Hii inawezekana vip?

Hii inawezekana vip?

Kisa cha Samson kimelenga miaka zaidi ya 350 BCE pale Hebron palikua na misitu na mapori yenye wanyama kabla ya mabadiliko ya kimazingira yaliyopelekea ukame na semi Arid
Ila hapo mbele sijui wewe amini tu hiyo hadithi kama ni kweli au uongo utajua mwenyewe!
😁😁
Hayo uliyosema yametoka wapi? Mbona tunaambiwa tena Musa kipindi anawapeleka wayahudi kutoka utumwani kuelekea nchi ya ahadi walipita jangwani na walikaa miaka mingi? Na tukiangalia Musa alikuwepo kabla ya Samson, hii inaashiria middle east ilikuwa ni ardhi yenye hali ya jangwa, kama walikaa jangwani miaka 40 unafikiri hilo jangwa lilikuwa mchezo?

Naomba jibu... Hapa ni hoja kwa hoja...
Tumedanganywa..
 
Hayo uliyosema yametoka wapi? Mbona tunaambiwa tena Musa kipindi anawapeleka wayahudi kutoka utumwani kuelekea nchi ya ahadi walipita jangwani na walikaa miaka mingi? Na tukiangalia Musa alikuwepo kabla ya Samson, hii inaashiria middle east ilikuwa ni ardhi yenye hali ya jangwa, kama walikaa jangwani miaka 40 unafikiri hilo jangwa lilikuwa mchezo?

Naomba jibu... Hapa ni hoja kwa hoja...
Tumedanganywa..
Kweli musa na Samson wa kwanza musa
 
Niliwahi kuhudhuria dalasa moja nikastajabu sana huyoo mwalimu alitufundisha ety kuna sujuii nabii au mtume kiongozi wa din aliwahi kupanda farasi sijui punda akaenda mbinguni afuu sasa kufika huko akakutana na manabiii wa kale wakina musa yusuph na wengineo ila hakukutan na mtu mweusi wa kale hata mmoja tuache hicho sasa mm nikaondoka na maswali mpaka leo cna jibu wakina musa na mitume wote walizikwa sasa huyoo kiongozi huko mbinguni alikutana nao kwa namna gani kama mizimu au ni vip wenye elimu na hii wajee na yeye alipaaje hadi uko mbinguni alikuwa mfu mzima asanten kumbukeni mm sina dini yoyote naamini mizimu ya uziguani kwa babu zangu
Kuna sehemu maeneo ya Ouagadougou ipo wilaya inaitwa Mbinguni hapo ukipanda farasi wanakupeleka ukakutane na watu waliokufa zama za kale.
 
Kuna sehemu maeneo ya Ouagadougou ipo wilaya inaitwa Mbinguni hapo ukipanda farasi wanakupeleka ukakutane na watu waliokufa zama za kale.
Yeye huyoo kiongozi alitokea mashariki ya kati
 
Niliwahi kuhudhuria dalasa moja nikastajabu sana huyoo mwalimu alitufundisha ety kuna sujuii nabii au mtume kiongozi wa din aliwahi kupanda farasi sijui punda akaenda mbinguni afuu sasa kufika huko akakutana na manabiii wa kale wakina musa yusuph na wengineo ila hakukutan na mtu mweusi wa kale hata mmoja tuache hicho sasa mm nikaondoka na maswali mpaka leo cna jibu wakina musa na mitume wote walizikwa sasa huyoo kiongozi huko mbinguni alikutana nao kwa namna gani kama mizimu au ni vip wenye elimu na hii wajee na yeye alipaaje hadi uko mbinguni alikuwa mfu mzima asanten kumbukeni mm sina dini yoyote naamini mizimu ya uziguani kwa babu zangu
Kweli we ni mzigua, hii simulizi yako imekaa ki kizigua zigua tu.
 
Roho ilienda, ni mambo ya ulimwengu wa roho... We husikiagi wahubiri wa kilokole wanaingia ulimwengu wa roho..🤣
Masuala ya kiimani hayo..
Roho si unasikia ina kasi ya ajabu
Sasa hakwenda yeye ilienda roho na hiyoo roho ndio ikapanda punda
 
Ule uongo Samson aliua simba mimi ndipo huwa sielewi, hivi Israel ilivyo jangwa hao simba walikuwa wanafugwa? Simba anaishi vipi middle east kwenye nchi za jangwa?

Halafu baada ya kumuua baadae anapita kwenye huo mzoga wa simba akakuta asali, eti akaanza kulamba🤣

Huwa nachoka...
Hadi wewe
 
Back
Top Bottom