issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Ajenda yao kubwa wakishindwa kujibu hoja utasikia mitano tena kwa magufuliSisikii maviwanda Tena
Ajenda Yao kuu Ni Nini this time
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajenda yao kubwa wakishindwa kujibu hoja utasikia mitano tena kwa magufuliSisikii maviwanda Tena
Ajenda Yao kuu Ni Nini this time
Wauza maandazi uwagaiye bure magazeti Yale yenye mapambio ya ccm na wasanii wanaovishwa kofia hawayataki wasema unataka kuwatilia nuksi biashara yaoTatizo hakuna anayeangalia TBc wala kununua magazeti tena
Umesahau na uwanja wa chatoDuh.. Ujenzi wa reli ndo umeanza, mabarabara yote mapya mikoani na kwenye mitaa unasema zimejengwa enzi za kikwete. kweli wewe hujijui, Mungu akusamehe
Unamkubali peke yakoNi humu kwenu jf tuu ndo hakubaliki
Kwahiyo unataka kunambia kikwete pia ni mpiga dili ??Wanaomkataa Magufuli in wapiga deal na vijana Wavivu na wanategemea Serikali iwafanyie kila kitu ila Wenye uwelewa Mpna Wa Mambo Magufuli ndio Rais Wa nchii hii na Ataendelea Baada ya October Wapiga Deal Watapata Tabuuu sana
Baba umeona wapi mtu kupewa PhD bila ya kufanya Risachi ya mamboKwani ile phd aliipataje pataje ?
Kwahiyo siku hizi hemuendi tena kupokea ndegeJiandae kisaikolojia Magufuli ndiyo Rais mpaka 2025
Hata Yesu alikataliwa pia ! Licha ya kuponya magonjwa na kufufua wafu!Ukiona mtu anakataliwa ujue hafanyi mazuri kwa watu.
Kizazi cha leo tofauti na kizazi chakina Steven wasiraNani kakuambia kwamba JPM amekata tamaa ? Subiri matokeo tarehe 30/10/2020, ndio utakapojua nani mshindi. Yaani tatizo la wapinzani mnadhani kushinda uchaguzi nchi hii ni kirahisi tu.
Unamiaka 38 lkn naona bado unaishi kwa shemegi yako aliye muoa Dada ako nyumba wenyewe vyumba viwili umri wote huo mpaka Leo unalazwa chumba kimoja na watoto wa Dada ako funguka kaka sahivi maisha magumu kila siku shemegy yako akwambia urudi kijijini ukalime ww wasema kunaishu waikamilisha juu ni mwaka wa 15 upo mjini huna hata ajira ya kuuza mayai ya kuchemshaAlikuja yule wakasema huyu mbinafsi, akaja yeye wakasema mpenda starehe, Akaja huyu wakasema wakasema dikteta, Wakija kukubali Tanzania itatimiza ahadi za maendeleo ya millenia, Dr. John Pombe Joseph Magufuli for new Tanzania.
Mnyang'anyiVisasi
Chuki
Roho mbaya
Ubinafsi
Katili
Mwizi
Uongo
Fisadi
Mdini
Mkabila
Mkanda
Mzinzi
Mbaguzi
Muuaji
Mjuaji
Kiburi
Dharau
Dikteta
Msichague viongozi wenye sifa hizi wanaharibu umoja wetu pia ni hatari kwa amani yetu
Hali ya maisha kwa watanzania ni ngumu100% na wananchi wamekuwa wakiishi kea matumaini lakini kila kukicha Bora jana. Na viongozi wa ccm hawamwambii Rais ukweli kazi ni kusigia ununuzi wa ndege,SGR, barabara ,majengo Ila mitaani,mijini na vijijini Hali ya maisha Sio. Kuna mgombea ubunge kwa tiketi ya ccm like moshi Mjini kwenye kampeni zake anawambia wananchi akiteuliwa ataufanya mji wa Moshi kuwa jiji huyo ndiyo ilani yake mikutano yote Sasa wananchi wanajiuliza mji ikiwa jiji faida yake ni nini au watakula jiji? Haelezi faida za mji kuwa jiji na wananchi hawajui faida ya kuwa jiji kwa mantiki huyo chadema wanapita bila kupingwa. CCM wanafanya kampeni wakidhani huu ni mwaka 2000.Alitegemea kukubarika zaidi, kwa jinsi alivyokuwa akitumia vyombo vya Habari, shirika la utangazaj nchini TBC, vyombo vya Habari vya CCM.
Yawezekana watu hawavifuatilii sana ama ugumu wa maisha kwa watanzania a.k.a vyuma vimekaza vina wafanya watu wabeze juhudi zake, ama visasi kwa wanaompinga na kumkosoa, wabunge wa CCM kusifu kila linalofanywa na serikali hata kama baya ama kuna usaliti ndani ya CCM, ama amekosa watu makini wenye uzoefu na kampeni ama mgombea wa CHADEMA ana Sera nzito zinazosikika na kueleweka na kugusa maisha ya Watanzania.
Kiukweli kama ulifanya vitu vingi vya kujitoa hata kuhatarisha maisha Lakin watu hawaoni hii inaweza kumkatisha tamaa JPM.
Ni Kweli awamu ya tano Iko kwenye ujenzi wa miundombinu, maendeleo ya nchi na vitu Lakin Wananchi Wana hali ngumu.