Uchaguzi 2020 Hii inakatisha tamaa kwa Dkt. Magufuli

Uchaguzi 2020 Hii inakatisha tamaa kwa Dkt. Magufuli

Kwa muujiza ule wa kupona risasi 32 ningekuwa mimi ndo muusika ningetubu kwa Mungu na kuamua kumtumikia Mungu maisha yangu yote yaliyobaki duniani ili angalau nifidie dhambi nilizomkosea Mungu
mkuu, hata kuwapigania wananchi dhidi ya utawala dhaifu kiutu ni njia moja wapo ya kumtumikia Mungu
 
Ukiona mtu anakataliwa ujue hafanyi mazuri kwa watu.
Wanaomkataa Magufuli in wapiga deal na vijana Wavivu na wanategemea Serikali iwafanyie kila kitu ila Wenye uwelewa Mpna Wa Mambo Magufuli ndio Rais Wa nchii hii na Ataendelea Baada ya October Wapiga Deal Watapata Tabuuu sana
 
Jiwe kawapiga machinga jumla ya bilion 100 Hadi Sasa bila kuwapa risiti kwa kijimradi alichojibunia
 
Alitegemea kukubarika zaidi, kwa jinsi alivyokuwa akitumia vyombo vya Habari, shirika la utangazaj nchini TBC, vyombo vya Habari vya CCM.

Yawezekana watu hawavifuatilii sana ama ugumu wa maisha kwa watanzania a.k.a vyuma vimekaza vina wafanya watu wabeze juhudi zake, ama visasi kwa wanaompinga na kumkosoa, wabunge wa CCM kusifu kila linalofanywa na serikali hata kama baya ama kuna usaliti ndani ya CCM, ama amekosa watu makini wenye uzoefu na kampeni ama mgombea wa CHADEMA ana Sera nzito zinazosikika na kueleweka na kugusa maisha ya Watanzania.

Kiukweli kama ulifanya vitu vingi vya kujitoa hata kuhatarisha maisha Lakin watu hawaoni hii inaweza kumkatisha tamaa JPM.

Ni Kweli awamu ya tano Iko kwenye ujenzi wa miundombinu, maendeleo ya nchi na vitu Lakin Wananchi Wana hali ngumu.
Kajitoa kwa lipi lililohatarisha maisha yake? Kujaribu kuuwa wengine si kujitoa!
 
Mimi mwenyewe Msukuma kabisa na kama ningekuwa mtu wa kujipendekeza sasa hivi labda ningekuwa mkuu wa mkoa au mbunge wa kuteuliwa kutokana na ukaribu alikuwa nao mzee wangu na Magu, lakini simtaki kabisa mpaka ndugu zangu wanashangaa! Tumwue tu mzee jeuri sana huyu!
Jiandae kisaikolojia Magufuli ndiyo Rais mpaka 2025
 
Mungu akuongoze vyema kwa kuwaza mabaya, Rais ni mpakwa mafuta wa Bwana ukimuwazia kumuua unakuwa hulitakii mema Taifa, kumbuka JPM ni matokeo ya maombi ya watanzania wakilalamika kwamba JK amekuwa mpole sana.Makanisa na Misikiti watu wakaomba kupata Rais Mkatili, Mungu kajibu.Usiombe auawe, omba vizuri maana sala yako ikitimizwa ndio utajua maana ya MPAKWA MAFUTA ni nini.Namuombea maisha marefu JPM, abarikiwe, afunguliwe ufahamu, AMEN.
Maombi yako mazuri sana,
La msingi tukazane kumuombea ili arekebishe kasoro ndogo alizonazo.

Ni product ya maombi nakubal 100% ila saa nyingine mambo yake sio.!
 
Uchaguzi ni wenu......"mitano ya kwanza" au "mitano tena"

Na mie nna jambo langu Oktoba 28!
 
Huyu Mzee alichofanikiwa zaidi ni kuwekeza kwenye Makundi ya watu wasioji kijana hili kuwazibi wapinzani madili yake yasijulikane
 
Wananchi wamegoma kushikiwa akili...
Hayo mabarabara sijuhi maSGR, maumeme, mabwawa, hayawasaidii kitu kama ajira hakuna na mafao yao yamekokotolewa kwa formula ya wizi...
Hayo wanasema ni jukumu la kila siku kwa serikali... Kila awamu itafanya kadri itakavyoweza...
Muhimu ni maendeleo ya watu...
IMG_20200922_173958.jpg
 
Wasukuma tumeshasema hatumtaki Magufuli asituchonganishe sisi na Makabila mengine sisi sote ni Watanzania
Kuna ukweli na usemalo na linatoka moyoni au ni kwa kuwa umekosa uteuzi na upepo unavuma kuelekea upande wa pili unaanza kujihami? Kudo kama usemalo linatoka moyoni!
 
Kuna ukweli na usemalo na linatoka moyoni au ni kwa kuwa umekosa uteuzi na upepo unavuma kuelekea upande wa pili unaanza kujihami? Kudo kama usemalo linatoka moyoni!
Imhotep ameokoka toka 2018. Mpokee vizuri usimhukumu. Amejisalimisha kwenye timu ya wapenda haki.
 
Yani Jiwe ni kwamba hatumtaki tena. Hapa ni arudi tu kwao amalizie uzee huko. Nchi imemshinda.
 
Back
Top Bottom