Uchaguzi 2020 Hii inakatisha tamaa kwa Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 Hii inakatisha tamaa kwa Dkt. Magufuli

mtanzania wa kwanza uliyeonyesha uelewa wa juu ,huu jamaa aliwekeza kwenye propaganda na anania ya kitia nchi mfukoni,ni outdated president ,mapicha ya akina sadam Hussein,Gadafi yapo kichwani mwake wakati dunia imeshaondoka huko,amezungukwa na wasaidizi waoga wa maisha maana wale wasio waoga wa meisha wengine watu wake wakaribu kawatimulia mbali kabaki peke yake na juniors aliowapromote kwa nguvu,sasa hakuna wakumshauri wala kumpa mbinu za campaign kwenye uchaguzi,mpumbavu badala afanye campaign kajifungia na madeed na tume kupanga crime huku anapoteza muda na kuloose battle ground,anataka kazi zote afanye mwenyewe,
Huyu mtu azibitiwe ataleta maafa kwasababu uelewa wake kwenye mambo ya kimataifa ni mdogo mno.

Una maakili sana ndugu. Huna ulichoacha. Tusipomdhibiti sasa imekula kwetu. Huyu ni kweli kabisa ana mawazo ya hao kina Gadafi and the like. Watanzania hii chance ya sasa tusiipoteze. Akirudi huyu hatakubali itokee tena sekeseke anayopitia sasa. Ndio hakuna rangi tutaacha kuona. Mbaya zaidi ni mtu wa visasi weee. Yani hajui kabisa UONGOZI.
 
Eti anasema yeye uRais atashinda tu hata asipochaguliwa, yeye anaomba tu kura za wabunge na madiwani.! Sasa anaongea hivi hata hajishtukii? Kabisa anamaanisha wataiba kura! Yani hapa tulijua kuingia ‘cha kike’.
 
Na ndio maana mpaka sasa CCM hawataki kuskia mambo ya katiba mpya kwa maana wanajua itawanyima mamlaka kama hayo na itawaumiza kwa upande mkubwa sana
 
Nani kakuambia kwamba JPM amekata tamaa ? Subiri matokeo tarehe 30/10/2020, ndio utakapojua nani mshindi. Yaani tatizo la wapinzani mnadhani kushinda uchaguzi nchi hii ni kirahisi tu.
 
Hivi ni lini umati uliojitokeza kumsikikizaJPM ukawa sawa na umati uliojitokeza kumsikiliza Tundu Lussu ? Hili jiji la Mwanza lina watu wengi sana. Hao unaosema nyomi ni kiduchu mno. Kwanza wala jini halikuteteleka sil TL alipokuwa Mwanza.
Limuume tu. Ametutesa sana huyu bwana.
 
Umefanya vizuri kutojipendekeza, lakini watanzania hatutaki sifa ya kabila iwe kigezo cha kuchagua kiongozi. Ni muhimu Watanzania wajue Una elimu gani, uzoefu uliotukuka na mabadiliko ulio yafanya au mchango wako kwako wewe binafsi na kwa jamii kwa wakati huu.

Sifa ya kuteuliwa ni kwa wanyonge tuu kwenye siasa (mediocrity) , tunatakiwa tuamini uwezo wetu na uwe kwa mfumo wa Meritocracy.
Kwa mara ya Kwanza tangia u mejiunga, ndio naona umetumia akili yako vizuri!! sasa karibu unafunguliwa kutoka kwenye laana ya ujinga!! hongeraaaa!!
 
.
Ni vema ukaandika haya baada ya 28. 10 .2020, maana unayoandika Nia sawa na usiku was Giza.
Kwa mihemko yako wadhani watu wote wanamchukia JPM.
Subiri, time will tell.
Ndio! haiwezekani watu wote wakamchukia! Wanao mpenda ni we we na wengine wachache walionufaika na huu utawala! Unakumbuka hata kipindi Cha ukoloni. Kuna mijitu ilinufaika!! na ilikuwa haitaki ukoloni undoke!! hivyo wanufaika wachache watamuunga mkono! Kama wale wa jalalani.
 
Alitegemea kukubarika zaidi, kwa jinsi alivyokuwa akitumia vyombo vya Habari, shirika la utangazaj nchini TBC, vyombo vya Habari vya CCM.

Yawezekana watu hawavifuatilii sana ama ugumu wa maisha kwa watanzania a.k.a vyuma vimekaza vina wafanya watu wabeze juhudi zake, ama visasi kwa wanaompinga na kumkosoa, wabunge wa CCM kusifu kila linalofanywa na serikali hata kama baya ama kuna usaliti ndani ya CCM, ama amekosa watu makini wenye uzoefu na kampeni ama mgombea wa CHADEMA ana Sera nzito zinazosikika na kueleweka na kugusa maisha ya Watanzania.

Kiukweli kama ulifanya vitu vingi vya kujitoa hata kuhatarisha maisha Lakin watu hawaoni hii inaweza kumkatisha tamaa JPM.

Ni Kweli awamu ya tano Iko kwenye ujenzi wa miundombinu, maendeleo ya nchi na vitu Lakin Wananchi Wana hali ngumu.
Alikuja yule wakasema huyu mbinafsi, akaja yeye wakasema mpenda starehe, Akaja huyu wakasema wakasema dikteta, Wakija kukubali Tanzania itatimiza ahadi za maendeleo ya millenia, Dr. John Pombe Joseph Magufuli for new Tanzania.
 
Nitajie nchi ambayo Rais anayetetea nafasi yake huwa anaachana na majukumu yake ya Urais pale inapofikia kipindi cha Uchaguzi mkuu.
Soma katiba ya warioba imefafanua kila kitu.
 
Visasi
Chuki
Roho mbaya
Ubinafsi
Katili
Mwizi
Uongo
Fisadi
Mdini
Mkabila
Mkanda
Mzinzi
Mbaguzi
Muuaji
Mjuaji
Kiburi
Dharau
Dikteta

Msichague viongozi wenye sifa hizi wanaharibu umoja wetu pia ni hatari kwa amani yetu
 
Tuchague kuuza nchi yetu kwa Amsterdam Mzungu mrafi na mroho.
Heri ya mkoloni mweupe kuliko mweusi.Hio hoja ya kuuza nchi ilifaa miaka ya 70 sio kwa kizazi cha sasa.This time wauaji hawana nafasi hio
 
Alitegemea kukubarika zaidi, kwa jinsi alivyokuwa akitumia vyombo vya Habari, shirika la utangazaj nchini TBC, vyombo vya Habari vya CCM.

Yawezekana watu hawavifuatilii sana ama ugumu wa maisha kwa watanzania a.k.a vyuma vimekaza vina wafanya watu wabeze juhudi zake, ama visasi kwa wanaompinga na kumkosoa, wabunge wa CCM kusifu kila linalofanywa na serikali hata kama baya ama kuna usaliti ndani ya CCM, ama amekosa watu makini wenye uzoefu na kampeni ama mgombea wa CHADEMA ana Sera nzito zinazosikika na kueleweka na kugusa maisha ya Watanzania.

Kiukweli kama ulifanya vitu vingi vya kujitoa hata kuhatarisha maisha Lakin watu hawaoni hii inaweza kumkatisha tamaa JPM.

Ni Kweli awamu ya tano Iko kwenye ujenzi wa miundombinu, maendeleo ya nchi na vitu Lakin Wananchi Wana hali ngumu.
Eti mshika hazina ya nchi mtoto wa dadake
Mkandarasi mkuu ni mume mwenza
Mkuu wa majeshi family member
Tumechoka kutawaliwa kidikteta na Familia moja
We can't breathe
 
Hata Kama ni Mimi kwa jinsi alivyokuwa anapewa sifa na wapambe wake lazima ukate tamaa [emoji33][emoji33]
 
Paragraph ya mwisho, watu hawana maendeleo binafsi, maisha ni magumu, mzunguko wa fedha kama umesizi fulani!

Sasa kiukweli kijijini huko madongo kuinama ukizungumzia matrilioni ya ndege, ukaja kuongelea bwawa sijui treni la umeme, hatuelewi hivyo vitu vinatuleteaje hela mfukoni.

Tukisikia upande wa pili yeye na mpwa wake na mume mwenza mnakula cake ya taifa, tunaelewa zaidi! Kwann sisi huku hali ngumu na wao hali hawaielewi ni ngumu.

Watangulizi wake walikuwa wanaelewa kukimbilia kujenga projects nyingi kwa wakati mmoja, itatuumiza wananchi, hawakuwa wajinga au wasio wazalendo.

Everyday is Saturday.................................. 😎
 
Nani kakuambia kwamba JPM amekata tamaa ? Subiri matokeo tarehe 30/10/2020, ndio utakapojua nani mshindi. Yaani tatizo la wapinzani mnadhani kushinda uchaguzi nchi hii ni kirahisi tu.
Walioko na wanaogombea CCM ni wasaka tonge tu wala hawana uchungu na WANANCHI na ndio maana wametuletea Sheria za ajabu sana za MAFAO wakati wenyewe washachukua chao ni UBINAFSI WA HALI YA JUU SANA. WOTE MBWA TUU.
 
Alikuja yule wakasema huyu mbinafsi, akaja yeye wakasema mpenda starehe, Akaja huyu wakasema wakasema dikteta, Wakija kukubali Tanzania itatimiza ahadi za maendeleo ya millenia, Dr. John Pombe Joseph Magufuli for new Tanzania.
Walioko na wanaogombea CCM ni wasaka tonge tu wala hawana uchungu na WANANCHI na ndio maana wametuletea Sheria za ajabu sana za MAFAO wakati wenyewe washachukua chao ni UBINAFSI WA HALI YA JUU SANA. WOTE MBWA TUU.
 
Back
Top Bottom