoto 😄
inaonekana ukimwi wa miaka hiyo ulikua wa moto sana sio😃😃🤔Ni hatari Mjukuu, maana unahisi hicho kiungo kinataka kukusaliti upigwe na kitu kizito 🤪
We mzee acha ubishi jaribu siku uchukue damu ya mbuzi uipime kwenye kale kakipimo utaleta mrejesho.Kwahiyo unataka kusemaje Mkuu?
Hujatoa ufafanuzi kwamba akiweka damu ya binadamu itaonesha negative au Positive?
Kumbukeni siku hizi hakuna ule Ukimwi wa kukukondesha labda utamwona kwa Macho kama zamani.
Siku hizi unakutana na demu mkali kinoma, kumbe ikifika saa nne usiku lazima ameze dawa.
Chukueni tahadhali
uje tupime kwanza mara 4 mfululizo😃😃Hao masister nimeishi nao for several years, njoo kwangu buana nitakutunza
Ukimwi kupata kazi sana mtaalamu.. ila ukimwi hupatikana siku moja tu katika maisha ya binadamu.. ukiikwepa hiyo siku hutokuja upata tena.. hadi unaingia kaburini.. ( ukimwi hupatikana siku moja tu katika maisha ya mtu, ukikwepa hiyo siku hutokaa ukaupata tena ).Kuna mdau wangu huwa natamani sana kumuuliza, "eti ma'am upo salama kweli"?....naanzaje sasa🤣🤣🤣🤣
Me sijakataa Mkuu, ila nilitaka unipe majibu kwamba ukiwema Damu ya Binadamu ita-reflect Unao au hauna?We mzee acha ubishi jaribu siku uchukue damu ya mbuzi uipime kwenye kale kakipimo utaleta mrejesho.
Fafanua chief, fafanuaaaa!🤣🤣Ukimwi kupata kazi sana mtaalamu.. ila ukimwi hupatikana siku moja tu katika maisha ya binadamu.. ukiikwepa hiyo siku hutokuja upata tena.. hadi unaingia kaburini.. ( ukimwi hupatikana siku moja tu katika maisha ya mtu, ukikwepa hiyo siku hutokaa ukaupata tena ).
Hahaha na akati PM inbox umenifungiauje tupime kwanza mara 4 mfululizo😃😃
Ushauri mzuri sanaaa 👊👊Hata kama nimezeeka na macho yangu hayaoni sawasawa ila majibu kwa hicho kipimo yanaonesha Positive.
Kwahiyo kama ni huyo mwenzio au ni wewe uliyepima, kuna haja uwahi Kituo cha afya kilicho jirani nawe kwaajili ya kuanza dozi mapema.
Kumbuka, Kupata Vizuri vya Ukimwi siyo mwisho wa maisha.
Muhimu uzingatie matumizi sahihi ya hiyo dozi, lishe bora, mazoezi lakini pia upunguze kushiriki ngono mara kwa mara.