The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Yaliyoandikwa hapo juu yanaweza kuwa yakweli na yanaweza kuwa sio yakweli vilevile kwasababu moja .Una maanisha nn mkuu
Kuwa na macho ni jambo moja na kuona ni jambo lapili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaliyoandikwa hapo juu yanaweza kuwa yakweli na yanaweza kuwa sio yakweli vilevile kwasababu moja .Una maanisha nn mkuu
Ulimuona hapo Mashariki ya kati? Au umeamua kuamini hadithi za kale za kutungwa na wahuni.Yeye huyoo kiongozi alitokea mashariki ya kati
Sa we mzigua ulifata nini kwa huyo aliyekua anawafundishaKabisaaa ila jibu achana na uzigua mkuuu
Jangwa lilikua Sinai bwashee kule kaanani ilikua nchi ya Asali na maziwa ni kama vile tu umetoka zako mwanza vizuri kuna ( ukijani) ukashuka mpaka Dodoma (jangwa) ukaingia zako Tukuyu kwa wanyaki huko full viazi,ndizi na parachichi!Hayo uliyosema yametoka wapi? Mbona tunaambiwa tena Musa kipindi anawapeleka wayahudi kutoka utumwani kuelekea nchi ya ahadi walipita jangwani na walikaa miaka mingi? Na tukiangalia Musa alikuwepo kabla ya Samson, hii inaashiria middle east ilikuwa ni ardhi yenye hali ya jangwa, kama walikaa jangwani miaka 40 unafikiri hilo jangwa lilikuwa mchezo?
Naomba jibu... Hapa ni hoja kwa hoja...
Tumedanganywa..
Ni ulimwengu mwingine ... Hujawahi kusoma hadithi kwenye biblia Elijah na yeye alipaa kwenda mbinguni na farasi wenye mbawa?Sasa hakwenda yeye ilienda roho na hiyoo roho ndio ikapanda punda
Mambo ya buraq sijuii white mm sijuiNi ulimwengu mwingine ... Hujawahi kusoma hadithi kwenye biblia Elijah na yeye alipaa kwenda mbinguni na farasi wenye mbawa?
Same na hio story unasema alipaa na farasi anaitwa buraq na yeye ana mbawa... Umeona hayo mambo... Haya sema kwenye biblia kuna uongo...
Hii unatunga mzee, middle east ni jangwa toka zamani, sio sehemu ya kuishi mnyama kama simba, kama simba walikuwepo ina maana swala, punda milia, nyati walikuwepo, cause hao ndio chakula cha simba...Jangwa lilikua Sinai bwashee kule kaanani ilikua nchi ya Asali na maziwa ni kama vile tu umetoka zako mwanza vizuri kuna ( ukijani) ukashuka mpaka Dodoma (jangwa) ukaingia zako Tukuyu kwa wanyaki huko full viazi,ndizi na parachichi!
Bado huelewi mfano?
😁😁
Lakini unaamini Elijah na yeye kwenye biblia alipaa na farasi mwenye mbawa na hajawahi kurudi?Mambo ya buraq sijuii white mm sijui
Hoja nzitoo hii ndio inatupanua ubongo wetuHii unatunga mzee, middle east ni jangwa toka zamani, sio sehemu ya kuishi mnyama kama simba, kama simba walikuwepo ina maana swala, punda milia, nyati walikuwepo, cause hao ndio chakula cha simba...
Mbona serengeti haijawa jangwa?
Tuelezee kitaalamu..
Hayo ma pyramid yaliyopo jangwani wanasema yapo 3000 yrs before christ na kulikuwa hivyo hivyo na jangwa... Hii ni chai..
Basi huku sikiliza vizurHahaha
Alikuwa mwalimu wa dini
Sure.Mwamuzi unazinguwa
Kwa hiyo huko mbinguni kuna wanyama kama punda na wengineHata nashangaaa upande punda ufike mbinguni huu si utoto
Mbali na misitu mkuu Kuna desert lions ambao wanaishi jangwaniKisa cha Samson kimelenga miaka zaidi ya 350 BCE pale Hebron palikua na misitu na mapori yenye wanyama kabla ya mabadiliko ya kimazingira yaliyopelekea ukame na semi Arid
Ila hapo mbele sijui wewe amini tu hiyo hadithi kama ni kweli au uongo utajua mwenyewe!
😁😁