Hammer11
JF-Expert Member
- Feb 18, 2024
- 1,518
- 2,174
Niliwahi kuhudhuria darasa moja, nikastajabu sana. Huyo mwalimu alitufundisha eti kuna sijui nabii au mtume kiongozi wa dini aliwahi kupanda farasi sijui punda akaenda mbinguni. Alipofika huko akakutana na manabii wa kale wakina Musa, Yusuph na wengineo. Ila hakukutana na mtu mweusi wa kale hata mmoja.
Tuache hicho. Sasa mimi nikaondoka na maswali mpaka leo sina jibu. Wakina Musa na mitume wote walizikwa, sasa huyo kiongozi huko mbinguni alikutana nao kwa namna gani? Kama mizimu au ni vipi?
Wenye elimu na hii wajue. Na yeye alipaaje hadi huko mbinguni? Alikuwa mfu au mzima? Asanteni. Kumbukeni mimi sina dini yoyote, naamini mizimu ya uziguani kwa babu zangu.
Tuache hicho. Sasa mimi nikaondoka na maswali mpaka leo sina jibu. Wakina Musa na mitume wote walizikwa, sasa huyo kiongozi huko mbinguni alikutana nao kwa namna gani? Kama mizimu au ni vipi?
Wenye elimu na hii wajue. Na yeye alipaaje hadi huko mbinguni? Alikuwa mfu au mzima? Asanteni. Kumbukeni mimi sina dini yoyote, naamini mizimu ya uziguani kwa babu zangu.