Mshikaji kajipima alafu anakataa majibu yake anasingizia sijui demuπππ, mbususu ni hatari kwa afya ya mwili na akili lakini lazima tuzichakate.Tutaamini vip we nenda hosptal ukaconfirm uanze dawa mapema usiambukize wengne
Kwa akili ya kawaida tu kipimo kingekuwa changu ningeweza kukiweka hapa? Au uho muda wa kuweka hapa si ningekuwa nalia na ukuta πMshikaji kajipima alafu anakataa majibu yake anasingizia sijui demuπππ, mbususu ni hatari kwa afya ya mwili na akili lakini lazima tuzichakate.
Kusema za kweli tunacheka tu ila hatujapima wala niniMnaomcheka mtoa mada,mumepima?
Je kama ulikuwa hujui na kama ulikuwa unajua vikiwa vimistari viwili ndio negativeππππKwa akili ya kawaida tu kipimo kingekuwa changu ningeweza kukiweka hapa? Au uho muda wa kuweka hapa si ningekuwa nalia na ukuta π
Mwanangu umekanyaga nyaya dadeki. Huruma sanaMnanichulia ninyi poa tu [emoji23]
π kwa umri uhuuuJe kama ulikuwa hujui na kama ulikuwa unajua vikiwa vimistari viwili ndio negativeππππ
πππ bado ww tukupimeMwanangu umekanyaga nyaya dadeki. Huruma sana
Mkuu tule nyabe kwa akili,safi sana kwa kulipima hilo zombie lako, lingekuunga kwenye grid ya taifaππππππ kwa umri uhuuu
Mie nishakula sana maisha sijutii kihivyo kama nikikutwa nao. Sasa mwanangu tunakuzika town au tunasafirisha mwili wako mkoa?[emoji23][emoji23][emoji23] bado ww tukupime
Alijua nimelewa ase πMkuu tule nyabe kwa akili,safi sana kwa kulipima hilo zombie lako, lingekuunga kwenye grid ya taifaπππππ
Nipelekeni mwakaleli πMie nishakula sana maisha sijutii kihivyo kama nikikutwa nao. Sasa mwanangu tunakuzika town au tunasafirisha mwili wako mkoa?
Baada ya kulipima ulilitoa nje au ulimwacha tu?Alijua nimelewa ase π
Abaki kufanya nini sasaBaada ya kulipima ulilitoa nje au ulimwacha tu?
Umesema vyema mkuu umegusa kila mahaliHizi nyabe tuzile kwa step, nyabe hazijawahi kutuacha salama, kiafya, kiuchumi na kifkra.
Anaitwa naniUnalipenda kweli hilo milf π π vipi lakini mtoto wake anaendeleaje?
Kama muda umepita toka ufanye kpmo, hizo readings zutakuwa sio sawa tenaKipimo kingine tofauti na iki? Au tufike zahanai au hospital?
Poa mkuuKama muda umepita toka ufanye kpmo, hizo readings zutakuwa sio sawa tena
Lamama, UnaKuna watu niliwaskiaga watatoa ushuhuda kwa mwamposa wamepona ukimwi..nenda kwani kajaribu na wewe πππ
Hii uliisikia wapi, π€Si wanasema unaweza ukaishi navyo hata miaka10 bila reactions zozote au sio kweli ππ€
ndomaana kilasiku mnaambiwa mwende vituo vya afya kuhakiki ayo majibu.View attachment 2731104nimetoka kumpina girl wangu jana usiku sasa mpaka sasaiv sijaelewa mm sikusoma sayansi ajanipa majibu sahihi kwahiyo waungwana nisaidieni huyu kaungua ua ili nijue niendelee na safari au niishie njiani?